Kwako Single Mother, naomba nafasi tulee huyo mtoto, nitakuwa baba bora mwenye upendo hutoamini

Kwako Single Mother, naomba nafasi tulee huyo mtoto, nitakuwa baba bora mwenye upendo hutoamini

Sister,kajitokeza mtu hapa ukikosa nafasi usije ukasema sikukupa taarifa.
 
sorry napenda kujua wewe una umri gani?? maana MTU anaweza kujitokeza ikawa age difference kubwa sana atiii
 
Kilichonileta humu ni kutoa langu la moyoni kwa yeyote ambae nafsi yake itaguswa na hitaji langu. Natumaini ninayo haki kikatiba, kidini na kijamii kuchagua aina ya mwenza ambaye nafsi na moyo wangu havitakuja kupungukiwa na upendo juu yake pamoja na wote anaowaheshimu na kuwathamini katika maisha yake.

Natafuta Single Mother (mwanamke aliyezaa mtoto/watoto lakini hajaolewa: Yamkini aliolewa akatoka kweye ndoa au alizaa kabla ya kuingia kwenye ndoa.

Ieleweke kuwa mimi sina matatizo yoyote ya kiuzazi na ni mwanaume rijali mwenye heshima ndani ya jamii inayonizunguka, najitegemea na ni mlipa kodi serikalini.

Pia ieleweke kuwa ninatambua kuna sehemu za ibada, mtaani na hata kazini ambapo ningeweza kutafuta mwenza ninayemtaka, lakini JamiiForums binafsi nina iheshimu kwasababu wanachama sio maroboti, ni watu hao hao walio kwenye jamii nilizozitaja hapo juu. Kwahiyo nina imani 100% kuwa nitampata mwenza wa sifa niliyoitaja.

Mwanamke huyo nitampenda kabisa kwa hali zote bila kujali amekubali tuoane au tubaki kwenye uhusiano wa kawaida. Pia mtoto/watoto wake nitawapenda hatoamini, na wala sitakuwa na kinyongo juu ya mwenza wangu kuwasiliana na baba wa watoto (wa damu), na tutamkaribisha kuwa anakuja kuwasalimia (kama mwenzangu akitaka).

Akili yangu imejawa na mawazo safi na chanya, hivyo siamini kuhusu baba wa damu kuendeleza uhusiano wa kimapenzi wakati halei watoto, au hata kama analea (ina maana tutakuwa sasa tunasaidiana kulea), nadhani ataniheshimu mimi kama mume halali wa huyu mwanamke.

Kama ni wewe ndio mke wangu mtarajiwa (Single Mother) au kuna Single Mother unamfahamu, tafadhari njoo inbox kwa maongezi zaidi.

Asante JamiiForums.

N.B. Nadhani nimejieleza vyema na sitarajii Interview (maswali yasio na mwelekeo wa swala langu au kejeli). Ni vizuri ukaja inbox kama una hoja, unless you are a potential Single Mother unaehitaji nikufafanulie zaidi.

Asanteni.

Kuna mmoja namfahamu yupo desperate sana.

Ngoja nije PM nikupe jina na contacts zake.
 
sorry napenda kujua wewe una umri gani?? maana MTU anaweza kujitokeza ikawa age difference kubwa sana atiii
Hi, mie ni mtu mzima, hivyo usihofu...ila kutaja exact number kwasasa bado mapema mno maybe njoo inbox. Thanks
 
Kama unalifanya hili kwa nia njema na iwe kheri kwako na kwenye mipango yako.......!!

Ila kama unafanya hili kwa malengo mabaya au kudhihaki....laana ya kila chozi la atakayelia kwa ajili yako ikuandame wewe na kizazi chako......

Amen......
Amina.
Ni kwa nia njema na mapenzi ya moyo wangu na Bwana ameshabariki maamuzi yangu.
 
Uziri wa single mother wengi wanajielewa na wanayajua maisha na hawataki kurudia makosa yao! Hivyo wanafaa kuwa wake!
Tangu niliposoma ule uzi unaohusu watoto waliolelewa bila baba walivyoathirika kisaikolojia na jinsi walivyo na chuki na baba zao nimekuwa sina pingamizi la kumuoa single mother ili mradi tunapendana for the sake of the child
 
Ngoja ni ku PM namba za masingle mama wa mtaani kwetu, kuna kadada fulani hivi kana mtoto mmoja wa miaka minne, mdada bado mbichi kabisa, asipokwambia kuwa na mtoto unaweza fikiri bado ni mwana mwali, nyonyo bado imesimama powa tu, mambo ya sita anayajua kiasi si saaana, tundu linabada vizuri sana kama hajashusha vile( nimemtumia mara mbili tu)
WEWE NI SHIDA KWELI,UNAMUUZIA MWENZIO USED ,AJE AKULAUMU BAADAE....HAHAHAHAHA
 
Uziri wa single mother wengi wanajielewa na wanayajua maisha na hawataki kurudia makosa yao! Hivyo wanafaa kuwa wake!
Tangu niliposoma ule uzi unaohusu watoto waliolelewa bila baba walivyoathirika kisaikolojia na jinsi walivyo na chuki na baba zao nimekuwa sina pingamizi la kumuoa single mother ili mradi tunapendana for the sake of the child
"siyo kweli nyakati zote huwa hivyo,gusa unase"
 
Kama unalifanya hili kwa nia njema na iwe kheri kwako na kwenye mipango yako.......!!

Ila kama unafanya hili kwa malengo mabaya au kudhihaki....laana ya kila chozi la atakayelia kwa ajili yako ikuandame wewe na kizazi chako......

Amen......

Kaka yangu yuko very serious katika hili swala mkuu
 
Back
Top Bottom