Sweya Makungu
JF-Expert Member
- Jun 11, 2023
- 508
- 601
- Thread starter
- #41
Tuweke namna bora itakayotuvusha Wote kwa ubora ,wakulima na taifa pia..Tusiwafanye wakulima wa Tanzania kama misukule wetu........na wenyewe pia wanafamilia na wanatamani kuwa matajiri. Kimfaacho mtu chake.....