Kwako Mshana Jr

Pole sana.. inakuwaje unaenda kwenye himaya ya mtu halafu unaanza kuhoji kazi zake? kuna jambo unaficha hapa
 
Yaani ulienda kwake physically kabisa ukiwa umejiandaa na akili zako timamu ndio ukapata kibano au ulichukuliwa na mazombi yake?
....umetuacha njia panda!
Nimejiuliza swali kama hili
Akikujibu nitag mkuu
 
Daah JF inaenda kufa hivo mpaka SKY ECLAT Anafanya Drama[emoji23][emoji23]
 
Pole sana...

Umeshurutishwa kwa kuhoji mambo ya watu...

Nakumbuka kipindi hicho nipo shule ya msingi, kuna jamaa alikua kwenye mambo kama ya Mshana Jr... alikua akisema kitu hakosei lazima kitokee au kikutokee... alikua na uwezo wa ajabu sana...


Cc: mahondaw
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…