Kwako Babu Mpendwa 💕

Kwako Babu Mpendwa 💕

Nissan nyeupe lazima ihusike kukata mbuga kusogea "Sasa unaingia Mara"...😁😁

Heri nawe Kasinde, jirani mtarajiwa wa Mama Maria Nyerere ☺️☺️


Aahahahahaa Watuuuu...!!

Umechungulia kwenye rada nini...!!?

Umejuaje kuhusu ujirani wetu...!😅
 
Wakubwa wanafaidi sana

Nami nimeshakuwa mkubwa...

Ndio maana kina Joanah Wananiita "dia babu"

Je yawezekana huyu babu wa Kasie ndio mimi Babu ODM?

Naelekea Butihama

Cc Mpwa Watu8 .... tuombeane dua nifike salama


Aahahahahahahaa Babuuuuuu,

Wajua..... ninavyokuhusudu mpenz...
Moyo una wasiwasi..

Ni wewe, ya la rohoni mwangu...
Babu Sam, ndiye baba wa watoto wangu....

Tulia wangu mpenz tulia, tulia nami nipate tulia.....😍.

Karibu nyumbani kwako Butiama mpenz babu ODM 🥰.

Kooh kooh koooh...!!😅.
 
Nyie wazee wetu wanapoteza penheni zao mapema alafu kutwa kupiga simu kwa vijana wao mjini kudai mipango haiendi..


Na mipango ya wazee wanayo vijana wao wa mjini...

Haikwepeki hiyoo, ukipigiwa simu na mzee kutoka kijijini unapokea na unatii agizo utalopewa....!

I know it’s not easy hata uwe na hela.
 
Biiibii yangu Sky Eclat anajua kama my dia babu anasafari ya kwa Kasie ?
My dia mjukuu. Tulikaa meza moja na bibi yako Sky Eclat tukakubaliana tumtafute msaidizi. Maana bibi yako si unajua tena kashachoka anataka msaidizi.

Sasa kama Kasie kaamua kuingia kwenye familia yetu kwa hiari yake. Basi mimi na bibi yako Sky Eclat tutamuoa kwa pamoja....

Itakuwa Sriisamu ya uzeeni kabla hatujadedi

Wewe ombea tu huyo babu wa Butiama niwe mimi yua dia babu. Utakuwa na mabibi wawili... Bonus hiyo kwako kama umenielewa vizuri
 
Uzuri nilishamwona Kasie... Ni bonge la mwanamke. Mrembo wa haja....

Hata kama nimemwona kwenye ndoto potelea mbali... Naamini atakuwa hivyo

Nikifanikiwa ntakukaribisha Butiama umwone Kasie akicheza dansi na babu

Usisahau kuniombea nifanikiwe
[emoji23][emoji23][emoji23] sawa babu ODM nenda Butiama ukale pensheni yako kwa bibie Kasie ila hakikisha unaichakata K-Vant mpaka Konyagi ione wivu.
Usisahau kumpa na ile style mpya ya Royal Tour.
 
Back
Top Bottom