MINOCYCLINE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2015
- 8,018
- 16,802
- Thread starter
- #21
Unajua kuwa Umeandika Upumbavu???Kwani mkuu PM mbona ni simba mtupu? Hata kanjibai si anafanya ufisadi kwa simba kwa nguvu ya PM? Naye PM si ana maslahi yake mazito pale Simba.
Ni bora huyu amezungumza ukweli lakini sio mtu ambae ana maslahi mazito moja kwa moja na Yanga kama alivyo boss wake.