Kwako Mshana Jr

Vipi tena! amekubanjua kwa njia za kigiza? si unajua mpare yule.
 
Hi

ameshaloga polisi wanamuogopa yeye na hata madaktari wanaogopa kunitibu
Hahahaha! hizi imani hua mnazitolea wapi? au ndio amekupa kazi ya kuja kuwapumbaza watu humu? mwambie basi aroge ili aende akachukue hela zote zilizopo benki.
 
[emoji15] [emoji87] [emoji3] [emoji144] dada nimekusoma kwa herufi kubwa[emoji25] [emoji25] [emoji25]
 
Its a coded message in form of Kwa Mtogole drama.
Sio lazima kila mtu aelewe kama ulivyo elewa wewe,wengine tunajibu kutokana na thd tulivyoielewa,hii ni kiki ya kitoto kumpa huyo mshirikina wa jf hata kama thd ina maana nyingine.
 
Wale wote wanaohoji mungu wa dar es salaam ndio DAB balaa lazima liwakute
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…