Umtama Mula
Senior Member
- Jan 11, 2021
- 171
- 496
Watajwa hapo juu tangu juzi hadi leo baada ya habari ya Yanga kuandika barua kuomba pointi 3 kutoka Bodi ya Ligi, Mmekuwa kwa kujiamini mkidai kuwa Yanga hawezi kupata pointi hizo kwakuwa Mechi iliahirishwana na Bodi ya Ligi na Simba asingeweza kupeleka timu uwanjani wakati mchezo umeahirishwa.
Lakini mnasahau mambo yafuatayo.
1. Simba kwa barua rasmi aliutarifu umma kuwa hachezi mchezo ule. Kwahiyo Simba aligoma kucheza mchezo, yaliyofuata yote baada ya hapo hayabadilishi chochote kwenye hilo. Hivyo, mtu anaweza kusema Bodi ya Ligi hakuna walichoahirisha kwakuwa hadi wanakaa kikao Simba haikuwa imebadilisha msimamo. Hivyo iko wazi kikao cha Bodi ya Ligi na maamuzi yake yalikuwa juu ya kitu ambachi hakipo. They decided on nothing. Mechi iliisha kwa barua ya Simba hadi wanakaa mechi ilikuwa hamna. Huwezi kiahirisha mchezo ambao tayari upande mmoja umeshasema haupo tena kwa barua rasmi.
2. Baada ya barua ya mgomo ya Simba, Bodi wakafanya Kosa la kuitisha kikao na kufanya boko la kiahirisha mechi ambayo tayari haikuwepo kwakuwa Simba walikuwa wameshasema hawachezi na kwa barua rasmi.
3. Bodi wakacheza Boko la tatu, wakaacha kupeleka Maafisa wa mechi Ili kukamilisha utaratibu wa kuwapa Yanga Pointi 3 kwa mjibu wa Kanuni. Yanga kwa kulijua hilo wakapeleka timu uwanjani.
Kwakuwa Simba waligoma kucheza mchezo, ilikuwa ni wajibu wa Bodi kuendelea na taratibu. Sasa basi, kwakuwa Simba alikosea, Bodi ya Ligi nayo ikakosea, mtu hawezi kusema kuwa makosa ya Bodi ya Ligi yanaifaidisha Simba. Simba ataadhibiwa kwa kugoma kucheza mchezo bila sababu, Bodi ya Ligi itaadhibiwa kwa kushindwa kuwema taratibu za kuipa Yanga pointi 3 kwa mjibu wa kanuni. Na baada ya hayo, yatatoka maelekezo ya yanga kupewa haki yake kwa mjibu wa sheria. Yanga hawezi kunyimwa haki yake kwa makosa ya Bodi ya Ligi kushindwa kutafsiri Sheria.
Lakini mnasahau mambo yafuatayo.
1. Simba kwa barua rasmi aliutarifu umma kuwa hachezi mchezo ule. Kwahiyo Simba aligoma kucheza mchezo, yaliyofuata yote baada ya hapo hayabadilishi chochote kwenye hilo. Hivyo, mtu anaweza kusema Bodi ya Ligi hakuna walichoahirisha kwakuwa hadi wanakaa kikao Simba haikuwa imebadilisha msimamo. Hivyo iko wazi kikao cha Bodi ya Ligi na maamuzi yake yalikuwa juu ya kitu ambachi hakipo. They decided on nothing. Mechi iliisha kwa barua ya Simba hadi wanakaa mechi ilikuwa hamna. Huwezi kiahirisha mchezo ambao tayari upande mmoja umeshasema haupo tena kwa barua rasmi.
2. Baada ya barua ya mgomo ya Simba, Bodi wakafanya Kosa la kuitisha kikao na kufanya boko la kiahirisha mechi ambayo tayari haikuwepo kwakuwa Simba walikuwa wameshasema hawachezi na kwa barua rasmi.
3. Bodi wakacheza Boko la tatu, wakaacha kupeleka Maafisa wa mechi Ili kukamilisha utaratibu wa kuwapa Yanga Pointi 3 kwa mjibu wa Kanuni. Yanga kwa kulijua hilo wakapeleka timu uwanjani.
Kwakuwa Simba waligoma kucheza mchezo, ilikuwa ni wajibu wa Bodi kuendelea na taratibu. Sasa basi, kwakuwa Simba alikosea, Bodi ya Ligi nayo ikakosea, mtu hawezi kusema kuwa makosa ya Bodi ya Ligi yanaifaidisha Simba. Simba ataadhibiwa kwa kugoma kucheza mchezo bila sababu, Bodi ya Ligi itaadhibiwa kwa kushindwa kuwema taratibu za kuipa Yanga pointi 3 kwa mjibu wa kanuni. Na baada ya hayo, yatatoka maelekezo ya yanga kupewa haki yake kwa mjibu wa sheria. Yanga hawezi kunyimwa haki yake kwa makosa ya Bodi ya Ligi kushindwa kutafsiri Sheria.