Kwako Jemedari Said, JefLea na Collegemate Wilson Oruma

Kwako Jemedari Said, JefLea na Collegemate Wilson Oruma

Hiyo ni tafsiri yako mkuu, tafsiri yangu mimi Bodi waliahirisha mchezo ambao tayari haupo. Simba waligoma kucheza mechi na kwa maandishi na barua ya kugoma ipo na hajawahi kutenguliwa. Bodi hakuna walichoahirisha. Waaahirishe wasihahirisha mchezo ulikuwa tayari haupo kwakuwa Simba walikuwa wameshagoma. Ni kweli Bodi walipaswa wafanye huo utaratibu. Kutokufanya huo utaratibu maana yake Bodi walikiuka kanuni, kama ndivyo, ukiukwaji huo wa Kanuni hauwezi kufanya Yanga ikose haki yake.
Kwa hiyo Yanga mechi ya leo wakiandika barua kuwa hawatakwenda uwanjani, mchezo unakuwa tayari haupo kama ulivyodai hapo juu!?

Jiongeze kidogo pia Ndugu, kosa linakuwa limefanyika pale linapokuwa limetekelezwa. Je, Simba wangeenda uwanjani huku wakiwa wameandika barua ya kutocheza, wangekuwa wamefanya kosa!?
 
Kila walichofanya Bodi ya ligi baada ya barua ya Simba, ikiwemo tamko la kuwa mchezo utapangiwa tarehe nyingine ni batili, "Void abinitio". Yanga wametoa masaa 72 Bodi iwape Pointi 3. Baada ya hapo wataenda kwenye vyombo huska. Ili huo upuuzi wa Bodi kiahirisha mchezo ambao tayari umeshagomewa, kushindwa kupeleka Officials uwanjani pamoja na Yanga kupeleka timu, utamkwe rasmi kuwa ulikuwa ukiukwaji wa Kanuni, na kama ndivyo, remedy ni Yanga kupewa haki yake kwa mjibu wa Kanuni pale timu inapogoma kucheza mchezo.

Waliandika barua kuwa hawaendi. Unataka nini tena
Kuandika barua hakufanyi liwe kosa mpaka kosa lenyewe litendeke. Acha ushamba wewe
 
Kwa hiyo Yanga mechi ya leo wakiandika barua kuwa hawatakwenda uwanjani, mchezo unakuwa tayari haupo kama ulivyodai hapo juu!?

Jiongeze kidogo pia Ndugu, kosa linakuwa limefanyika pale linapokuwa limetekelezwa. Je, Simba wangeenda uwanjani huku wakiwa wameandika barua ya kutocheza, wangekuwa wamefanya kosa!?
Sasa mchezo unakuwepo vipi wakati one of the parties ameshasema hachezi huo mchezo na kwa barua kabisa.
 
Watajwa hapo juu tangu juzi hadi leo baada ya habari ya Yanga kuandika barua kuomba pointi 3 kutoka Bodi ya Ligi, Mmekuwa kwa kujiamini mkidai kuwa Yanga hawezi kupata pointi hizo kwakuwa Mechi iliahirishwana na Bodi ya Ligi na Simba asingeweza kupeleka timu uwanjani wakati mchezo umeahirishwa.

Lakini mnasahau mambo yafuatayo.

1. Simba kwa barua rasmi aliutarifu umma kuwa hachezi mchezo ule. Kwahiyo Simba aligoma kucheza mchezo, yaliyofuata yote baada ya hapo hayabadilishi chochote kwenye hilo. Hivyo, mtu anaweza kusema Bodi ya Ligi hakuna walichoahirisha kwakuwa hadi wanakaa kikao Simba haikuwa imebadilisha msimamo. Hivyo iko wazi kikao cha Bodi ya Ligi na maamuzi yake yalikuwa juu ya kitu ambachi hakipo. They decided on nothing. Mechi iliisha kwa barua ya Simba hadi wanakaa mechi ilikuwa hamna. Huwezi kiahirisha mchezo ambao tayari upande mmoja umeshasema haupo tena kwa barua rasmi.

2. Baada ya barua ya mgomo ya Simba, Bodi wakafanya Kosa la kuitisha kikao na kufanya boko la kiahirisha mechi ambayo tayari haikuwepo kwakuwa Simba walikuwa wameshasema hawachezi na kwa barua rasmi.
3. Bodi wakacheza Boko la tatu, wakaacha kupeleka Maafisa wa mechi Ili kukamilisha utaratibu wa kuwapa Yanga Pointi 3 kwa mjibu wa Kanuni. Yanga kwa kulijua hilo wakapeleka timu uwanjani.

Kwakuwa Simba waligoma kucheza mchezo, ilikuwa ni wajibu wa Bodi kuendelea na taratibu. Sasa basi, kwakuwa Simba alikosea, Bodi ya Ligi nayo ikakosea, mtu hawezi kusema kuwa makosa ya Bodi ya Ligi yanaifaidisha Simba. Simba ataadhibiwa kwa kugoma kucheza mchezo bila sababu, Bodi ya Ligi itaadhibiwa kwa kushindwa kuwema taratibu za kuipa Yanga pointi 3 kwa mjibu wa kanuni. Na baada ya hayo, yatatoka maelekezo ya yanga kupewa haki yake kwa mjibu wa sheria. Yanga hawezi kunyimwa haki yake kwa makosa ya Bodi ya Ligi kushindwa kutafsiri Sheria.
Dah


Mkuuu UNAMOYO

HAWA WEHU NA MACHIZI BADO UNAPATA MDA WA KUWASIKILIZAA
.NILISHAWAKATAA SIKU NYINGI

KAMA ULE MTAMBO ORUMA ANAWEZA KUSEMA HILI LEO BAADA YA MECHI ANAONGEA UTUMBOO HUNA PA KUMSAIDIAKIUFUPI WANA
MSHAHARA PALE KWA OMO MKUU WALA USISHINDANE NAOO

NA WASIWASI HATA WAKE ZAO NA WATOTO ZAO KAMA WANAO MANAA KUPATA WATOTO NA AKILI KAMA HIZI MUNGU NAE ANANGALIA USIJE WATESA

WANATESEKA SANA FAMILIA ZAOO
 
Hiyo ni tafsiri yako mkuu, tafsiri yangu mimi Bodi waliahirisha mchezo ambao tayari haupo. Simba waligoma kucheza mechi na kwa maandishi na barua ya kugoma ipo na hajawahi kutenguliwa. Bodi hakuna walichoahirisha. Waaahirishe wasihahirisha mchezo ulikuwa tayari haupo kwakuwa Simba walikuwa wameshagoma. Ni kweli Bodi walipaswa wafanye huo utaratibu. Kutokufanya huo utaratibu maana yake Bodi walikiuka kanuni, kama ndivyo, ukiukwaji huo wa Kanuni hauwezi kufanya Yanga ikose haki yake.
Walitoa taarifa kwa uma, mawasiliano rasmi na bodi ya ligi ni ya njia gani?! Mwenye ligi yake ashaamua hata simba angerejesha au kufuata kauli mechi isingetambulika ingekuwa labda ya kirafiki tu.
Mnakaza tu fuvu, mamlaka imeahirisha mchezo mtaucheza tu.
Na ukichezwa urudishe upupu huu tena
 
Walitoa taarifa kwa uma, mawasiliano rasmi na bodi ya ligi ni ya njia gani?! Mwenye ligi yake ashaamua hata simba angerejesha au kufuata kauli mechi isingetambulika ingekuwa labda ya kirafiki tu.
Mnakaza tu fuvu, mamlaka imeahirisha mchezo mtaucheza tu.
Na ukichezwa urudishe upupu huu tena
Na Bodi kwenye kikao chao batili, wakainukuu barua hiyo.
 
Sasa unajuaje kama bila Bodi kauhirisha mechi Simba wasingeenda?
Umesoma taarifa yao kwa uma? Wamesema mle kuwa wasingeingiza team uwanjani. Hii waliisema hata kabla ya mechi kughairishwa
 
Umesoma taarifa yao kwa uma? Wamesema mle kuwa wasingeingiza team uwanjani. Hii waliisema hata kabla ya mechi kughairishwa
Kwani ukiandika sitacheza inakuwa ni kizuizi cha kwenda kucheza?
 
Simba kusema hachezi mchezo kulikuwa hakujaghairisha mchezowa dabi, Bila taarifa ya bodi ya ligi taratibu nyingne zote za mchezo zingefuata na refarii wa mchezo angefika pale na timu iliyofika kwa maana ya Yanga wangepewa haki yao ya points 3 na magoli 3
Kilichotokea ni bodi kughairisha mechi hapo haina uhusiano tena na simba baada ya hiyo barua ya bodi hata simba na yanga wote wangeenda uwanjani hakuna matokeo yaliyokuwa yanatambulika na bodi
Good mkuu
 
Bila kutengua barua, hakuna mtu atakupokea. Na hata Yanga wasingekubali, maana hao walioenda wangekuwa ni wahuni tu wala siyo Simba
Kwenda kucheza mpira uwanjani siku ya mechi kunahitaji kupokelewa?
 
Kwenda kucheza mpira uwanjani siku ya mechi kunahitaji kupokelewa?
Haihitaji kupokelewa, lakini kama watu wameshaandika barua kuwa hawachezi, halafu ghafla bila kutengua barua ya Mwanzo ukawaona, wewe unaweza kucheza nao?
 
Haihitaji kupokelewa, lakini kama watu wameshaandika barua kuwa hawachezi, halafu ghafla bila kutengua barua ya Mwanzo ukawaona, wewe unaweza kucheza nao?
Kwa hiyo Yanga alienda uwanjani ili acheze na nani wakati Simba imeshasema haiendi?
 
Kila walichofanya Bodi ya ligi baada ya barua ya Simba, ikiwemo tamko la kuwa mchezo utapangiwa tarehe nyingine ni batili, "Void abinitio". Yanga wametoa masaa 72 Bodi iwape Pointi 3. Baada ya hapo wataenda kwenye vyombo huska. Ili huo upuuzi wa Bodi kiahirisha mchezo ambao tayari umeshagomewa, kushindwa kupeleka Officials uwanjani pamoja na Yanga kupeleka timu, utamkwe rasmi kuwa ulikuwa ukiukwaji wa Kanuni, na kama ndivyo, remedy ni Yanga kupewa haki yake kwa mjibu wa Kanuni pale timu inapogoma kucheza mchezo.
Mwenye mamlaka ya na uendeshaji wa ligi ni nani? tuanzie hapo kwanza
 
Kwa hiyo Yanga alienda uwanjani ili acheze na nani wakati Simba imeshasema haiendi?
Wewe siyo mzima, Yanga alienda uwanjani kama sehemu ya kutimiza utaratibu wa kupewa alama tatu. Naanza kuelewa sasa kwanini nchi hii tuko hivi. Tuna watu vichwa vyenu vinatosha kubebea mbege tu.
Kama unafikiri Yanga ni wajinga kupeleka timu uwanjani subiri ngoma irindime
 
Wewe siyo mzima, Yanga alienda uwanjani kama sehemu ya kutimiza utaratibu wa kupewa alama tatu. Naanza kuelewa sasa kwanini nchi hii tuko hivi. Tuna watu vichwa vyenu vinatosha kubebea mbege tu.
Kama unafikiri Yanga ni wajinga kupeleka timu uwanjani subiri ngoma irindime
Huko uwanjani ni nani aliikagua na kupuliza kipyenga cha kumaliza mechi baada ya dakika 15?
Ni nani aliyekuwa kamisaa ambaye alichukua taarifa kuwa Yanga ilienda uwanjani?
TFF ilizuia match officials wote wasiende uwanjani maana hakuna mechi tena
 
Watajwa hapo juu tangu juzi hadi leo baada ya habari ya Yanga kuandika barua kuomba pointi 3 kutoka Bodi ya Ligi, Mmekuwa kwa kujiamini mkidai kuwa Yanga hawezi kupata pointi hizo kwakuwa Mechi iliahirishwana na Bodi ya Ligi na Simba asingeweza kupeleka timu uwanjani wakati mchezo umeahirishwa.

Lakini mnasahau mambo yafuatayo.

1. Simba kwa barua rasmi aliutarifu umma kuwa hachezi mchezo ule. Kwahiyo Simba aligoma kucheza mchezo, yaliyofuata yote baada ya hapo hayabadilishi chochote kwenye hilo. Hivyo, mtu anaweza kusema Bodi ya Ligi hakuna walichoahirisha kwakuwa hadi wanakaa kikao Simba haikuwa imebadilisha msimamo. Hivyo iko wazi kikao cha Bodi ya Ligi na maamuzi yake yalikuwa juu ya kitu ambachi hakipo. They decided on nothing. Mechi iliisha kwa barua ya Simba hadi wanakaa mechi ilikuwa hamna. Huwezi kiahirisha mchezo ambao tayari upande mmoja umeshasema haupo tena kwa barua rasmi.

2. Baada ya barua ya mgomo ya Simba, Bodi wakafanya Kosa la kuitisha kikao na kufanya boko la kiahirisha mechi ambayo tayari haikuwepo kwakuwa Simba walikuwa wameshasema hawachezi na kwa barua rasmi.
3. Bodi wakacheza Boko la tatu, wakaacha kupeleka Maafisa wa mechi Ili kukamilisha utaratibu wa kuwapa Yanga Pointi 3 kwa mjibu wa Kanuni. Yanga kwa kulijua hilo wakapeleka timu uwanjani.

Kwakuwa Simba waligoma kucheza mchezo, ilikuwa ni wajibu wa Bodi kuendelea na taratibu. Sasa basi, kwakuwa Simba alikosea, Bodi ya Ligi nayo ikakosea, mtu hawezi kusema kuwa makosa ya Bodi ya Ligi yanaifaidisha Simba. Simba ataadhibiwa kwa kugoma kucheza mchezo bila sababu, Bodi ya Ligi itaadhibiwa kwa kushindwa kuwema taratibu za kuipa Yanga pointi 3 kwa mjibu wa kanuni. Na baada ya hayo, yatatoka maelekezo ya yanga kupewa haki yake kwa mjibu wa sheria. Yanga hawezi kunyimwa haki yake kwa makosa ya Bodi ya Ligi kushindwa kutafsiri Sheria.
Simba hanamamlaka ya kuhairisha mchezo alisema lakini yawezekana hakuwana maanisha ila aliwatumia barua bodi ya ligi juu ya kusudio lake! Hila baada ya kusomanakujiridhisha waliahirisha mchezo ili wafanye uchunguzi kwanini Simba alizuiwa kuingia uwanjani! Simba ana kesi mwenye mpira wake ndye kaahirisha mchezo wewe chura una lipi la kusema!
 
Back
Top Bottom