Karucee
JF-Expert Member
- Mar 11, 2012
- 18,155
- 34,303
Utachoka zaidi siku crushie wako akianzisha sired kwaajili ya mtu mwingine
Bora kuliko akuandikie wewe afu pumba tupu.
*****.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Utachoka zaidi siku crushie wako akianzisha sired kwaajili ya mtu mwingine
Nakutafuta huu mwaka wa 9!!!!Hahaahha iwish nimjue huyo jamaa
Mwenye dada hakosi shemeji[emoji23][emoji23][emoji23]...
Anafaudu aisee!!
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Utachoka zaidi siku crushie wako akianzisha sired kwaajili ya mtu mwingine
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Lol ..mapenzi ya Jf utakufa kwa pressure. .hahaa
Nakumbuka nina rafiki yangu humu alikuwa in relation na mwanamke 1 alikuwa anakuja kasi sana hapa..now days hayupo active
Basi Bwana wakati huo huo wapo in love. .basi Kuna siku Akapigwa na butwaa baada ya kuona Kuna Jamaa amemfungulia thread ya mahaba. .full kubebi Shana humu. .hahaa Daah ... mahusiano ya Jf sitaki hata Kuya sikia
Ex darling hebu niume sikio, unalay low na nani hebu? Wivu sina......Mahusiano ya humu matamu sana kama una-lay low! Mtu asijue yaani...[emoji23]
Auntie shikamoo.Namjua rafiki yako [emoji1787]
Mtu unayempenda hata akiongea pumba utaona mchele tena ule supaBora kuliko akuandikie wewe afu pumba tupu.
*****.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Huyo rafiki yako kama nammanya[emoji848][emoji848]
Siku hizi sioni hata wakibebishana tena sijui ndio walimwagana, tena naona hadi kidume alibadili id[emoji1787][emoji1787]
Mtu unayempenda hata akiongea pumba utaona mchele tena ule supa
Acha kusingizia ni wewe
Vipi huyo jamaa bado yuko hai ?
Hahaha acha uongoNamjua rafiki yako [emoji1787]
Mtaani kwenu mnakaa boarding boys tupu au?Natumai u mzima wa afya kabisa pamoja na wote wanaokuhusu
Kama kweli yaliyomo yamo kupitia threads zako basi nahitimisha kuwa Wewe utakuwa Ni Mama bora kabisa hasa kwa mabinti zako[emoji122][emoji122][emoji122][emoji122][emoji122]
Lengo la barua hii Ni kukutaarifu na kukuomba kwa hekima zako uniangalizie miongoni mwa BINTI zako aliyeko tayari kuishi Kama mke Ili tuweze kuishi katika ndoa iliyo takatifu kabisa
Mimi Ni kijana wa kawaida kabisa(Mwanamume)[emoji4][emoji4][emoji4][emoji4][emoji4]
Kwa mapungufu yoyote utanivumilia tu Kama mkwe wako mpendwa mtarajiwa
Natunguliza shukrani za dhati kabisa zenye uhai ndani yake
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
Hahaahha iwish nimjue huyo jamaa
Naam kabisa mkuu. .otherwise jiandae kupata msongoMahusiano ya humu matamu sana kama una-lay low! Mtu asijue yaani...[emoji23]
Acha Uoga Baharia Ajali Kazini Mkuu
Lol ..mapenzi ya Jf utakufa kwa pressure. .hahaa
Nakumbuka nina rafiki yangu humu alikuwa in relation na mwanamke 1 alikuwa anakuja kasi sana hapa..now days hayupo active
Basi Bwana wakati huo huo wapo in love. .basi Kuna siku Akapigwa na butwaa baada ya kuona Kuna Jamaa amemfungulia thread ya mahaba. .full kubebi Shana humu. .hahaa Daah ... mahusiano ya Jf sitaki hata Kuya sikia
Hahaha pole mimi tena?[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Pole sana Mkuu