Jay One
JF-Expert Member
- Nov 12, 2010
- 18,042
- 19,787
Spika hajui hata ilani anaropoka tu ohhh bandari ya bagamoyo bayo kwenye ilani haimo
Ndugai mtu hovyo sana sanaaaaaa, kabisa, sio mtu yule aiseee, yaani leo anatetea bandari ya Bagamoyo, na anajua Bagamoyo port ni hatari sana kwa kuua nchi yetu, wachina watatukausha kila kitu