Kwahiyo Waziri Mchengerewa ulikuwa unasubiria hadi Yanga SC yako icheze na Biashara United FC (ASFC) ndiyo uwatishie Waamuzi?

Unajua kuwa Umeandika Upumbavu???
 
Kwenye swala la VAR ni mbali sana, kungekuwa tu na ka TV kamoja kalichounganishwa na Azam TV ili muamuzi awe anaangalia marudio akiwa uwanjani Kama tunavyoangalia sisi tukiwa bandani .
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…