Kwako Single Mother, naomba nafasi tulee huyo mtoto, nitakuwa baba bora mwenye upendo hutoamini

Kwako Single Mother, naomba nafasi tulee huyo mtoto, nitakuwa baba bora mwenye upendo hutoamini

Nitajitahidi vipi kuingia inbox na wakati nimekwambia sijiu nielekeze .
Ok, kama unatumia Smart Phone, na kama unasoma huu ujumbe: bonyeza picha yangu (Profile photo), utaenda kwenye ukurasa una maneno mengi kunihusu...sasa wewe angalia palipoandikwa "Start conversation"...hapo utakutana na ukurusa wenye vitu viwili: Title - yaani uandike kichwa cha ujumbe, kisha chini yake ni eneo la kuandika ujumbe...kisha bonyeza "Send".
 
bora umekuwa wazi tu .

ila cngo age gani hata bibi yangu ambae ni mjane?


all the best.
Mkuu, in common sense, bibi ana wajukuu...mimi nimesema mtu mwenye mtoto/watoto. Sijui tumeelewana!?
 
Ok, kama unatumia Smart Phone, na kama unasoma huu ujumbe: bonyeza picha yangu (Profile photo), utaenda kwenye ukurasa una maneno mengi kunihusu...sasa wewe angalia palipoandikwa "Start conversation"...hapo utakutana na ukurusa wenye vitu viwili: Title - yaani uandike kichwa cha ujumbe, kisha chini yake ni eneo la kuandika ujumbe...kisha bonyeza "Send".
au wewe fanya kumtumia ujumbe au namba kabisa kwa private message
 
Duuh haya ndo yale mawazo magum watu wanasemaga [emoji102]
Mkuu, ugumu uko wapi hapo. Nimesema wazi nahitaji Single Mother, moyo umetaka hivyo...sasa kigumu kipi mbele ya kiduara kinachosukuma dumu mwili mzima japo hakina mfupa??
 
Back
Top Bottom