Mbona wameshacheza mechi ngumu dhidi ya Simba na wameshinda tena kwa kiwango kikubwa sioni kama Yanga inahitaji mechi za kirafiki tena wao ni bora na kumfunga Simba ni kipimo ToshaaUwoga wa viongozi wa Yanga ni ku expose weakness zao wakicheza na timu kubwa! Mnaenda kucheza na timu ambayo kocha wake ndio kawauzia wachezaji na sio wachezaji tu bali vijana wake anaowajua vizuri sana.
Yanga pamoja ni mpinzani wangu lakini kwa maslahi ya Taifa tafuteni friendly game ikiwezekana nje ya Tanzania! Msitafute timu dhaifu, nendeni hata Kongo mpate friendly games na Mazembe, Vita au Motema!
Msipopata game ngumu mjue panapovuja HAMTOBOI! Mtawaonea wale wa Sudan kusini tu!
Wanachangishana hela ya mganga kwenye mechi ya simba inayokuja kwenye ligi kuu yaani wao wakimfunga simba ndo habari yao imeisha hawana tena mawazo mengine.Utopolo kule CAF ni wasindikizaji tyuuh. Hawana chao kule.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23], wanasubiri kufurushwaa tyuuh.
Yaani shabiki tu, halafu lia lia na wala siyo mchangiaji!! Unahimiza utadhani inafanyika bure tyuu. Mapesa yanahitajika katika maandalizi, siyo kuhimiza tuu.Mimi ni shabiki lialia wa yanga ila kwa hili la kukaa kimya wakati wenzetu wa simba wanaenda kujopima na timu kubwa ni ukinyes wa hali ya juu
Sisi hatuna makuu. Mazoezi yetu dhidi ya hao Al Hilal /St. George ni hao hao Zalan... Kesho kocha Florent Ibenge ataiongoza Al Hilal [emoji1232] kwenye mchezo wa kirafiki dhidi ya Asante Kotoko [emoji1110].....Ni maandalizi Kuelekea mchezo wao wa klabu bingwa Afrika dhidi ya ST. George ya Ethiopia [emoji1098]
Msindi baina ya ST. George dhidi ya Al Hilal atakutana na mshindi baina ya Young Africans [emoji1241] dhidi ya Zalan FC [emoji1223]
JE, SISI YANGA, TUNA MKAKATI GANI HADI SASA? Tutafte hata timu kama AS Vita tujipime au hata Sagrada Esperanca
Ukiona mwenzio anyoa, wewe tia majiView attachment 2332063
dogo tulia, hatutaki kuharibu rekodi yetu ya kutofungwa. Kwanza mechi za kirafiki ni kujichosha tuJE, SISI YANGA, TUNA MKAKATI GANI HADI SASA? Tutafte hata timu kama AS Vita tujipime au hata Sagrada Esperanca
Si tumesaini mkataba mnono na SportPesa, na pia tuna hela za zawadi za Azam Media? kazi ya hela hizo ni nini sasaYaani shabiki tu, halafu lia lia na wala siyo mchangiaji!! Unahimiza utadhani inafanyika bure tyuu. Mapesa yanahitajika katika maandalizi, siyo kuhimiza tuu.
Ni kweli kabisa, twende beyond kumfunga BABRA FCUwoga wa viongozi wa Yanga ni ku expose weakness zao wakicheza na timu kubwa! Mnaenda kucheza na timu ambayo kocha wake ndio kawauzia wachezaji na sio wachezaji tu bali vijana wake anaowajua vizuri sana.
Yanga pamoja ni mpinzani wangu lakini kwa maslahi ya Taifa tafuteni friendly game ikiwezekana nje ya Tanzania! Msitafute timu dhaifu, nendeni hata Kongo mpate friendly games na Mazembe, Vita au Motema!
Msipopata game ngumu mjue panapovuja HAMTOBOI! Mtawaonea wale wa Sudan kusini tu!
Utopolo hawana plan yoyote zaidi ya kusubili kukandwaYanga wanajua wapo kwenye Champions League na wana plan zao hao Al Hillaly nao wana plan zao huwezi kurupuka uanze kucheza mechi kisa mwenzako kafanya kile uta fail
Mbona imewauma sana kufungwa na yanga. Siku nyingine msilete timu uwanjani semeni tu kwamba mpeni yanga ushindi, basi.Sisi malengo yetu ni kuifunga Simba tu na tumeshafanikiwa hayo mengine ya CAF siyo mikato yetu kabisa
Plan gani hizo ambazo mmeamua kuzifanya siri?Yanga wanajua wapo kwenye Champions League na wana plan zao hao Al Hillaly nao wana plan zao huwezi kurupuka uanze kucheza mechi kisa mwenzako kafanya kile uta fail
Unaumia nini?Utopolo hawana plan yoyote zaidi ya kusubili kukandwa
Nyie mashabiki hua mna panic umeona Simba wame enda Sudan na wewe unataka uende Yanga wana ratiba yao kuna mechi mbili wana cheza moja international nyingine local wenzetu wanapenda promo ndio maana kitu kidogo wanakikuza sasa kwenda kucheza bonanza Sudan ituumize kichwa?Tusijekimbiana baadae KO zikianza
Huu uswahili last year umetugharimu, visingizio ikawa permit za wachezaji wetu kutoka DRC zilikuwa hazijakamilka, mashabiki wakatulia, lakini ulikuwa pia uzembe kiasi flani.Nyie mashabiki hua mna panic umeona Simba wame enda Sudan na wewe unataka uende Yanga wana ratiba yao kuna mechi mbili wana cheza moja international nyingine local wenzetu wanapenda promo ndio maana kitu kidogo wanakikuza sasa kwenda kucheza bonanza Sudan ituumize kichwa?