Nissan nyeupe lazima ihusike kukata mbuga kusogea "Sasa unaingia Mara"...ππ
Heri nawe Kasinde, jirani mtarajiwa wa Mama Maria Nyerere βΊοΈβΊοΈ
Nyie wazee wetu wanapoteza penheni zao mapema alafu kutwa kupiga simu kwa vijana wao mjini kudai mipango haiendi..
Mimi mwanafizikiaSalamu zimemfikia mwana fasihi mwenzangu.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kumbe mpk babu atoe mwaliko[emoji2957]Utapopata mwaliko wa babu, karibu sana Butiama.
My dia mjukuu. Tulikaa meza moja na bibi yako Sky Eclat tukakubaliana tumtafute msaidizi. Maana bibi yako si unajua tena kashachoka anataka msaidizi.
[emoji23][emoji23][emoji23] sawa babu ODM nenda Butiama ukale pensheni yako kwa bibie Kasie ila hakikisha unaichakata K-Vant mpaka Konyagi ione wivu.Uzuri nilishamwona Kasie... Ni bonge la mwanamke. Mrembo wa haja....
Hata kama nimemwona kwenye ndoto potelea mbali... Naamini atakuwa hivyo
Nikifanikiwa ntakukaribisha Butiama umwone Kasie akicheza dansi na babu
Usisahau kuniombea nifanikiwe
Kamoja kanakutosha lakini?Naaam.....[emoji4].
Kwa afya zetu.