Kwahiyo Waziri Mchengerewa ulikuwa unasubiria hadi Yanga SC yako icheze na Biashara United FC (ASFC) ndiyo uwatishie Waamuzi?

Kwahiyo Waziri Mchengerewa ulikuwa unasubiria hadi Yanga SC yako icheze na Biashara United FC (ASFC) ndiyo uwatishie Waamuzi?

MINOCYCLINE

JF-Expert Member
Joined
Apr 2, 2015
Posts
8,018
Reaction score
16,802
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa nani kakuambia matatizo ya Waamuzi (Referees ) Tanzania yameanza sasa? Ina maana Wewe ni Mgeni sana katika Soka la Tanzania (Bongo) ambalo kwa 99.999% linaharibiwa na TFF kwa Interests zao lakini pia na hata Nguvu ya Ushawishi ya Serikali kupitia hivi Vilabu vikubwa na vikongwe Viwili hapa nchini? Umeanza Kuchemsha mapema sana Waziri katika hiyo (hii) Docket na si ajabu ndiyo maana ukahamishwa kutoka katika Docket nyingine japo ni Mkwe wa mwenye Katiba yake kwa sasa Tanzania.

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa yaani umeshindwa tu kujua kuwa hata nyie Viongozi wa Kitaifa (huko Serikalini) nanyi mnaongoza Kuzisaidia Timu zenu pendwa kama ilivyo kwa Waziri Mwenzako Mmoja ambaye Yeye hata hudiriki Kutoa Pesa za Kuhonga ili tu Klabu yake ya Malalamiko Mpaka Ikulu FC ishinde?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa kwahiyo muda wote ulikuwa umekaa Kimya hutaki Kutoa Tamko mpaka ufanye Timing ya namna hii ya kuja Kuzungumza Siku Moja kabla Yanga SC hajacheza na Biashara United FC leo katika Kombe la ASFC Uwanja wa Mkapa Saa 1 Kamili Usiku?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa kwahiyo Watu wa Serikali (hasa Wizara yako) mlikuwa mnangojea mpaka Malalamiko Mpaka Ikulu FC (Yanga) walalamike kuhusu Waamuzi (Referees) ndipo nanyi Kinafiki mjitokeze Kukemea na kutaka Uchunguzi ufanyike?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa nimekushangaa mno pale nilipokusikia ukiwataka Watu wa TAKUKURU nao wawepo katika hizo SEMINA za TFF (hasa za Waamuzi hawa) kwani Binafsi ninajua kuwa kuna Watu wa TAKUKURU (PCCB) na hata UWT (TISS) ambao Idara zao hizo zimewatuma Kazi Maalum huko TFF na hata katika hivi Vilabu vikubwa na vikongwe nchini Tanzania vya Simba na Yanga ina maana huwa hawawaletei Ripoti zao za Uchunguzi / Upelelezi ya yale yanayoendelea huko?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa tunakujua kuwa Wewe ni mwana Yanga SC lia lia na Kujitokeza Kwako jana Kukemea Waamuzi ni sehemu ya Mpango Mkakati Maalum wa Yanga SC ikisaidiwa na baadhi ya Viongozi Waandamizi Serikalini na Mstaafu Mmoja wa Kikatiba ambaye ni Mnafiki Mkubwa wa Kuwatishia Waamuzi (Referees ) ili kila Wakichezesha Mechi za Malalamiko Mpaka Ikulu FC (Yanga) basi wawe Wanaibeba (Wanaipendelea) ishinde kuanzia Mechi yao Ngumu ya Leo katika ASFC na Biashara United FC na ya Wiki ijayo katika NBC Premier League ikicheza na Mtibwa Sugar FC pale Manungu Mkoani Morogoro.

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa kwahiyo Hatari uliyoiona Wewe Mivhezoni ni hili tu la Waamuzi ( Referees ) hasa baada ya Kulalamikiwa na Timu yako pendwa ya Malalamiko Mpaka Ikulu FC (Yanga) ila lile ( hili ) la Msemaji wa Yanga SC (Malalamiko Mpaka Ikulu FC) Haji Manara kuichafua Simba SC kwa Watu wa Klabu ya Asec Mimosa tena mpaka kuwatahadharisha kuwa wasipokuwa Makini Watakufa kwani Simba SC hata Kuua haishindwi Kwako Wewe kama Waziri ( huko Serikalini ) hamjaona kuwa ni Hatari zaidi kwa Afya ya Soka letu, Maendeleo na Ustawi wake pamoja na hata Usalama wa Taifa?

Tukiwadharau hamna Akili msikasirike!!
 
walisema wataenda ikulu .. naona wameshauliwa wamuone kwanza waziri wa michezo ambaye ni mwanachama wao awasaidie kuset mbinu za kijinga kama hizi
 
Hii nchi ya ajabu sijawahi kusikia duniani waziri wa michezo kuingilia mambo ya michezo kazi yao kuweka sera tu ila FIFA hilo halivumiliki siasa kuingizwa katika michezo. issue hii ilatakiwa bodi ya league kuiongelea makosa yapo mengi lakini hayatakiwi kuingiliwa kisiasa.

Ni juu ya TFF na bodi ya league kuona issue au makosa yanatokea kwa makusudi au uwezo wa waamuzi ni mdogo wanahitaji mafunzo zaidi na uwekezaji.

Hata huko nje league bora yako mapungufu pamoja na VAR lakini mijadala ipo kila siku ndio raha ya mpira. kwa maoni yangu nadhani uwezo wao ni mdogo tu
 
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa nani kakuambia matatizo ya Waamuzi ( Referees ) Tanzania yameanza sasa? Ina maana Wewe ni Mgeni sana katika Soka la Tanzania (Bongo) ambalo kwa 99.999% linaharibiwa na TFF kwa Interests zao lakini pia na hata Nguvu ya Ushawishi ya Serikali kupitia hivi Vilabu vikubwa na vikongwe Viwili hapa nchini? Umeanza Kuchemsha mapema sana Waziri katika hiyo (hii) Docket na si ajabu ndiyo maana ukahamishwa kutoka katika Docket nyingine japo ni Mkwe wa mwenye Katiba yake kwa sasa Tanzania.

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa yaani umeshindwa tu kujua kuwa hata nyie Viongozi wa Kitaifa ( huko Serikalini ) nanyi mnaongoza Kuzisaidia Timu zenu pendwa kama ilivyo kwa Waziri Mwenzako Mmoja ambaye Yeye hata hudiriki Kutoa Pesa za Kuhonga ili tu Klabu yake ya Malalamiko Mpaka Ikulu FC ishinde?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa kwahiyo muda wote ulikuwa umekaa Kimya hutaki Kutoa Tamko mpaka ufanye Timing ya namna hii ya kuja Kuzungumza Siku Moja kabla Yanga SC hajacheza na Biashara United FC leo katika Kombe la ASFC Uwanja wa Mkapa Saa 1 Kamili Usiku?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa kwahiyo Watu wa Serikali ( hasa Wizara yako ) mlikuwa mnangojea mpaka Malalamiko Mpaka Ikulu FC ( Yanga ) walalamike kuhusu Waamuzi ( Referees ) ndipo nanyi Kinafiki mjitokeze Kukemea na kutaka Uchunguzi ufanyike?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa nimekushangaa mno pale nilipokusikia ukiwataka Watu wa TAKUKURU nao wawepo katika hizo SEMINA za TFF (hasa za Waamuzi hawa) kwani Binafsi ninajua kuwa kuna Watu wa TAKUKURU (PCCB) na hata UWT (TISS) ambao Idara zao hizo zimewatuma Kazi Maalum huko TFF na hata katika hivi Vilabu vikubwa na vikongwe nchini Tanzania vya Simba na Yanga ina maana huwa hawawaletei Ripoti zao za Uchunguzi / Upelelezi ya yale yanayoendelea huko?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa tunakujua kuwa Wewe ni mwana Yanga SC lia lia na Kujitokeza Kwako jana Kukemea Waamuzi ni sehemu ya Mpango Mkakati Maalum wa Yanga SC ikisaidiwa na baadhi ya Viongozi Waandamizi Serikalini na Mstaafu Mmoja wa Kikatiba ambaye ni Mnafiki Mkubwa wa Kuwatishia Waamuzi (Referees ) ili kila Wakichezesha Mechi za Malalamiko Mpaka Ikulu FC (Yanga) basi wawe Wanaibeba (Wanaipendelea) ishinde kuanzia Mechi yao Ngumu ya Leo katika ASFC na Biashara United FC na ya Wiki ijayo katika NBC Premier League ikicheza na Mtibwa Sugar FC pale Manungu Mkoani Morogoro.

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa kwahiyo Hatari uliyoiona Wewe Mivhezoni ni hili tu la Waamuzi ( Referees ) hasa baada ya Kulalamikiwa na Timu yako pendwa ya Malalamiko Mpaka Ikulu FC (Yanga) ila lile ( hili ) la Msemaji wa Yanga SC (Malalamiko Mpaka Ikulu FC) Haji Manara kuichafua Simba SC kwa Watu wa Klabu ya Asec Mimosa tena mpaka kuwatahadharisha kuwa wasipokuwa Makini Watakufa kwani Simba SC hata Kuua haishindwi Kwako Wewe kama Waziri ( huko Serikalini ) hamjaona kuwa ni Hatari zaidi kwa Afya ya Soka letu, Maendeleo na Ustawi wake pamoja na hata Usalama wa Taifa?

Tukiwadharau hamna Akili msikasirike!!
Kwani yule waziri mkubwa anavyowasaudia makolo sisi hatujui?

Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
 
Hii nchi ya ajabu sijawahi kusikia duniani waziri wa michezo kuingilia mambo ya michezo kazi yao kuweka sera tu ila FIFA hilo halivumiliki siasa kuingizwa katika michezo. issue hii ilatakiwa bodi ya league kuiongelea makosa yapo mengi lakini hayatakiwi kuingiliwa kisiasa.

Ni juu ya TFF na bodi ya league kuona issue au makosa yanatokea kwa makusudi au uwezo wa waamuzi ni mdogo wanahitaji mafunzo zaidi na uwekezaji.

Hata huko nje league bora yako mapungufu pamoja na VAR lakini mijadala ipo kila siku ndio raha ya mpira. kwa maoni yangu nadhani uwezo wao ni mdogo tu
Ukimuona huyo Waziri unaona ana Akili?
 
Kwa hiyo nyie vibaraka wa kanjibao hamtaki mabadiliko na kuondolewa makosa kwenye football?
 
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa nani kakuambia matatizo ya Waamuzi (Referees ) Tanzania yameanza sasa? Ina maana Wewe ni Mgeni sana katika Soka la Tanzania (Bongo) ambalo kwa 99.999% linaharibiwa na TFF kwa Interests zao lakini pia na hata Nguvu ya Ushawishi ya Serikali kupitia hivi Vilabu vikubwa na vikongwe Viwili hapa nchini? Umeanza Kuchemsha mapema sana Waziri katika hiyo (hii) Docket na si ajabu ndiyo maana ukahamishwa kutoka katika Docket nyingine japo ni Mkwe wa mwenye Katiba yake kwa sasa Tanzania.

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa yaani umeshindwa tu kujua kuwa hata nyie Viongozi wa Kitaifa (huko Serikalini) nanyi mnaongoza Kuzisaidia Timu zenu pendwa kama ilivyo kwa Waziri Mwenzako Mmoja ambaye Yeye hata hudiriki Kutoa Pesa za Kuhonga ili tu Klabu yake ya Malalamiko Mpaka Ikulu FC ishinde?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa kwahiyo muda wote ulikuwa umekaa Kimya hutaki Kutoa Tamko mpaka ufanye Timing ya namna hii ya kuja Kuzungumza Siku Moja kabla Yanga SC hajacheza na Biashara United FC leo katika Kombe la ASFC Uwanja wa Mkapa Saa 1 Kamili Usiku?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa kwahiyo Watu wa Serikali (hasa Wizara yako) mlikuwa mnangojea mpaka Malalamiko Mpaka Ikulu FC (Yanga) walalamike kuhusu Waamuzi (Referees) ndipo nanyi Kinafiki mjitokeze Kukemea na kutaka Uchunguzi ufanyike?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa nimekushangaa mno pale nilipokusikia ukiwataka Watu wa TAKUKURU nao wawepo katika hizo SEMINA za TFF (hasa za Waamuzi hawa) kwani Binafsi ninajua kuwa kuna Watu wa TAKUKURU (PCCB) na hata UWT (TISS) ambao Idara zao hizo zimewatuma Kazi Maalum huko TFF na hata katika hivi Vilabu vikubwa na vikongwe nchini Tanzania vya Simba na Yanga ina maana huwa hawawaletei Ripoti zao za Uchunguzi / Upelelezi ya yale yanayoendelea huko?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa tunakujua kuwa Wewe ni mwana Yanga SC lia lia na Kujitokeza Kwako jana Kukemea Waamuzi ni sehemu ya Mpango Mkakati Maalum wa Yanga SC ikisaidiwa na baadhi ya Viongozi Waandamizi Serikalini na Mstaafu Mmoja wa Kikatiba ambaye ni Mnafiki Mkubwa wa Kuwatishia Waamuzi (Referees ) ili kila Wakichezesha Mechi za Malalamiko Mpaka Ikulu FC (Yanga) basi wawe Wanaibeba (Wanaipendelea) ishinde kuanzia Mechi yao Ngumu ya Leo katika ASFC na Biashara United FC na ya Wiki ijayo katika NBC Premier League ikicheza na Mtibwa Sugar FC pale Manungu Mkoani Morogoro.

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa kwahiyo Hatari uliyoiona Wewe Mivhezoni ni hili tu la Waamuzi ( Referees ) hasa baada ya Kulalamikiwa na Timu yako pendwa ya Malalamiko Mpaka Ikulu FC (Yanga) ila lile ( hili ) la Msemaji wa Yanga SC (Malalamiko Mpaka Ikulu FC) Haji Manara kuichafua Simba SC kwa Watu wa Klabu ya Asec Mimosa tena mpaka kuwatahadharisha kuwa wasipokuwa Makini Watakufa kwani Simba SC hata Kuua haishindwi Kwako Wewe kama Waziri ( huko Serikalini ) hamjaona kuwa ni Hatari zaidi kwa Afya ya Soka letu, Maendeleo na Ustawi wake pamoja na hata Usalama wa Taifa?

Tukiwadharau hamna Akili msikasirike!!
Inaonekana hautaki VAR zije.....ili muendelee kufaidika na huu mfumo wa sasa; wa kuhonga marefa na kupata matokeo. Maana sasa timu haziongeki; hivyo imehamia kuonga marefa.
 
Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa nani kakuambia matatizo ya Waamuzi (Referees ) Tanzania yameanza sasa? Ina maana Wewe ni Mgeni sana katika Soka la Tanzania (Bongo) ambalo kwa 99.999% linaharibiwa na TFF kwa Interests zao lakini pia na hata Nguvu ya Ushawishi ya Serikali kupitia hivi Vilabu vikubwa na vikongwe Viwili hapa nchini? Umeanza Kuchemsha mapema sana Waziri katika hiyo (hii) Docket na si ajabu ndiyo maana ukahamishwa kutoka katika Docket nyingine japo ni Mkwe wa mwenye Katiba yake kwa sasa Tanzania.

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa yaani umeshindwa tu kujua kuwa hata nyie Viongozi wa Kitaifa (huko Serikalini) nanyi mnaongoza Kuzisaidia Timu zenu pendwa kama ilivyo kwa Waziri Mwenzako Mmoja ambaye Yeye hata hudiriki Kutoa Pesa za Kuhonga ili tu Klabu yake ya Malalamiko Mpaka Ikulu FC ishinde?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa kwahiyo muda wote ulikuwa umekaa Kimya hutaki Kutoa Tamko mpaka ufanye Timing ya namna hii ya kuja Kuzungumza Siku Moja kabla Yanga SC hajacheza na Biashara United FC leo katika Kombe la ASFC Uwanja wa Mkapa Saa 1 Kamili Usiku?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa kwahiyo Watu wa Serikali (hasa Wizara yako) mlikuwa mnangojea mpaka Malalamiko Mpaka Ikulu FC (Yanga) walalamike kuhusu Waamuzi (Referees) ndipo nanyi Kinafiki mjitokeze Kukemea na kutaka Uchunguzi ufanyike?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa nimekushangaa mno pale nilipokusikia ukiwataka Watu wa TAKUKURU nao wawepo katika hizo SEMINA za TFF (hasa za Waamuzi hawa) kwani Binafsi ninajua kuwa kuna Watu wa TAKUKURU (PCCB) na hata UWT (TISS) ambao Idara zao hizo zimewatuma Kazi Maalum huko TFF na hata katika hivi Vilabu vikubwa na vikongwe nchini Tanzania vya Simba na Yanga ina maana huwa hawawaletei Ripoti zao za Uchunguzi / Upelelezi ya yale yanayoendelea huko?

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa tunakujua kuwa Wewe ni mwana Yanga SC lia lia na Kujitokeza Kwako jana Kukemea Waamuzi ni sehemu ya Mpango Mkakati Maalum wa Yanga SC ikisaidiwa na baadhi ya Viongozi Waandamizi Serikalini na Mstaafu Mmoja wa Kikatiba ambaye ni Mnafiki Mkubwa wa Kuwatishia Waamuzi (Referees ) ili kila Wakichezesha Mechi za Malalamiko Mpaka Ikulu FC (Yanga) basi wawe Wanaibeba (Wanaipendelea) ishinde kuanzia Mechi yao Ngumu ya Leo katika ASFC na Biashara United FC na ya Wiki ijayo katika NBC Premier League ikicheza na Mtibwa Sugar FC pale Manungu Mkoani Morogoro.

Waziri wa Utamaduni, Sanaa na Michezo Mohammed Mchengerewa kwahiyo Hatari uliyoiona Wewe Mivhezoni ni hili tu la Waamuzi ( Referees ) hasa baada ya Kulalamikiwa na Timu yako pendwa ya Malalamiko Mpaka Ikulu FC (Yanga) ila lile ( hili ) la Msemaji wa Yanga SC (Malalamiko Mpaka Ikulu FC) Haji Manara kuichafua Simba SC kwa Watu wa Klabu ya Asec Mimosa tena mpaka kuwatahadharisha kuwa wasipokuwa Makini Watakufa kwani Simba SC hata Kuua haishindwi Kwako Wewe kama Waziri ( huko Serikalini ) hamjaona kuwa ni Hatari zaidi kwa Afya ya Soka letu, Maendeleo na Ustawi wake pamoja na hata Usalama wa Taifa?

Tukiwadharau hamna Akili msikasirike!!
Mwandishi wa barua hii ni graduate wa SAUT, inasikitisha kusikia kwamba hata huyu ana cheti. maandiko yake hayana mpangilio, yamejaa kila aina ya ujinga.
 
Hopeless.....!!!!
Hopeless nini. Unataka waamuzi waendelee kukandamiza vilabu vingine huku wakilinufaisha timu flani bovu.
Kelele za nini, mbona idea ya waziri ni nzuri tu. Mnataka mvurugano na manung'uniko juu ya waamuzi yae delee kuwepo?
 
Inaonekana hautaki VAR zije.....ili muendelee kufaidika na huu mfumo wa sasa; wa kuhonga marefa na kupata matokeo. Maana sasa timu haziongeki; hivyo imehamia kuonga marefa.
Kama nyie Yanga SC mlivyohangaika kutaka Kuwahonga Mbeya City FC ila Jamaa Mmoja anaitwa Dulla wa Magomeni ( mwana Yanga SC Mwenzenu ) akawaingizeni Mjini kwa kutofikisha Hela na akaila mpaka Kukimbia Jiji sasa.

Wapuuzi wakubwa nyie hakuna ambalo Yanga SC mtalifanya Mimi Mightier nisijue kwani nina PhD ya kulijua Soka la Tanzania ( Bongo ) na Umafia wake Wote kwani nimeshaushiriki mno tu huko nyuma na hata Juzi Mechi ya Simba SC na Asec Mimosa FC pia nimeshiriki kwa Maslahi ya Simba SC yangu.
 
Mwandishi wa barua hii ni graduate wa SAUT, inasikitisha kusikia kwamba hata huyu ana cheti. maandiko yake hayana mpangilio, yamejaa kila aina ya ujinga.
Pole sana kwa Kuhangaika kutumia ID's nyingi kupambana nae huyo Basha Wenu ambaye Kutwa tu mnamtaja hapa halafu Wapumbavu wengi mnadhani kuwa Mimi Mightier ndiyo Yeye.
 
Kwani mkuu PM mbona ni simba mtupu? Hata kanjibai si anafanya ufisadi kwa simba kwa nguvu ya PM? Naye PM si ana maslahi yake mazito pale Simba.

Ni bora huyu amezungumza ukweli lakini sio mtu ambae ana maslahi mazito moja kwa moja na Yanga kama alivyo boss wake.
 
Hopeless nini. Unataka waamuzi waendelee kukandamiza vilabu vingine huku wakilinufaisha timu flani bovu.
Kelele za nini, mbona idea ya waziri ni nzuri tu. Mnataka mvurugano na manung'uniko juu ya waamuzi yae delee kuwepo?
Wahi Milembe Hospital ukatibiwe Akili.
 
Back
Top Bottom