Kwako Lissu; Kwenye public speeches na Live interviews kunahitaji Sanaa ya kuusema ukweli na kuepuka UKALI wakati usio sahihi ili kushawishi watu

Kwenye huu uzi wa december uliongea hivi leo unasema hivi katika watu ambao hawana msimamo ni wewe ni kigeugeu sana na hii ni tabia ya watanzania wengi unafki
 
Kwa siasa za Tanzania anahitajika mtu wa aina ya Lisu, alivyo anakubalika na wengi.
 
Kingine ambacho Lissu anasahau ni kwamba anahitaji watu wa pande zote. Kwa mfano kumkandia JPM mwenye wafuasi ni kutokujua madhara yake. JPM Kwa sasa hayupo lakini bado kuna watu wanampenda, hana sababu ya kumponda ikiwa anataka kuvuta wafuasi wa JPM upande wake.

Kingine lazima atunze siri! Akipewa siri fulani aitumie kumnufaisha sio kuiropoka hadharani kutafuta umaarufu usiyoweza kumpa wafuasi wapya! Jamaa akipewa siri mdomo unawasha washa!
 
Natamani kujua hizo kete zinazowekwa ili ziliwe kimkakati ni kina nani hao. Huwa wanaishia wapi?
 
Sasa Donald Trump utamshauri kitu gaji? Ifike wakati mjinga aitwe kwa jina lake sio kuzunguka
 
kitu ambacho Lissu hakiwezi ni UNAFIKI! Ukimuijia kipuuzi anakupiga za uso papo kwa hapo. wale wahariri wengi wao ni makada. akili ziko matumboni.
 
Hekima ndio imetufikisha hapa tulipo sasa imetusaidia nini? Watu wanapora uchaguzi watu wanaengua wahombea watu wanakatishwa uhai kisa uchaguzi tu? Halafu yote tunaona hayana msingi?

Sasa Lisu ataendeshaje maandamano ya no reforms no election bila kundi kubwa la wanachama, wafuasi na washabiki wa CCM ambao kimsingi ndio wengi.

Siasa ni hesabu
Nishakuambia Siasa ni kama Mchezo wa Draft.
Unajua kucheza Draft?
Ili nione kama unanielewa au vipi
 
Na kumtaja Magufuli kila wakati kwa tuhuma na bezo, inampunguzia washabiki na wapenzi bila ya yeye kujua!
 
Hatakiwi kuwa Mnafiki ila awe na Mbinu

someone who is genuine is genuine. Cannot pretend. anaweza kujifunza mbinu na bado akajisahau. He say what he mean, and he mean what he say. Intelligent and smart people ndio tuko hivyo. wakati mwingine inaweza kutugharimu lakini potelea mbali. Hatujipendekezi kwa wanadamu, Mungu huwa ndiye Yuko upande wetu hata kama wanadamu hawatotuelewa.

JESUS IS LORD&SAVIOR
 

Mungu akiwa upande wetu ni nani aliye juu yetu?

subiri utaona uweza wa Aliye juu
 
Just wondering
na wale wanaopewa tisheti, kanga, kofia, chakula na elfu kumi kumi wapo upande gani vile?
Miaka hii minne tangu afe JPM wamepokea kivitendo zile ahadi zilizozoeleka kutolewa kisiasa.

Viwanda vingi vimejengwa huko mikoani na miundo mbinu yenye kurahisisha shughuli za kiuchumi imemwagwa.
 
Anaishi na hulka zile zile za mahakamani akiwa anataka kumnyanyasa mtuhumiwa (bullying) akisahau kuwa ni maisha nje ya ukumbi wa mahakama.

Anashindwa kujishusha na kuongea lugha ya mwananchi wa kawaida msukuma mkokoteni au mama ntilie.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…