Kwako Engineer Hersi Said na uongozi wetu hapo Jangwani

logframe

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2014
Posts
4,242
Reaction score
5,543
Kesho kocha Florent Ibenge ataiongoza Al Hilal [emoji1232] kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Asante Kotoko [emoji1110]. Ni maandalizi Kuelekea mchezo wao wa klabu bingwa Afrika dhidi ya ST. George ya Ethiopia [emoji1098]

Msindi baina ya ST. George dhidi ya Al Hilal atakutana na mshindi baina ya Young Africans [emoji1241] dhidi ya Zalan FC [emoji1223].

Je, sisi YANGA, tuna mkakati gani hadi sasa? Tutafte hata timu kama AS Vita au Sagrada Esperanca tujipime.


Ukiona mwenzio anyoa, wewe tia maji
 
Yanga wanajua wapo kwenye Champions League na wana plan zao hao Al Hillaly nao wana plan zao huwezi kurupuka uanze kucheza mechi kisa mwenzako kafanya kile uta fail
Suala sio kukurupuka,
Kumbuka maandalizi mazuri yanaaambata na mechi zenye kukupa test nzuri kimataifa, kujifungia tu kule AVIC hakutoshi, tuone mechi za ushindani maana Huyo Zalan tutamtoa, inshu ni hapo round ya Al Hilal na St. George
 
Utopolo kule CAF ni wasindikizaji tyuuh. Hawana chao kule.

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], wanasubiri kufurushwaa tyuuh.
Tulia kwanza mkuu,
Nawapa ushauri viongozi wangu ili washtuke.
Simba sio size yetu hapa kwetu maana ni sawa na mchepuko wetu, tunajipigia mda tuutakao kwa staili yeyote..
Tunataka maandalizi dhidi ya hao wengine
 
Uko sahihi.

Je ratiba inaruhusu? Nahisi al hilal kwao hata ligi haijaanza, hivyo kusaka hizo game ni sahihi kwao, ikiwa ratiba inaruhusu si dhambi yanga kutafuta game ya kirafiki, ikiwa ratiba hairuhusu haina haja ya kuforce, wataharibu.
 
Uko sahihi.

Je ratiba inaruhusu? Nahisi al hilal kwao hata ligi haijaanza, hivyo kusaka hizo game ni sahihi kwao, ikiwa ratiba inaruhusu si dhambi yanga kutafuta game ya kirafiki, ikiwa ratiba hairuhusu haina haja ya kuforce, wataharibu.
Kuna break ya National team,
Wachezaji wetu kuna mda naona kama wazito, waongeze fitness
 
Tulia kwanza mkuu,
Nawapa ushauri viongozi wangu ili washtuke.
Simba sio size yetu hapa kwetu maana ni sawa na mchepuko wetu, tunajipigia mda tuutakao kwa staili yeyote..
Tunataka maandalizi dhidi ya hao wengine
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] sasa huo mchepuko, huko CAF ndo anawabamiza atakavyo, hao ambao wanakupigaa wee nje ndani.

Yu know???
 
Sisi malengo yetu ni kuifunga Simba tu na tumeshafanikiwa hayo mengine ya CAF siyo mikato yetu kabisa
 
Mimi ni shabiki lialia wa yanga ila kwa hili la kukaa kimya wakati wenzetu wa simba wanaenda kujopima na timu kubwa ni ujinga wa hali ya juu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…