Kwahiyo LATRA kuyafungia Mabasi 37 ya 'New Force' ndiyo kutamaliza Ajali za Mabasi Tanzania nzima?

Kwahiyo LATRA kuyafungia Mabasi 37 ya 'New Force' ndiyo kutamaliza Ajali za Mabasi Tanzania nzima?

Screenshot_20230704_092144_Chrome.jpg
 
Unakuta kiumbe kama huyu kuna familia wanamtegemea!

Ni wapi mabasi yamefungiwa?
 
Yaani Wafanyakazi wote wa LATRA ndiyo mna aina hii ya Ubongo mbovu uliowapelekea nyie kuja na Maamuzi haya ambayo GENTAMIYCINE sioni Aibu kuyaita ni ya Kipumbavu huku yakiwa yamejaa Chuki, Visasi, Wivu na Uonevu?

LATRA mbona hamyachukuli hatua Mabasi ya Tajiri Mkongwe wa Mkoani Morogoro ( na mwana Simba SC Mwenzangu ) ambayo huwa yanaanguka, yanaua na yanasumbua sana Abiria ila huwa anawahi Kuwahongeni kuanzia nyie, Matrafiki, Waandishi wa Habari wasiripoti huku Wahanga wa Ajali ( Abiria ) wakinyamazishwa kwa Kutibiwa Kisiri na kupewa Pesa ili tu Kampuni yake isichafuke?

LATRA niendelee kutoa Mifano mingine juu ya Unafiki, Chuki na Uonevu wenu juu ya baadhi ya Makampuni ya Mabasi nchini Tanzania au kwa sasa niishie tu hapa?

Hivi kwa Watu wenye Akili timamu kabisa na Wameenda kweli Shule wanaweza Kujisifia mbele ya Watu wenye Akili Kubwa kuwa Kufungia Mabasi ndiko Kutamaliza Ajali za Barabarani?

Hovyo kabisa...!!
Walichofanya LATRA ni sahihi, mabasi yote yasimamishwe kwanza kufanya safari, yakaguliwe au kuchunguzwa ili kubaini ubora wake.Endapo kama yatakuwa salama yaruhusiwe kuendelea kufanya kazi ya safari.
Aidha, Madereva nao wachunguzwe, endapo kama itabainika kama wao ndio sababu ya ajali basi hatua za kisheria zichukuliwe dhidi ya kila mhusika kulingana na makosa take, ikiwamo na kuwafutia leseni za udereva pale itakapobidi.
 
Back
Top Bottom