Kwahiyo Mbeya na Songwe utaratibu ni kupaki barabarani kupeana zamu ya kupita?

Kwahiyo Mbeya na Songwe utaratibu ni kupaki barabarani kupeana zamu ya kupita?

Duuh yani unalalamika badala ya kupongeza!!!
Nipongeze kitu gani Anna? Walete suluhisho lenye akili na sio huu mchezo?

Btw how are you? Bado upo Tanga? Naona mtwara uliiacha jumla.
 
Mkuu ishawahi kutokea ajali mbaya Sana ya coaster hapo Inyala...acha tu wasubiriane

Sent from my Pixel 3a XL using JamiiForums mobile app
Hiyo iwe hatua ya muda mfupi sana. Serikali inatakiwa itengeneze hilo eneo. Fedha wanazo lakini hawajali. Kazi kusafiri kwenye business class na kukaa hotel kubwa kubwa. Na kuendesha magari ya kifahari.
 
Kupongeza ujinga? Serikali ina wajibu wa kujenga eneo husika na siyo kuzuia magari.
That was a short time measure na waliweka hilo very clear from the beginning! Kuna bypass pale kutoka Inyala mpaka Songwe tumeona ikiongelewa khs taratibu zake kukamilika! Sasa waache utaratibu huo wa kuzuia magari kwa sasa kama short term measure watu waendelee kufa pale ??? Tangu waanze hatuoni kuwa ajali kipande kile hazisikiki tena ? Nadhani tujaribu kuappreciate Yale madogo tukiendelea kusubiri Makubwa
 
Nipongeze kitu gani Anna? Walete suluhisho lenye akili na sio huu mchezo?

Btw how are you? Bado upo Tanga? Naona mtwara uliiacha jumla.
Dar now . Ofcoz kuna suluhisho la hizo bypass hopefully likikamilika kila kitu kitakaa Sawa . Inakera kusubiri sana ila let’s be positive kwa hilo ili kuepusha ajali pale .. Tumepoteza sana watu eneo lile … mimi nikiwaza safari ya Mbeya inanijia lile eneo kwanza . Ni kwamba hizo long term goals zikimbizane kutekelezwa kuondoka hiyo adha .
 
Muwe mnauliza sababu za kufanya hivyo na solution zinazofanyiwa kazi sio kuangalia pilau tu kwenye simu yako kila kitu kipo online.

Kodi hulipi bado unataka maendeleo kama Ulaya.
 
Mpango wa muda mrefu ni serikali kujenga barabara nyingine Kwa maana ya kuipanua ili iwe njia nne na tayari kazi imeanza. Mpangomwa dharura ili kunusuru maisha ya watu kuwa na zamu ya foleni kati ya magari makubwa (malori) na magari ya abiria. Tangu utaratibu huu uanze hali ya ajali imepungua sana.
 
Mkuu kama hujawai kuishi hayo maeneo sawa,lakini tunayoyajua hayo maeneo tunaona ni sawa tu,nataman ungeshuhudia hata ajali moja tu uone jinsi zinavyotokeaga halafu uirudie hii post yako
 
Muwe mnauliza sababu za kufanya hivyo na solution zinazofanyiwa kazi sio kuangalia pilau tu kwenye simu yako kila kitu kipo online.

Kodi hulipi bado unataka maendeleo kama Ulaya.
Unachoandika kinathibitisha ulivyo.
 
Mkuu kama hujawai kuishi hayo maeneo sawa,lakini tunayoyajua hayo maeneo tunaona ni sawa tu,nataman ungeshuhudia hata ajali moja tu uone jinsi zinavyotokeaga halafu uirudie hii post yako
Nimeishi mbeya zaidi ya miaka 10
 
Dar now . Ofcoz kuna suluhisho la hizo bypass hopefully likikamilika kila kitu kitakaa Sawa . Inakera kusubiri sana ila let’s be positive kwa hilo ili kuepusha ajali pale .. Tumepoteza sana watu eneo lile … mimi nikiwaza safari ya Mbeya inanijia lile eneo kwanza . Ni kwamba hizo long term goals zikimbizane kutekelezwa kuondoka hiyo adha .
Nikija dar nitakucheki.
Haya, ngoja watu waendelee kupoteza muda wao kwa sasa.
 
Back
Top Bottom