Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
Aliyekuwa msanii wa hiphop, Mwana Fa kwenye mahojiano amesema kwamba kama sio mazishi yeye hawezi kumchangia yeyote harusi yake.
"Mimi huwa sichangi harusi ya mtu, kama ni mazishi nitachanga kwa sababu hilo halikupangwa, kifo kinakujaga tu".
Mwamba ameongea ukweli hapa!
WATU MPAKA WAFE NDIO UCHANGIE. HAYA NA WEWE USIJE KUOMBA KURA ZA WATU NAYO NI MCHANGO WA KUKUFANYA UWEPO BUNGENI UKIWA HAI.
"Mimi huwa sichangi harusi ya mtu, kama ni mazishi nitachanga kwa sababu hilo halikupangwa, kifo kinakujaga tu".
Mwamba ameongea ukweli hapa!
WATU MPAKA WAFE NDIO UCHANGIE. HAYA NA WEWE USIJE KUOMBA KURA ZA WATU NAYO NI MCHANGO WA KUKUFANYA UWEPO BUNGENI UKIWA HAI.