Kwako Ndugai: Ukiwa kama Spika unapaswa kuisoma ilani ya CCM kwa kina kuhusu Bandari

Kwako Ndugai: Ukiwa kama Spika unapaswa kuisoma ilani ya CCM kwa kina kuhusu Bandari

View attachment 1748093
Kwanza ukiwa kama mbunge kutoka dodoma ulipaswa kuiongelea bandari kavu ya Ihumwa halafu uje kuweka msisitizo wa bandari kadhaa zinazotakiwa kujengwa.

Taifa litakuwa hatarini sana iwapo tutakuwa na wanasiasa wasioheshimu Miongozo na ilani walizojiwekea na ambazo ndizo walizopita nazo kujinadi kwa wananchi.

Karibuni kwa mjadala
Magufuli alipojenga uwanja wa ndege Chato, akaanzisha mbuga ya wanyama chato na akatoa wanyama serengeti na kupeleka Chato na akaanzisha pori la akiba chato viliandikwa wapi kwenye Ilani ya 2015-2020???
 
View attachment 1748093
Kwanza ukiwa kama mbunge kutoka dodoma ulipaswa kuiongelea bandari kavu ya Ihumwa halafu uje kuweka msisitizo wa bandari kadhaa zinazotakiwa kujengwa.

Taifa litakuwa hatarini sana iwapo tutakuwa na wanasiasa wasioheshimu Miongozo na ilani walizojiwekea na ambazo ndizo walizopita nazo kujinadi kwa wananchi.

Karibuni kwa mjadala
Mkuu nchi itaendeshwa kwa muono wa watu hadi lini? umeisoma vizuri ilani ya CCM? iko very subjective. BTW kama serikali haiongozwi na ilani ya vyama vya siasa ndugu yangu. Ilani ni mwongozo wa chama na ulipaswa ureflect muono wetu kitaifa DIRA YA MAENDELEO 2025.

Hopeful umeisoma ni document ndogo kuliko ilani ya CCM yenye kurasa za tupu zilizojaa tambo. Kuna wakati hapa tulijadili sana juu ya bandari ya mtwara tulia kweli kweli lakini tafiti zilionyesha si sahihi kuililia bandari ya mtwara. Labda kama watu walicounterfeit ripoti ile.

Utekelezwaji wa miradi ulipaswa kuzingatia mchango wake kwenye ukuaji wa kiuchumi na maendeleo ya watu. Two of the pillars za dira yetu ya maendeleo. Ikiwa miradi haijadiliwi na hakuna nafasi yakuhoji basi utekelezwaji wake unaweza kujatarishwa na watu wachache tu.
 
Spika hajui hata ilani anaropoka tu ohhh bandari ya bagamoyo bayo kwenye ilani haimo
Usimshangae spika, ccm wengi huwa wanaenda na biti ya raisi, kuna uwezekano raisi wa sasa anatembea biti ya mstaafu kwahiyo wote lazima mfate tu, sasahivi kila atakachoamua mama ndio kinafanyika kwakuwa huu ni wakati wake
 
Hiyo ndio kazi iliyopo mbele yetu na sio blah blah za kuuzia sura bungeni
Nikwambie tu bwana jinga hao ccm wenzako watakushangaza, elewa mradi wa ununuzi wa ndege ndio ushafika mwisho usitegemee kama kuna ndege kati ya zile alizoahidi mwendazake zitanunuliwa
 
Nikwambie tu bwana jinga hao ccm wenzako watakushangaza, elewa mradi wa ununuzi wa ndege ndio ushafika mwisho usitegemee kama kuna ndege kati ya zile alizoahidi mwendazake zitanunuliwa
Twende na Ilani
 
Magufuli alipojenga uwanja wa ndege Chato, akaanzisha mbuga ya wanyama chato na akatoa wanyama serengeti na kupeleka Chato na akaanzisha pori la akiba chato viliandikwa wapi kwenye Ilani ya 2015-2020???
Simba wa kutosha walishakuwepo Burigi
 
View attachment 1748093
Kwanza ukiwa kama mbunge kutoka dodoma ulipaswa kuiongelea bandari kavu ya Ihumwa halafu uje kuweka msisitizo wa bandari kadhaa zinazotakiwa kujengwa.

Taifa litakuwa hatarini sana iwapo tutakuwa na wanasiasa wasioheshimu Miongozo na ilani walizojiwekea na ambazo ndizo walizopita nazo kujinadi kwa wananchi.

Karibuni kwa mjadala
Nakushauri ukamfufue
 
Ikibidi itakuwa hivyo.
Mungu amekuumbua. Ukiamini kwamba mtu muovu ni shujaa wa nchi. Aliyeamini kwenye kuua kina Sanane na wenzake. Hakika mungu ametenda maajabu. Aliyeiba Kura siyo mwanadam tena leo
Asante mungu
 
View attachment 1748093
Kwanza ukiwa kama mbunge kutoka dodoma ulipaswa kuiongelea bandari kavu ya Ihumwa halafu uje kuweka msisitizo wa bandari kadhaa zinazotakiwa kujengwa.

Taifa litakuwa hatarini sana iwapo tutakuwa na wanasiasa wasioheshimu Miongozo na ilani walizojiwekea na ambazo ndizo walizopita nazo kujinadi kwa wananchi.

Karibuni kwa mjadala
Mimi siku zote nkawa nafikiri huyu jingalao ndo Ndugayi! Alafu Mtu kama huyu ukute ni baba mwenye watoto na TRA bila aibu wanachukuaga kodi yake?!😂
 
View attachment 1748093
Kwanza ukiwa kama mbunge kutoka dodoma ulipaswa kuiongelea bandari kavu ya Ihumwa halafu uje kuweka msisitizo wa bandari kadhaa zinazotakiwa kujengwa.

Taifa litakuwa hatarini sana iwapo tutakuwa na wanasiasa wasioheshimu Miongozo na ilani walizojiwekea na ambazo ndizo walizopita nazo kujinadi kwa wananchi.

Karibuni kwa mjadala
Yule heshima niliyobakiza kwake ni ya kibinadamu tu! Sitaki hata kumsikia
 
Magufuli alipojenga uwanja wa ndege Chato, akaanzisha mbuga ya wanyama chato na akatoa wanyama serengeti na kupeleka Chato na akaanzisha pori la akiba chato viliandikwa wapi kwenye Ilani ya 2015-2020???
Mtu akifanya kosa na ww unaiga?
 
Ba
Nikwambie tu bwana jinga hao ccm wenzako watakushangaza, elewa mradi wa ununuzi wa ndege ndio ushafika mwisho usitegemee kama kuna ndege kati ya zile alizoahidi mwendazake zitanunuliwa
Bado ndege ya mizigo ni muhimu
 
Mungu amekuumbua. Ukiamini kwamba mtu muovu ni shujaa wa nchi. Aliyeamini kwenye kuua kina Sanane na wenzake. Hakika mungu ametenda maajabu. Aliyeiba Kura siyo mwanadam tena leo
Asante mungu
Una ushahidi??
 
Back
Top Bottom