Huruma siyo malezi
JF-Expert Member
- Jul 18, 2020
- 1,433
- 3,210
Ndiyo upepo bado unawaruhusu soon utasikia risasi mitaani kila mwisho wa mwezi, labda mama ateme cheche[emoji23][emoji23][emoji23]...kwa hiyo wanaangalia upepo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndiyo upepo bado unawaruhusu soon utasikia risasi mitaani kila mwisho wa mwezi, labda mama ateme cheche[emoji23][emoji23][emoji23]...kwa hiyo wanaangalia upepo
Hehehh..kama kipindi kile Mbeya kule + Mwanza.Ndiyo upepo bado unawaruhusu soon utasikia risasi mitaani kila mwisho wa mwezi, labda mama ateme cheche
Ooh. Kumbe unamaanisha wenyemaduka?Soma uelewe. Maduka ya vitu used yadhibitiwe. Hii operation imeshawahi kufanyika na ikazaa matunda. Ukikutwa na stock haina maelezo unafilisiwa. Wauzaji hawatanunua vifaa kwa vibaka. Vibaka watakosa masoko.
Kabisa.Ooh. Kumbe unamaanisha wenyemaduka?