Kwako Rais Samia, fupa la ukwepaji Kodi Kwa wafanyabiashara wape wanunuaji wamalizane nalo lakini Serikali iwahamasishe kwa gawio katika manunuzi

Kwako Rais Samia, fupa la ukwepaji Kodi Kwa wafanyabiashara wape wanunuaji wamalizane nalo lakini Serikali iwahamasishe kwa gawio katika manunuzi

Kwako Rais wa JMT Mhe.Samia Suluhu Hassan, ninakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mhe.Rais, kwa namna ya pekee pekee ninapenda kuchukua nafasi kukupongeza kwa kuwa kielelezo Cha safari ya mabadiliko makubwa kwenye nyanja mbalimbali katika Taifa letu na kubwa zaidi litakalokumbukwa ni kuingia kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka huu na uchaguzi mkuu wa 2025 kukiwa na Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Mhe.Rais, siku ya Jana katika Baraza la Eid ulitukumbusha wajibu wa wafanyabiashara kulipa Kodi Kwa Serikali inayostahili na sio kuidhulumu Serikali. Ni kweli Mhe.Rais suala Hilo la wafanyabiashara kuidhulumu mapato ya Kodi Serikali lipo sana na zaidi wanunuaji hawalipi umuhimu mkubwa. Kivipi?

Mnunuaji ndio alitakiwa kuwa mtu wa kwanza na WA mwisho kubanana na huyu mfanyabiashara kumpatia risiti hali ya mzigo alioununua lakini wanunuaji hawafanyi hivyo na ninaamini Serikali ikianza na wanunuaji , wafanyabiashara watatoa risiti halali Kwa kiasi Fulani itapunguza tatizo.

Kwenye suala la kupewa risiti Kuna mambo matatu:

Kwanza, Kuna wafanyabiashara wanatoa risiti pungufu au hawatoi kabisa Kwa kigezo Cha punguzo la Bei. Mnunuaji anapewa punguzo la Bei ili akubali kuandikiwa risiti pungufu au asipewe kabisa.

Pili, Kuna wafanyabiashara wanatoa risiti za kutembelea njiani Kwa wateja. Hapa mteja anapewa risiti hata ya wiki iliyopita ya mzigo tofauti ili tu atumie kutembelea njiani. Wanaotumia mbinu hii wakikutana na ukaguzi wanasema mzigo nilinunua wiki iliyopita lakini sikuuchukua ndio nimeuchuka Leo.

Tatu, Kuna wafanyabiashara wanatoa Bado risiti za mkono. Mashine ya EFD anakuwa nayo kama dharula ya ukaguzi ikiwepo lakini wateja anawaandikia risiti za mkono na ukiuliza juu ya risiti ya EFD anakuambia mashine ni mbovu , Kwa kuwa mteja anakuwa amekipenda hiko kitu na Bei ni nzuri anachukua tu risiti ya mkono.

Haya ndio makundi ya wafanyabiashara na risiti wanazotoa, hapa sijazungumzia wanaotoa risiti kamili na halali Kwa sababu kundi hili ni wazalendo.

Mhe. Rais ,wakati ukiwaapisha viongozi uliowateua karibuni ulitilia mkazo suala la namba moja ya utambulisho Kwa Kila mtu.

Nafikiri suala Hilo la namba moja ya utambulisho linaweza kutumika kudhibiti dhuluma ya mapato inayofanywa na wafanyabiashara kwenye suala la risiti za EFD.

Hivyo Mhe.Rais nashauri suala hili la risiti za EFD kutoka Kwa wafanyabiashara liachwe Kwa wanunuaji walishughulikie ila Serikali iwahamasishe wanunuaji Kwa gawio kidogo kutokana na manunuzi.

Kwa kuwa Leo hii mteja anayepewa punguzo la Bei na mfanyabiashara hatoona umuhimu wa kudai risiti kutokana na punguzo basi ninaamini gawio la Serikali litamchochea kudai risiti. Kwa kuwa itakuwa ngumu Serikali kujua Bei halisi mzigo wa mteja basi huyu mteja adai risiti hata ya punguzo ili apate gawio.

Kukiwa na gawio ,mnunuaji hatoridhishwa na jibu la mashine ya EFD ni mbovu hivyo inawezekana akaondoka bila kununua Kwa huyo mfanyabiashara na atafanya hima kumtafuta mfanyabiashara anayetoa risiti za EFD na pia suala la kupewa risiti za mkono litapungua kama sio kuisha kabisa maana risiti ya mkono Haina gawio mnunuaji akihamasika na gawio itamchochea zaidi na zaidi.

Kuhusu kupewa risiti za kutembelea njiani kukwepa ukaguzi basi nalo litakwisha kabisa ,mnunuaji atataka risiti halali ya mzigo alionao ili naye gawio lisimpite.

Kwa kuwa gawio hili litahusu manunuzi yote yanayofanywa ninaamini wanunuaji watahamasika bila kujalisha ukubwa au gharama za mzigo na hili litawakumbusha wanunuaji Kila mara kudai risiti za EFD.

THE WAY FORWARD: NINI KIFANYIKE?
Kwanza, namba ya utambulisho ambayo Mhe.Rais umekuwa ukisisitiza itumike. Kwa kuwa itakuwa ni namba maalumu Kwa Kila mtu hivyo Kila mtanzania atakuwa na usajili maalumu. Mashine za EFD ziwezeshwe sehemu ya kuweka hiyo namba ya utambulisho na kwenye Kila risiti hiyo namba ionekane.

Namba hiyo ndio itumike kama jina lako kuingia kwenye mfumo unapotaka kulitoa gawio lako.

Pili, elimu itolewe Kwa wingi juu ya gawio Hilo la Serikali katika manunuzi. Uelewa unapokuwa mkubwa unafanya utekelezaji uwe wa juu zaidi.

Tatu, utaratibu huo unaweza kuitwa GAWIO LA SERIKALI KWA WANUNUAJI/ KATIKA MANUNUZI.

Mwisho, ninaamini wanunuaji wakitumika vizuri Kwa kuwapa gawio kutokana na manunuzi wanayofanya watasaidia kudhibiti suala la ukwepaji Kodi kutoka Kwa wafanyabiashara.

Wako katika ujenzi wa Taifa,
Watanzania watahamasika kulipa kodi sio kwa elimu tu bali pia waone pesa yao ya kodi haichezewi na wanaotajwa kufuja wanafungwa na kutaifishwa mali zao, haiwezekani Mkuu wa Ngorongoro hifadhi anakaa hotel ya milioni 3 kwa siku mpaka zinafika 200 milioni anaishia kuondolewa tu, mara mifumo ya kodi inachepushwa halmashauri
 
Timiza wajibu wako ipasavyo kabla ya kudai haki yako. Mfanyabiashara akitimiza wajibu wake Kwa kutoa Kodi inavyostahili ,wakusanya Kodi wa TRA wasingekuwa hivyo unavyosema ila hao wakusanyakodi ni wafanyabiashara waliowatengeneza. Unakuta mfanyabiashara anadaiwa milioni 500 ya Kodi lakini anamuomba mkadiriaji amkadirie iwe milioni 200 anasema sawa ,nitakukadiria hiyo unanipa ngapi? Anaahidiwa milion 30 , hapo tatizo limetengenezwa na nani?

Pia, unachosema nasema ni hoja dhaifu, Kwa nini? Kama ushahidi wa unachosema ni ripoti za CAG uko wrong, ripoti za CAG ni maoni ya mkaguzi na maoni hayo sio mara zote ni sahihi ila pia sikatai kwamba upigaji upo
Tumelipa kodi sana tu na bado tunalipa zile ambazo hatuwezi zikwepa lakini matumizi yake hayaeleweki. sasa unataka tudai haki lini. soma comment za watu wengi kwanini hawaoni shida kukwepa kodi. Lawama ni kwamba zinaishia kuwanufaisha wachache. hata serikali ifanye vipi, raia wanaona kodi wanayolipa inawanufaisha wachache hivyo siwezi kuwa na uchungu mfanyabiashara akiibia serikali hata kidogo.
 
Mama salma hakutoa hoja kujiangalia yeye au kuangalia nafasi yake ,kaangalia upande wa pili ambao wengine hatuufahamu.

Twende kwenye ukweli na uhalisia, hivi unataka mke wa Baba wa Taifa , mama Maria Nyerere aanze kulia Kwa watoto wake wamsaidie hela ya chumvi? Au aililie Serikali imsaidie?
Kabla ya huo muswaada wa Salma mama Maria Nyerere alikuwa anaishije? Hela ya chumvi alikuwa anaipata wapi??
 
Watanzania watahamasika kulipa kodi sio kwa elimu tu bali pia waone pesa yao ya kodi haichezewi na wanaotajwa kufuja wanafungwa na kutaifishwa mali zao, haiwezekani Mkuu wa Ngorongoro hifadhi anakaa hotel ya milioni 3 kwa siku mpaka zinafika 200 milioni anaishia kuondolewa tu, mara mifumo ya kodi inachepushwa halmashauri
Umesikiliza na upande wa pili au Yale maneno ya yule Diwani ndio ushahidi pekee ulionao? Kama unahukumu Kwa maneno ya upande mmoja, je huoni unakiuka principle of natural justice?
 
Kwako Rais wa JMT Mhe.Samia Suluhu Hassan, ninakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mhe.Rais, kwa namna ya pekee pekee ninapenda kuchukua nafasi kukupongeza kwa kuwa kielelezo Cha safari ya mabadiliko makubwa kwenye nyanja mbalimbali katika Taifa letu na kubwa zaidi litakalokumbukwa ni kuingia kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka huu na uchaguzi mkuu wa 2025 kukiwa na Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Mhe.Rais, siku ya Jana katika Baraza la Eid ulitukumbusha wajibu wa wafanyabiashara kulipa Kodi Kwa Serikali inayostahili na sio kuidhulumu Serikali. Ni kweli Mhe.Rais suala Hilo la wafanyabiashara kuidhulumu mapato ya Kodi Serikali lipo sana na zaidi wanunuaji hawalipi umuhimu mkubwa. Kivipi?

Mnunuaji ndio alitakiwa kuwa mtu wa kwanza na WA mwisho kubanana na huyu mfanyabiashara kumpatia risiti hali ya mzigo alioununua lakini wanunuaji hawafanyi hivyo na ninaamini Serikali ikianza na wanunuaji , wafanyabiashara watatoa risiti halali Kwa kiasi Fulani itapunguza tatizo.

Kwenye suala la kupewa risiti Kuna mambo matatu:

Kwanza, Kuna wafanyabiashara wanatoa risiti pungufu au hawatoi kabisa Kwa kigezo Cha punguzo la Bei. Mnunuaji anapewa punguzo la Bei ili akubali kuandikiwa risiti pungufu au asipewe kabisa.

Pili, Kuna wafanyabiashara wanatoa risiti za kutembelea njiani Kwa wateja. Hapa mteja anapewa risiti hata ya wiki iliyopita ya mzigo tofauti ili tu atumie kutembelea njiani. Wanaotumia mbinu hii wakikutana na ukaguzi wanasema mzigo nilinunua wiki iliyopita lakini sikuuchukua ndio nimeuchuka Leo.

Tatu, Kuna wafanyabiashara wanatoa Bado risiti za mkono. Mashine ya EFD anakuwa nayo kama dharula ya ukaguzi ikiwepo lakini wateja anawaandikia risiti za mkono na ukiuliza juu ya risiti ya EFD anakuambia mashine ni mbovu , Kwa kuwa mteja anakuwa amekipenda hiko kitu na Bei ni nzuri anachukua tu risiti ya mkono.

Haya ndio makundi ya wafanyabiashara na risiti wanazotoa, hapa sijazungumzia wanaotoa risiti kamili na halali Kwa sababu kundi hili ni wazalendo.

Mhe. Rais ,wakati ukiwaapisha viongozi uliowateua karibuni ulitilia mkazo suala la namba moja ya utambulisho Kwa Kila mtu.

Nafikiri suala Hilo la namba moja ya utambulisho linaweza kutumika kudhibiti dhuluma ya mapato inayofanywa na wafanyabiashara kwenye suala la risiti za EFD.

Hivyo Mhe.Rais nashauri suala hili la risiti za EFD kutoka Kwa wafanyabiashara liachwe Kwa wanunuaji walishughulikie ila Serikali iwahamasishe wanunuaji Kwa gawio kidogo kutokana na manunuzi.

Kwa kuwa Leo hii mteja anayepewa punguzo la Bei na mfanyabiashara hatoona umuhimu wa kudai risiti kutokana na punguzo basi ninaamini gawio la Serikali litamchochea kudai risiti. Kwa kuwa itakuwa ngumu Serikali kujua Bei halisi mzigo wa mteja basi huyu mteja adai risiti hata ya punguzo ili apate gawio.

Kukiwa na gawio ,mnunuaji hatoridhishwa na jibu la mashine ya EFD ni mbovu hivyo inawezekana akaondoka bila kununua Kwa huyo mfanyabiashara na atafanya hima kumtafuta mfanyabiashara anayetoa risiti za EFD na pia suala la kupewa risiti za mkono litapungua kama sio kuisha kabisa maana risiti ya mkono Haina gawio mnunuaji akihamasika na gawio itamchochea zaidi na zaidi.

Kuhusu kupewa risiti za kutembelea njiani kukwepa ukaguzi basi nalo litakwisha kabisa ,mnunuaji atataka risiti halali ya mzigo alionao ili naye gawio lisimpite.

Kwa kuwa gawio hili litahusu manunuzi yote yanayofanywa ninaamini wanunuaji watahamasika bila kujalisha ukubwa au gharama za mzigo na hili litawakumbusha wanunuaji Kila mara kudai risiti za EFD.

THE WAY FORWARD: NINI KIFANYIKE?
Kwanza, namba ya utambulisho ambayo Mhe.Rais umekuwa ukisisitiza itumike. Kwa kuwa itakuwa ni namba maalumu Kwa Kila mtu hivyo Kila mtanzania atakuwa na usajili maalumu. Mashine za EFD ziwezeshwe sehemu ya kuweka hiyo namba ya utambulisho na kwenye Kila risiti hiyo namba ionekane.

Namba hiyo ndio itumike kama jina lako kuingia kwenye mfumo unapotaka kulitoa gawio lako.

Pili, elimu itolewe Kwa wingi juu ya gawio Hilo la Serikali katika manunuzi. Uelewa unapokuwa mkubwa unafanya utekelezaji uwe wa juu zaidi.

Tatu, utaratibu huo unaweza kuitwa GAWIO LA SERIKALI KWA WANUNUAJI/ KATIKA MANUNUZI.

Mwisho, ninaamini wanunuaji wakitumika vizuri Kwa kuwapa gawio kutokana na manunuzi wanayofanya watasaidia kudhibiti suala la ukwepaji Kodi kutoka Kwa wafanyabiashara.

Wako katika ujenzi wa Taifa,
Kwa hasira ambayo nchi hii inapata, Rais aanze na miji mikubwa aanze na Dar, Mwanza, Arusha, Dodoma, Tanga, Mbeya, Tanga, Morogoro, Moshi n.k. TRA iaajiri au isambaze watu wa usalama wao. Hao watu wawepo kufuatilia wanunuzi wavae nguo za hadhi ya chini sana. Wafuatilie wanunuzi, wote mnunuzi na muuzaji ni ndani, mwenye biashara afilisiwe uone ndan8 ya miezi 3. Rais asicheke na hawa watu.
 
K
Tumelipa kodi sana tu na bado tunalipa zile ambazo hatuwezi zikwepa lakini matumizi yake hayaeleweki. sasa unataka tudai haki lini. soma comment za watu wengi kwanini hawaoni shida kukwepa kodi. Lawama ni kwamba zinaishia kuwanufaisha wachache. hata serikali ifanye vipi, raia wanaona kodi wanayolipa inawanufaisha wachache hivyo siwezi kuwa na uchungu mfanyabiashara akiibia serikali hata kidogo.
Kukwepa Kodi ni uhalifu kama uhalifu mwingine uwe umefanywa na mmoja au na wengi, hivyo acha kushiriki uhalifu ukiamini wengi wanafanya nitakuwa salama. Ndio ninyi mnashirimi kwenye maandamano ya wengi, unadakwa peke yako ukipelekwa mahakamani unajitetea tulikuwa wengi sikuwa pekee yangu mbona wengine hawajakamatwa?

Mfanyabiashara anayekwepa Kodi ni mhalifu na wewe unayemsaidia mfanyabiashara kukwepa Kodi ni mshirika wa uhalifu
 
Kwa hasira ambayo nchi hii inapata, Rais aanze na miji mikubwa aanze na Dar, Mwanza, Arusha, Dodoma, Tanga, Mbeya, Tanga, Morogoro, Moshi n.k. TRA iaajiri au isambaze watu wa usalama wao. Huyo watu wawepo kufuatilia wanunuzi wavae nguo za hadhi ya chini sana. Wafuatilie wanunuzi, wote mnunuzi na muuzaji ni ndani, mwenye biashara afilisiwe uone ndan8 ya miezi 3. Rais asicheke na hawa watu.
Mfumo mzuri ni ule unaoshirikisha idadi ndogo ya watu. Ukijaza usalama na watu wengine kimsingi unakaribisha ukwepaji Kodi zaidi maana mfanyabiashara atazungumza na hao watu lakini idadi ya watu ikipungua maana yake mfanyabiashara atakosa wa kuzungumza naye atazungumza na mfumo.

Kuna kipindi nilishauri Serikali itumie mfumo wa INVENTORY MANAGEMENT SYSTEM iliyofungamanishwa na Mfumo wa EFD na huo mfumo wa EFD uwekwe Bei elekezi Kwa Kila bidhaa na tukitumia hii mbinu ya kuwapa gawio wanunuaji ,hapo suala la kukwepa Kodi litakuwa historia.
 
K

Kukwepa Kodi ni uhalifu kama uhalifu mwingine uwe umefanywa na mmoja au na wengi, hivyo acha kushiriki uhalifu ukiamini wengi wanafanya nitakuwa salama. Ndio ninyi mnashirimi kwenye maandamano ya wengi, unadakwa peke yako ukipelekwa mahakamani unajitetea tulikuwa wengi sikuwa pekee yangu mbona wengine hawajakamatwa?

Mfanyabiashara anayekwepa Kodi ni mhalifu na wewe unayemsaidia mfanyabiashara kukwepa Kodi ni mshirika wa uhalifu
Ndio ni uhalifu kuukabidili inabidi mkate mzizi la sivyo haijalishi itafanyika nini bado watu wataendelea kukwepa kodi kwa sababu kodi yao wanaona inatumbuliwa. Simple as that. Sasa kama mtapambana na watu abdala ya chanzo mkisistiza uzalendo wakati kodi mnaila ikishakusanywa, kamwe hamuwezi kufanikiwa.
 
Kwako Rais wa JMT Mhe.Samia Suluhu Hassan, ninakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mhe.Rais, kwa namna ya pekee pekee ninapenda kuchukua nafasi kukupongeza kwa kuwa kielelezo Cha safari ya mabadiliko makubwa kwenye nyanja mbalimbali katika Taifa letu na kubwa zaidi litakalokumbukwa ni kuingia kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka huu na uchaguzi mkuu wa 2025 kukiwa na Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Mhe.Rais, siku ya Jana katika Baraza la Eid ulitukumbusha wajibu wa wafanyabiashara kulipa Kodi Kwa Serikali inayostahili na sio kuidhulumu Serikali. Ni kweli Mhe.Rais suala Hilo la wafanyabiashara kuidhulumu mapato ya Kodi Serikali lipo sana na zaidi wanunuaji hawalipi umuhimu mkubwa. Kivipi?

Mnunuaji ndio alitakiwa kuwa mtu wa kwanza na WA mwisho kubanana na huyu mfanyabiashara kumpatia risiti hali ya mzigo alioununua lakini wanunuaji hawafanyi hivyo na ninaamini Serikali ikianza na wanunuaji , wafanyabiashara watatoa risiti halali Kwa kiasi Fulani itapunguza tatizo.

Kwenye suala la kupewa risiti Kuna mambo matatu:

Kwanza, Kuna wafanyabiashara wanatoa risiti pungufu au hawatoi kabisa Kwa kigezo Cha punguzo la Bei. Mnunuaji anapewa punguzo la Bei ili akubali kuandikiwa risiti pungufu au asipewe kabisa.

Pili, Kuna wafanyabiashara wanatoa risiti za kutembelea njiani Kwa wateja. Hapa mteja anapewa risiti hata ya wiki iliyopita ya mzigo tofauti ili tu atumie kutembelea njiani. Wanaotumia mbinu hii wakikutana na ukaguzi wanasema mzigo nilinunua wiki iliyopita lakini sikuuchukua ndio nimeuchuka Leo.

Tatu, Kuna wafanyabiashara wanatoa Bado risiti za mkono. Mashine ya EFD anakuwa nayo kama dharula ya ukaguzi ikiwepo lakini wateja anawaandikia risiti za mkono na ukiuliza juu ya risiti ya EFD anakuambia mashine ni mbovu , Kwa kuwa mteja anakuwa amekipenda hiko kitu na Bei ni nzuri anachukua tu risiti ya mkono.

Haya ndio makundi ya wafanyabiashara na risiti wanazotoa, hapa sijazungumzia wanaotoa risiti kamili na halali Kwa sababu kundi hili ni wazalendo.

Mhe. Rais ,wakati ukiwaapisha viongozi uliowateua karibuni ulitilia mkazo suala la namba moja ya utambulisho Kwa Kila mtu.

Nafikiri suala Hilo la namba moja ya utambulisho linaweza kutumika kudhibiti dhuluma ya mapato inayofanywa na wafanyabiashara kwenye suala la risiti za EFD.

Hivyo Mhe.Rais nashauri suala hili la risiti za EFD kutoka Kwa wafanyabiashara liachwe Kwa wanunuaji walishughulikie ila Serikali iwahamasishe wanunuaji Kwa gawio kidogo kutokana na manunuzi.

Kwa kuwa Leo hii mteja anayepewa punguzo la Bei na mfanyabiashara hatoona umuhimu wa kudai risiti kutokana na punguzo basi ninaamini gawio la Serikali litamchochea kudai risiti. Kwa kuwa itakuwa ngumu Serikali kujua Bei halisi mzigo wa mteja basi huyu mteja adai risiti hata ya punguzo ili apate gawio.

Kukiwa na gawio ,mnunuaji hatoridhishwa na jibu la mashine ya EFD ni mbovu hivyo inawezekana akaondoka bila kununua Kwa huyo mfanyabiashara na atafanya hima kumtafuta mfanyabiashara anayetoa risiti za EFD na pia suala la kupewa risiti za mkono litapungua kama sio kuisha kabisa maana risiti ya mkono Haina gawio mnunuaji akihamasika na gawio itamchochea zaidi na zaidi.

Kuhusu kupewa risiti za kutembelea njiani kukwepa ukaguzi basi nalo litakwisha kabisa ,mnunuaji atataka risiti halali ya mzigo alionao ili naye gawio lisimpite.

Kwa kuwa gawio hili litahusu manunuzi yote yanayofanywa ninaamini wanunuaji watahamasika bila kujalisha ukubwa au gharama za mzigo na hili litawakumbusha wanunuaji Kila mara kudai risiti za EFD.

THE WAY FORWARD: NINI KIFANYIKE?
Kwanza, namba ya utambulisho ambayo Mhe.Rais umekuwa ukisisitiza itumike. Kwa kuwa itakuwa ni namba maalumu Kwa Kila mtu hivyo Kila mtanzania atakuwa na usajili maalumu. Mashine za EFD ziwezeshwe sehemu ya kuweka hiyo namba ya utambulisho na kwenye Kila risiti hiyo namba ionekane.

Namba hiyo ndio itumike kama jina lako kuingia kwenye mfumo unapotaka kulitoa gawio lako.

Pili, elimu itolewe Kwa wingi juu ya gawio Hilo la Serikali katika manunuzi. Uelewa unapokuwa mkubwa unafanya utekelezaji uwe wa juu zaidi.

Tatu, utaratibu huo unaweza kuitwa GAWIO LA SERIKALI KWA WANUNUAJI/ KATIKA MANUNUZI.

Mwisho, ninaamini wanunuaji wakitumika vizuri Kwa kuwapa gawio kutokana na manunuzi wanayofanya watasaidia kudhibiti suala la ukwepaji Kodi kutoka Kwa wafanyabiashara.

Wako katika ujenzi wa Taifa,
Wao wenyewe wakubwa wanabiashara na wanakwepa kodi hili hawawezi kulipitisha litawaathiri sana na wao pia, usiamini wanasiasa
 
Kwako Rais wa JMT Mhe.Samia Suluhu Hassan, ninakusalimu kwa jina la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Mhe.Rais, kwa namna ya pekee pekee ninapenda kuchukua nafasi kukupongeza kwa kuwa kielelezo Cha safari ya mabadiliko makubwa kwenye nyanja mbalimbali katika Taifa letu na kubwa zaidi litakalokumbukwa ni kuingia kwenye uchaguzi wa Serikali za Mitaa wa mwaka huu na uchaguzi mkuu wa 2025 kukiwa na Tume huru ya Taifa ya Uchaguzi.

Mhe.Rais, siku ya Jana katika Baraza la Eid ulitukumbusha wajibu wa wafanyabiashara kulipa Kodi Kwa Serikali inayostahili na sio kuidhulumu Serikali. Ni kweli Mhe.Rais suala Hilo la wafanyabiashara kuidhulumu mapato ya Kodi Serikali lipo sana na zaidi wanunuaji hawalipi umuhimu mkubwa. Kivipi?

Mnunuaji ndio alitakiwa kuwa mtu wa kwanza na WA mwisho kubanana na huyu mfanyabiashara kumpatia risiti hali ya mzigo alioununua lakini wanunuaji hawafanyi hivyo na ninaamini Serikali ikianza na wanunuaji , wafanyabiashara watatoa risiti halali Kwa kiasi Fulani itapunguza tatizo.

Kwenye suala la kupewa risiti Kuna mambo matatu:

Kwanza, Kuna wafanyabiashara wanatoa risiti pungufu au hawatoi kabisa Kwa kigezo Cha punguzo la Bei. Mnunuaji anapewa punguzo la Bei ili akubali kuandikiwa risiti pungufu au asipewe kabisa.

Pili, Kuna wafanyabiashara wanatoa risiti za kutembelea njiani Kwa wateja. Hapa mteja anapewa risiti hata ya wiki iliyopita ya mzigo tofauti ili tu atumie kutembelea njiani. Wanaotumia mbinu hii wakikutana na ukaguzi wanasema mzigo nilinunua wiki iliyopita lakini sikuuchukua ndio nimeuchuka Leo.

Tatu, Kuna wafanyabiashara wanatoa Bado risiti za mkono. Mashine ya EFD anakuwa nayo kama dharula ya ukaguzi ikiwepo lakini wateja anawaandikia risiti za mkono na ukiuliza juu ya risiti ya EFD anakuambia mashine ni mbovu , Kwa kuwa mteja anakuwa amekipenda hiko kitu na Bei ni nzuri anachukua tu risiti ya mkono.

Haya ndio makundi ya wafanyabiashara na risiti wanazotoa, hapa sijazungumzia wanaotoa risiti kamili na halali Kwa sababu kundi hili ni wazalendo.

Mhe. Rais ,wakati ukiwaapisha viongozi uliowateua karibuni ulitilia mkazo suala la namba moja ya utambulisho Kwa Kila mtu.

Nafikiri suala Hilo la namba moja ya utambulisho linaweza kutumika kudhibiti dhuluma ya mapato inayofanywa na wafanyabiashara kwenye suala la risiti za EFD.

Hivyo Mhe.Rais nashauri suala hili la risiti za EFD kutoka Kwa wafanyabiashara liachwe Kwa wanunuaji walishughulikie ila Serikali iwahamasishe wanunuaji Kwa gawio kidogo kutokana na manunuzi.

Kwa kuwa Leo hii mteja anayepewa punguzo la Bei na mfanyabiashara hatoona umuhimu wa kudai risiti kutokana na punguzo basi ninaamini gawio la Serikali litamchochea kudai risiti. Kwa kuwa itakuwa ngumu Serikali kujua Bei halisi mzigo wa mteja basi huyu mteja adai risiti hata ya punguzo ili apate gawio.

Kukiwa na gawio ,mnunuaji hatoridhishwa na jibu la mashine ya EFD ni mbovu hivyo inawezekana akaondoka bila kununua Kwa huyo mfanyabiashara na atafanya hima kumtafuta mfanyabiashara anayetoa risiti za EFD na pia suala la kupewa risiti za mkono litapungua kama sio kuisha kabisa maana risiti ya mkono Haina gawio mnunuaji akihamasika na gawio itamchochea zaidi na zaidi.

Kuhusu kupewa risiti za kutembelea njiani kukwepa ukaguzi basi nalo litakwisha kabisa ,mnunuaji atataka risiti halali ya mzigo alionao ili naye gawio lisimpite.

Kwa kuwa gawio hili litahusu manunuzi yote yanayofanywa ninaamini wanunuaji watahamasika bila kujalisha ukubwa au gharama za mzigo na hili litawakumbusha wanunuaji Kila mara kudai risiti za EFD.

THE WAY FORWARD: NINI KIFANYIKE?
Kwanza, namba ya utambulisho ambayo Mhe.Rais umekuwa ukisisitiza itumike. Kwa kuwa itakuwa ni namba maalumu Kwa Kila mtu hivyo Kila mtanzania atakuwa na usajili maalumu. Mashine za EFD ziwezeshwe sehemu ya kuweka hiyo namba ya utambulisho na kwenye Kila risiti hiyo namba ionekane.

Namba hiyo ndio itumike kama jina lako kuingia kwenye mfumo unapotaka kulitoa gawio lako.

Pili, elimu itolewe Kwa wingi juu ya gawio Hilo la Serikali katika manunuzi. Uelewa unapokuwa mkubwa unafanya utekelezaji uwe wa juu zaidi.

Tatu, utaratibu huo unaweza kuitwa GAWIO LA SERIKALI KWA WANUNUAJI/ KATIKA MANUNUZI.

Mwisho, ninaamini wanunuaji wakitumika vizuri Kwa kuwapa gawio kutokana na manunuzi wanayofanya watasaidia kudhibiti suala la ukwepaji Kodi kutoka Kwa wafanyabiashara.

Wako katika ujenzi wa Taifa,
Niliwahi kuwaza juu ya jambo hili, ahsante sana Kwa bandiko lako.

CC: mwigulu88
 
Katika wafanyabiashara wanao ongoza kukwepa Kodi ni kariakoo,wafanyabiashara wa kariakoo ndio wanaosambaza bidhaa nchi nzima na nchi za jirani.Walipaji Kodi wazuri ni wauzaji wa bidhaa za rejareja wauzaji wa bidhaa za jumla wanafunga mizigo ya jumla kwenda mikoani lakini hawatoi risiti na wakitoa kama anavyosema mtoa mada inatolewa risiti ya magumashi ya kuonyesha njiani endapo atakaguliwa.Watanzania tuwe wazalendo taifa bila Kodi suala la maendeleo ni ndoto kwetu hiyo migomo isiwe kama kichaka cha kukwepa kulipa Kodi watumishi wanalipa Kodi kwenye mishahara Yao lakini husikii migomo sababu wanajua ni kwa ajili ya maendeleo ya nchi yao
 
Ni vigumu watu kuhamasika kulipa kodi wanapoona zinaenda kulipa wenza wa viongozi, kuongeza mavietee, kulipana posh za safari na vikao vya wabunge, pensheni kubwa za wabunge na mambo mengine kama hayo.
Mimi ni mwalimu huku kijijini Kazuramimba, naomba hiyo posho ya 60% Kwa wenza wa viongozi, ituhusu na sie watumishi wa kawaida ambao kamba zetu za malisho ni fupi. Lakini Cha kushangaza Sheria hii imewekwa Kwa viongozi wa juu ambao kamba zao za Kula ni ndefu pasipo kifani. Na hata wakifa familia na wenza wanabaki wakiogelea kwenye bahari ya utajiri wa Kula Kwa kamba ndefu.
CC: Lucas Mwashambwa , Meneja Wa Makampuni , johnthebaptist , Crimea
 
Mfumo mzuri ni ule unaoshirikisha idadi ndogo ya watu. Ukijaza usalama na watu wengine kimsingi unakaribisha ukwepaji Kodi zaidi maana mfanyabiashara atazungumza na hao watu lakini idadi ya watu ikipungua maana yake mfanyabiashara atakosa wa kuzungumza naye atazungumza na mfumo.

Kuna kipindi nilishauri Serikali itumie mfumo wa INVENTORY MANAGEMENT SYSTEM iliyofungamanishwa na Mfumo wa EFD na huo mfumo wa EFD uwekwe Bei elekezi Kwa Kila bidhaa na tukitumia hii mbinu ya kuwapa gawio wanunuaji ,hapo suala la kukwepa Kodi litakuwa historia.
Nakala Kwa: TRA Tanzania
 
Dkt.Mwigulu tafadhali pokea ushauri huu kwa maslahi mapana ya taifa letu. Naweza kusaidia kufanikisha jambo hili nikihitajika kufanya hivyo
 
Suala la kulipa Kodi ni lazima ndio maana zinawekwa taratibu za ukusanyaji na mara nyingine matumizi ya nguvu yanahitajika. Kigezo gani unatumia kusema hivyo?
Ukitaka watu walipe Kodi basi usifuje Kodi zao Kwa anasa...Lakini pia Kodi iwe realistic na sio kama hivi sasa umekaa siku3 hujauza ,duka linamtaji wa 20M alafu unapigiwa simu eti kuna assesment yenye madai ya 200M..Unamuuliza afisa TRA hivi hata kwa kuangalia bidhaa zilizo dukani unaona ni sahihi kunidai hiyo 200M ? Anakujibu comply na Sheria za Kodi..Kibambikiana kusiko lazima inageuka kuwa hujuma
 
Back
Top Bottom