Kwako sky eclat

Hahaha sio kwamba ana moyo ila amekuwa fisi. ..Wajua ukiwa fisi inakuwa hausikii maumivu. Hata ukisikia unaweza Kuya handle. .. so walimua kuendelea but sio kwa serious relation
Hahahahahaah dah
 
Hahaha. .kumbe wewe unafaa kuwa katibu wa Chama chetu Mafisi. .kimya kimya ndio mpango. .. Hakuna kumfungulia mtu thread/wala kufunguliwa aise. .... hatutaki pressure
Unamfungulia mtu siredi ili iweje hahahahahahaha we unafungua hapa ukikaa dakika kadhaa pm imejaa lawama nani anataka hahahahhahahahaha hebu mie
 
Hahaha humu mkuu unaweza kumueleza mtu mapema na mkakubaliana. .but kumbe kwenye Playlist yake wewe ni mtu wake wa 6 humu
Haahhaahhahahahahahahah wooooiiiiii
 
Aahhh yupo sio mtu wa kuyumbishwa na vitu vidogo kama hivyo. .Yeye mwenyewe AliiShia kucheka tu... na wala Haku achana na yule manzi waliendelea kulana kimya kimya tu
Whaaaat!! Sasa mbona humu ndani anaplay udecent[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
 
Hahaha humu acha kabisa. Wewe unajibebisha kwenye thread. .kumbe wezi wa penzi lako wana kuibia huko pm wana kuchora tu
[emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13][emoji13] Ujuwe nacheka huku niliko hahahahahahahahah jamani jf...... Melo atabaki kuwa juuu kutuletea hiii kitu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…