Kwako Heche, chukua hii sio yangu ila ni yule akufanyae unapumua kama mimi na utabarikiwa

Kwako Heche, chukua hii sio yangu ila ni yule akufanyae unapumua kama mimi na utabarikiwa

4 7mbatizaji

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2019
Posts
8,406
Reaction score
9,619
Heche, Kwanza pole na majukum ila pia hongera kwa kunimalizia bando maana nakusikiliza sana kwenye ziara mbalimbali za kichama usimamapo jukwaani, kipo kibari kikubwa juu yako, Mungu anasema juu ya nchi hii

Lakini Mungu anakumbusha ahadi yako, uliwahi tamka Kwamba, Siku ukiona chadema ipo mstari usio sahii basi utakuwa wakwanza kufanya maamuzi magum, OK

Yapo maridhiano yanaendelea but Mungu anasema nawe kamwe usije dhubutu kana kiapo husika
Thanks na naishia apo
 
Una maanisha hayo maridhiano hayampendezi Mungu? Kwa hio ahamie Chama kipi kilicho upande wa haki?
 
Back
Top Bottom