Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Amekuja kwa mkakati maalum wa kudhoofisha upinzani towards the general election. Utalii hauwezi kuwa kipaumbele!!Kwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg. Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.
Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.
Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema Tumshauri Rais ateue vijana wasio na uzoefu lakini wana vipaji vya uongozi kwenye taasisi za Umma, hawa ni watu ' potential' sana niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha kupitia wewe.
Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:
Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.
Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.
Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.
Nne, tumia Kila njia, mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.
Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.
NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.
Inahitaji dola ili kuagiza pedi, P2 na kondom toka marekani ili muweze kupanga uzazi.Kwani Tanzania inazalisha dola?
Mkuu wa Mkoa ndio msimamizi wa Ujenzi?Mi nataka akawasimamie wale wachina wamalize haraka kujenga ule uwanja wa mpira na ikifika mwishoni mwa mwaka 2025 aondoke akagombee ubunge mahali kwingine.
Kaka unaonesha una chuki sana na Makonda ,punguza chuki utakufa Kwa kihoro. Mkuu wa Mkoa ndie msimamizi mkuu wa shughuli zote za Serikali katika mkoa ndio maana ni mwenyekiti wa kamati ya ushauri ya mkoa yaani RCC ,Kila kitu kinachohusu mkoa yeye ndio msimamizi mkuu. Ndio maana utamsikia Rais au Waziri mkuu anapotoa maagizo hata Kwa TANROADS anamuelekeza mkuu wa mkoaMkuu wa Mkoa ndio msimamizi wa Ujenzi?
Tafadhali ndugu naomba namba yako ya simu au adress ufikishiwe mchele wa lishe toka Marekani,kuna kitu nimeona unakosa.
Hana ufahamu wowte kuhusu ujenzi, hata choo chambwa hajui kinavyojengwa.Kaka unaonesha una chuki sana na Makonda ,punguza chuki utakufa Kwa kihoro. Mkuu wa Mkoa ndie msimamizi mkuu wa shughuli zote za Serikali katika mkoa ndio maana ni mwenyekiti wa kamati ya ushauri ya mkoa yaani RCC ,Kila kitu kinachohusu mkoa yeye ndio msimamizi mkuu. Ndio maana utamsikia Rais au Waziri mkuu anapotoa maagizo hata Kwa TANROADS anamuelekeza mkuu wa mkoa
Akagombee ili abwagwe Kama Kigamboni.Mi nataka akawasimamie wale wachina wamalize haraka kujenga ule uwanja wa mpira na ikifika mwishoni mwa mwaka 2025 aondoke akagombee ubunge mahali kwingine.
Tanzania nchi ya kijinga Sana. Unamteua mkuu wa mkoa kwenda kupambana na upinzani? Very stupid CCMAmekuja kwa mkakati maalum wa kudhoofisha upinzani towards the general election. Utalii hauwezi kuwa kipaumbele!!
Ule uwanja upo Chini ya Wizara ya Michezo.Kaka unaonesha una chuki sana na Makonda ,punguza chuki utakufa Kwa kihoro. Mkuu wa Mkoa ndie msimamizi mkuu wa shughuli zote za Serikali katika mkoa ndio maana ni mwenyekiti wa kamati ya ushauri ya mkoa yaani RCC ,Kila kitu kinachohusu mkoa yeye ndio msimamizi mkuu. Ndio maana utamsikia Rais au Waziri mkuu anapotoa maagizo hata Kwa TANROADS anamuelekeza mkuu wa mkoa
We mburumundu kweli unafikiri kupanda mikokoteni ndo kuboresha utaliiKwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg. Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.
Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.
Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema Tumshauri Rais ateue vijana wasio na uzoefu lakini wana vipaji vya uongozi kwenye taasisi za Umma, hawa ni watu ' potential' sana niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha kupitia wewe.
Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:
Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.
Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.
Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.
Nne, tumia Kila njia, mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.
Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.
NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.
Mtu anashinda vibarazani kusubiria kufanya kazi ya uchawa anazani utalii ni uchawaHii nchi imejaa vichasa, Nini hiki umeandika utalii unaboresjwa na mkuu wa mkoa? Tatizo Arusha ni utalii?
Umekurupuka sanaWe mburumundu kweli unafikiri kupanda mikokoteni ndo kuboresha utalii
U-CHADEMA utakuharibu akiliMtu anashinda vibarazani kusubiria kufanya kazi ya uchawa anazani utalii ni uchawa
Mambo mengine ya kuzingatia katika jiji la Arusha.Kwako Mkuu wa Mkoa Arusha mteuliwa Ndg. Paul Makonda, ninakupongeza Kwa uteuzi wako ambao kimsingi umenipa furaha hususani Kwa kupelekwa mkoa ambao ni kitovu Kwa shughuli za utalii ndani ya nchi yetu.
Utalii ni Moja ya sekta tegemeo katika upatikanaji wa fedha za kigeni na upatikanaji wa ajira hivyo kama mazingira ya sekta hii yakiwa bora na ya kuhamasisha uchumi utakua sana.
Ndg. Makonda, ninafahamu uthubutu wako na uwezo wako kiuongozi unaweza kuwa ni motisha tosha ya kukuza utalii ndani ya Arusha. Kupitia mada yenye kichwa kinachosema Tumshauri Rais ateue vijana wasio na uzoefu lakini wana vipaji vya uongozi kwenye taasisi za Umma, hawa ni watu ' potential' sana niliwaelezea Kwa ufupi vijana wenye sifa kama zako ambao kwao matokeo ni jambo la msingi. Tunataka kuona matokeo kwenye sekta ya utalii hususani ndani ya Arusha kupitia wewe.
Kwa kuanza katika kukuza utalii na kuboresha mazingira ya utalii ndani Fanya yafuatayo:
Kwanza, anza Kwa kuonesha mfano. Wewe ni Moja ya watu ambao unafuatiliwa sana Kila siku kwenye vyombo vya habari ,mitandao ya kijamii na sehemu mbalimbali. Ukianza Kwa kuonesha mfano wa kutembelea vivutio vya utalii na kuposti wengi wanaokufatilia watahasika zaidi na zaidi na kutamani kujionea wenyewe.
Pili, una ushawishi mkubwa mpaka Kwa wasanii na waigizaji wakubwa tumia ushawishi ulionao kuwashawishi kufanya matamasha ya utalii ndani ya Arusha hususani Ngorongoro.
Tatu, vijana wa Arusha wametumbukia kwenye ulevi wa kupindukia, matumizi ya bhangi na uendeshaji wa hovyo wa vyombo vya moto hususani pikipiki, haya yote yanatengeneza hofu Kwa wageni kuzuru jiji la Arusha. Utalii unahitaji mazingira ya utulivu na amani ,tunaomba hili ukalitizame.
Nne, tumia Kila njia, mbinu na mkakati kusaidia kutangaza utalii ndani ya Arusha sio tu hapa nchini bali hata nje ya nchi. Ukifanikiwa kuutangaza utalii ndani ya Arusha ka kuboresha mazingira bora ya utalii ,watanzania watajivunia uwepo wako zaidi.
Tano, simama kama wakala wa utalii ndani ya Arusha.
NB: Usikubali kushiriki siasa za Lema maana ni za kitoto sana ,atataka kukutoa kwenye mstari.
Unazani Mtalii anakuja kuja tu kama unasomba watu kwenyevMaloriU-CHADEMA utakuharibu akili
Huyu mburumundu kaleta huu uzi na mawazo ya Kitanu tanu hovyo kabisaHana ufahamu wowte kuhusu ujenzi, hata choo chambwa hajui kinavyojengwa.
Wewe usitake kutetea upuuzi uliojengwa na TANu na baadae CCM.
Ficha uchi, utachekwa na waungwana, upuuzi kama huu ndio juzi umeona dokta wa mifugo kasimamia ujenzi wa hospitali kasimamishwa na Naibu waziri mkuu.
Acheni upuuzi hii nchi yetu sote, awacha ujinga.
Maombi ya vichaaa ndo hayo.usikute upuuzi huu ameandika LemaWale Wamarekani mabeberu walivyo na gubu wataanza kutoa News Alert: Arusha si salama kwa Watalii wao kuja.
😂😂