Kwa hiyo unataka kutuambia kuwa kuna vitu vilikinzana katika ulimwengu wa giza?Mkuu mshana ni mtu mkubwa sana katika ulimwengu wa giza
Huu ni utani, demiss ndiye aliyekutupa nje...??Kisa nilihoji alikopatia elimu yake , aliniita ofisini na kunipiga sana aliniacha Nikita hoi na wasaidizi wake walinitupa nje
Kwa kweli, naona zilikuwa salamu za mapokezi...Nadhani alienda kama kwa mganga akapokelewa kwa makofi pale mlangoni si unajua waganga walivyo na mbwembwe
Daah kweli kuna mambo makubwaMkuu funguka ili ueleweke zaidi kilichokupata,kukulima cha moto una maanisha nini?
[emoji87] [emoji87]Angalia nyuma kwako chini ya kiuno kabla ya k vipi hajakufanyia uharibifu eneo hilo maana hana tofauti na popobawa?
haya mkuu hata darasani si wote wanaelewaKuna walionielewa tayari
Siyo kweli, kama upande wa pili (mlalamikiwa) hawatokei lazima kesi itaendelea kusikilizwa upande mmoja (ex-parte).Kama alikupiga kwanini hukuenda polisi? unadhani kuanzisha uzi humu itakusaidia kitu? kwa kawaida huyo mshana hata kuja kujibu kwenye hii thd bali atasubiri azungumziwe humu kisha yeye ata anzisha thd nyingine ya kujisafisha,
Anyway kesi haihukumiwi kwa kusikilizwa upande mmoja,ngoja tuone kama atakuja hapa.
Nilijua alikupa shoo shooo kumbe ni makofi ya kufa moto.Mshana Jr kumbuka kuwa hapa duniani tunapita, kunipeleka ofisi ni kwako na kunilima cha moto kisa nimehoji uganga na elimu yako ya unajimu kweli hii umeona ni kumaliza matatizo?
Mshana Jr damu yangu itakulilia mpaka siku na wewe unaingia kaburini. Wewe hutaishi milele kaka yangu Mshana Jr
Una maana magufuli na BensananeKisa nilihoji alikopatia elimu yake , aliniita ofisini na kunipiga sana aliniacha Nikita hoi na wasaidizi wake walinitupa nje
Kupotea kwa Ben Saanane sio mwisho wa kuhoji PhD ya Faru JohnMshana Jr kumbuka kuwa hapa duniani tunapita, kunipeleka ofisi ni kwako na kunilima cha moto kisa nimehoji uganga na elimu yako ya unajimu kweli hii umeona ni kumaliza matatizo?
Mshana Jr damu yangu itakulilia mpaka siku na wewe unaingia kaburini. Wewe hutaishi milele kaka yangu Mshana Jr
Kakupiga makofi mazito wapi?Makofi mazito
Kakulima vingapi vya moto huko ofisini?Mshana Jr kumbuka kuwa hapa duniani tunapita, kunipeleka ofisi ni kwako na kunilima cha moto kisa nimehoji uganga na elimu yako ya unajimu kweli hii umeona ni kumaliza matatizo?
Mshana Jr damu yangu itakulilia mpaka siku na wewe unaingia kaburini. Wewe hutaishi milele kaka yangu Mshana Jr
Nguja-ngojaEbu nguja nitoke church, ndipo nitarudi kusema neno
Hiko cha moto ni nini ?Mshana Jr kumbuka kuwa hapa duniani tunapita, kunipeleka ofisi ni kwako na kunilima cha moto kisa nimehoji uganga na elimu yako ya unajimu kweli hii umeona ni kumaliza matatizo?
Mshana Jr damu yangu itakulilia mpaka siku na wewe unaingia kaburini. Wewe hutaishi milele kaka yangu Mshana Jr