Kwako Makonda, RC Mpya wa Arusha: Kipaupembele chako kikuu kama RC kiwe ni kuboresha mazingira ya utalii bora

Kwako Makonda, RC Mpya wa Arusha: Kipaupembele chako kikuu kama RC kiwe ni kuboresha mazingira ya utalii bora

Mi nataka akawasimamie wale wachina wamalize haraka kujenga ule uwanja wa mpira na ikifika mwishoni mwa mwaka 2025 aondoke akagombee ubunge mahali kwingine.
 
Kwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg. Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.

Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.

Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema Tumshauri Rais ateue vijana wasio na uzoefu lakini wana vipaji vya uongozi kwenye taasisi za Umma, hawa ni watu ' potential' sana niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha kupitia wewe.

Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:

Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.

Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.

Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.

Nne, tumia Kila njia, mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.

Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.

NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.
Amekuja kwa mkakati maalum wa kudhoofisha upinzani towards the general election. Utalii hauwezi kuwa kipaumbele!!
 
Mi nataka akawasimamie wale wachina wamalize haraka kujenga ule uwanja wa mpira na ikifika mwishoni mwa mwaka 2025 aondoke akagombee ubunge mahali kwingine.
Mkuu wa Mkoa ndio msimamizi wa Ujenzi?
Tafadhali ndugu naomba namba yako ya simu au adress ufikishiwe mchele wa lishe toka Marekani,kuna kitu inakosekana kwenye medula yako.
 
Mkuu wa Mkoa ndio msimamizi wa Ujenzi?
Tafadhali ndugu naomba namba yako ya simu au adress ufikishiwe mchele wa lishe toka Marekani,kuna kitu nimeona unakosa.
Kaka unaonesha una chuki sana na Makonda ,punguza chuki utakufa Kwa kihoro. Mkuu wa Mkoa ndie msimamizi mkuu wa shughuli zote za Serikali katika mkoa ndio maana ni mwenyekiti wa kamati ya ushauri ya mkoa yaani RCC ,Kila kitu kinachohusu mkoa yeye ndio msimamizi mkuu. Ndio maana utamsikia Rais au Waziri mkuu anapotoa maagizo hata Kwa TANROADS anamuelekeza mkuu wa mkoa
 
Kaka unaonesha una chuki sana na Makonda ,punguza chuki utakufa Kwa kihoro. Mkuu wa Mkoa ndie msimamizi mkuu wa shughuli zote za Serikali katika mkoa ndio maana ni mwenyekiti wa kamati ya ushauri ya mkoa yaani RCC ,Kila kitu kinachohusu mkoa yeye ndio msimamizi mkuu. Ndio maana utamsikia Rais au Waziri mkuu anapotoa maagizo hata Kwa TANROADS anamuelekeza mkuu wa mkoa
Hana ufahamu wowte kuhusu ujenzi, hata choo chambwa hajui kinavyojengwa.
Wewe usitake kutetea upuuzi uliojengwa na TANu na baadae CCM.
Ficha uchi, utachekwa na waungwana, upuuzi kama huu ndio juzi umeona dokta wa mifugo kasimamia ujenzi wa hospitali kasimamishwa na Naibu waziri mkuu.
Acheni upuuzi hii nchi yetu sote, awacha ujinga.
 
Amekuja kwa mkakati maalum wa kudhoofisha upinzani towards the general election. Utalii hauwezi kuwa kipaumbele!!
Tanzania nchi ya kijinga Sana. Unamteua mkuu wa mkoa kwenda kupambana na upinzani? Very stupid CCM
 
Kaka unaonesha una chuki sana na Makonda ,punguza chuki utakufa Kwa kihoro. Mkuu wa Mkoa ndie msimamizi mkuu wa shughuli zote za Serikali katika mkoa ndio maana ni mwenyekiti wa kamati ya ushauri ya mkoa yaani RCC ,Kila kitu kinachohusu mkoa yeye ndio msimamizi mkuu. Ndio maana utamsikia Rais au Waziri mkuu anapotoa maagizo hata Kwa TANROADS anamuelekeza mkuu wa mkoa
Ule uwanja upo Chini ya Wizara ya Michezo.
 
Mhe.Rais kamkumbusha jukumu la kusimamia utalii RC Makonda Arusha. Mhe.Makonda tafadhali pitia hapa upokee ushauri, Rais Samia ana matumaini makubwa na wewe Arusha.
 
Kwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg. Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.

Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.

Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema Tumshauri Rais ateue vijana wasio na uzoefu lakini wana vipaji vya uongozi kwenye taasisi za Umma, hawa ni watu ' potential' sana niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha kupitia wewe.

Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:

Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.

Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.

Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.

Nne, tumia Kila njia, mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.

Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.

NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.
We mburumundu kweli unafikiri kupanda mikokoteni ndo kuboresha utalii
 
Kwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg. Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.

Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.

Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema Tumshauri Rais ateue vijana wasio na uzoefu lakini wana vipaji vya uongozi kwenye taasisi za Umma, hawa ni watu ' potential' sana niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha kupitia wewe.

Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:

Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.

Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.

Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.

Nne, tumia Kila njia, mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.

Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.

NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.
Mambo mengine ya kuzingatia katika jiji la Arusha.

1. Usafi wa mazingira bado hauridhishi. Pita Kilombero ukielekea Airport ni kuchafu sana.

2. Matukio ua uharifu Arusha hasa hawa vibaka. Hili eneo namuaminia Makonda. Namkumbusha tu alipe kipaumbele.

3. Tuondelee vipanya, havileti hadhi na usafi kwa jiji la Arusha. Vipigwe marufuku kabisa kuingia mjini.

4. Ubora wa miundombinu bado Arusha inajitafuta. Kwa ushawishi wako Makonda natarajia utasaidia hawa Tarura na Tanroads kuwajibika.

Kufungwa taa za barabarani, hasa barabara ya Njiro hadi bypass na maeneo ya mjini kati. Barabara kuanzia impala round abt hadi relini ni kama vile Tarura haipo. Waziri Makame aliahidi barabara ya kuanzia kilombero hadi airport itakuwa njia nne. Akumbushwe ni lini inaanza kutengenezwa.

5. Kuna ubadhirifu mkubwa sana kuanzia ukusanyaji wa mapato na matumizi yake. Wamefanya Arusha kama shamba la bibi.

Nimekupa hayo tu ya kuanzia katika kulipa ubora jiji la Arusha.
 
Hana ufahamu wowte kuhusu ujenzi, hata choo chambwa hajui kinavyojengwa.
Wewe usitake kutetea upuuzi uliojengwa na TANu na baadae CCM.
Ficha uchi, utachekwa na waungwana, upuuzi kama huu ndio juzi umeona dokta wa mifugo kasimamia ujenzi wa hospitali kasimamishwa na Naibu waziri mkuu.
Acheni upuuzi hii nchi yetu sote, awacha ujinga.
Huyu mburumundu kaleta huu uzi na mawazo ya Kitanu tanu hovyo kabisa
 
Jambazi,mtekaji na muuaji ambaye mikono yake imejaa damu anawezaje ku promote utalii? Huyo pahala anapostahili kuwa ni jela tu akisubiria kunyongwa hadi afe.
 
Back
Top Bottom