Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 31,913
- 65,514
Shekhe sihusiki na majiniKaka chinga mambo vip embu toa maoni unamshauri nini uniki flawa🤣😂�
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Shekhe sihusiki na majiniKaka chinga mambo vip embu toa maoni unamshauri nini uniki flawa🤣😂�
Ma bro mna yumba, we wa kulia Lia ka mbuzi😁🤓
Uniki flawa usiingie huu mtego. 🤣🤣6. Zungumza na watu unaowaamini
Kuzungumza na kuwaambia watu wa karibu nawe shida zako kunaweza kusaidia kupunguza viwango vyako vya msongo wa mawazo, huku kujumuika na familia na marafiki wanaweza kukusaidia kuwa mtulivu na kupunguza msongo wa mawazo. Ni vizuri kuzungumza na wengine kwani watu wanaweza kukusaidia kupata suluhisho la kile kinachokusumbua. Kumbuka, kuna watu ambao wanaweza kuwa wamepitia hali kama wewe. Hata hivyo, ikiwa haufikiri kuzungumza, unaweza kuandika hisia zako.
I swear, sinaga hizo ni hate za mtu binafsiHumu ndani na heka heka
Hampoi, hampumziki
Alikwambia? 😀😀Wanaomchanganya wapo nje huko lakini faraja anaitaka humu. Kumbe humu watu ndio wamechanganyikiwa zaidi. A beauty of her life is within her Personality.
Bro ulie changanyikiwa ni wewe peke ako😁🤓.Wanaomchanganya wapo nje huko lakini faraja anaitaka humu. Kumbe humu watu ndio wamechanganyikiwa zaidi. A beauty of her life is within her Personality.
Mention ‘emTuna mapungufu manne Kila binadamu
And describe them😁Mention ‘em
Kwahiyo unataka kusema mwenzako uniki ni mgonjwa wa akili? 😒Hisia zako zipo - sanaaa
Alafu hutaki mwenzako apate afya ya Akili ?
Huyo dada plug zaKe hazichomi vizuri
Hiyo michezo sichezagi.Wivu tu au na Wewe nikutunuku Uzi ?😁