Kwako Mkuu wa Mkoa wa Dar (Kesi za Wizi Majumbani Zimeshamiri). Usalama hakuna

Kwako Mkuu wa Mkoa wa Dar (Kesi za Wizi Majumbani Zimeshamiri). Usalama hakuna

mleta nada muongo hizo takwimu za kila eneo Dar umezitoa wapi ?
 
Aisee nimewaza huo mchanganyiko wa cement na utumbo unachofanya huko ndani duh unakufa ukijiona😪😪 mpelekeni polisi tu. Ila nikikumbuka maumivu ya kuibiwa simu, pc na nguo zote enzi za chuo hawa wezi nashindwa kuwaelewa kabisa🤔
Pole sana. Wezi sio watu wa maana.
 
Haya yote tunayataka sisi wenyewe wananzengo. Hawa vibaka hawaishi mwezini au sayari nyingine, tunaishi nao humu humu kwenye jamii zetu na tunazifahamu tabia zao ila akishakuwa ni mtoto wa fulani tunamuhofia sababu tunamjua na kwao ndiye anayewalisha.

Ikiwa sisi kwa sisi tutakamatana kwa umoja wetu, hao maaskari unaowataja watatusapoti sisi. Iangalie Keko kwa namna ilivyoshindikana, imefikia hatua mtu anakwapua simu halafu anatembea tu kuondoka kana kwamba hakuna kilichotokea.
 
Haya yote tunayataka sisi wenyewe wananzengo. Hawa vibaka hawaishi mwezini au sayari nyingine, tunaishi nao humu humu kwenye jamii zetu na tunazifahamu tabia zao ila akishakuwa ni mtoto wa fulani tunamuhofia sababu tunamjua na kwao ndiye anayewalisha.

Ikiwa sisi kwa sisi tutakamatana kwa umoja wetu, hao maaskari unaowataja watatusapoti sisi. Iangalie Keko kwa namna ilivyoshindikana, imefikia hatua mtu anakwapua simu halafu anatembea tu kuondoka kana kwamba hakuna kilichotokea.
Hatari sana.

Usalama wa Raia na mali zao umebaki kwenye makaratasi tu.

Saivi hata ukichelewa kurudi nyumbani unaanza kuwaza kama utafika salama.
 
Wahuni wengi walikuwa wanaogopa usawa wa yulee bandidu na wengi wamepotea saaana,
Huyu wa sasa hajaonesha cheche zozote huenda ikawa sababu
 
Hilo ndio bom LA vijana kukosa ajira ambalo huwa linazungumzwa kila siku na watu wenye akili ila sisiem hupinga katakata !!! Hali ni mbaya sana sana !!! Nimeshangaa niliangalia BBC watu wa Mozambique wanasema Hata wanao chinja watu Mozambique wengi ni watanzania niliogopa sana sana nikajumlisha na wale 854 walio Asi kwa kuandamana na kutimuliwa nikachanganyikiwa kabisa
 
Ukikutwa na mali dukani isiyo na maelezo faini na kufilisiwa duka. Wakikosa pa kuuza hawataiba
Mmmmmh wewe bado mdogo ee?

Subiri kwanza kununua kama utaweza kutunza hizo risiti za malipo, Ni ngumu sana.

Hata hivyo wezi wanauwezo wa kufoji risiti na hautaelewa kama ni fake,
 
Mmmmmh wewe bado mdogo ee?

Subiri kwanza kununua kama utaweza kutunza hizo risiti za malipo, Ni ngumu sana.

Hata hivyo wezi wanauwezo wa kufoji risiti na hautaelewa kama ni fake,
Soma uelewe. Maduka ya vitu used yadhibitiwe. Hii operation imeshawahi kufanyika na ikazaa matunda. Ukikutwa na stock haina maelezo unafilisiwa. Wauzaji hawatanunua vifaa kwa vibaka. Vibaka watakosa masoko.
 
Hii ni hujuma kwa Mama. Haiwezekani wkt wa Mzee baba haya mambo yalikua hayapo
 
Prayer works....tuendelee kuiombea nchi yetu kila jambo huanzia ktk ulimwengu wa roho.
 
Back
Top Bottom