Kwako Waziri Mkuu: Suala la kuuza vyakula nje

Kwako Waziri Mkuu: Suala la kuuza vyakula nje

Wakulima wamelima na kupata hizo nafaka kwa wingi baada ya serikali kuwapatia mbolea ya ruzuku ambayo source yake ni kodi za watanzania wote. Na ni wazi kabisa kwamba watoaji wakubwa wa kodi nchi hiyo ni wale waishio mjini itakuwa ni kukosa hekima baadhi ya watu watakuwa na mawazo kwamba mkulima akizalisha nafasi zake basi auze mazao yake bila uthibiti na watu wa mjini hawana haki juu ya mazao hayo simply hawakushiriki kulima
 
Wakulima wamelima na kupata hizo nafaka kwa wingi baada ya serikali kuwapatia mbolea ya ruzuku ambayo source yake ni kodi za watanzania wote. Na ni wazi kabisa kwamba watoaji wakubwa wa kodi nchi hiyo ni wale waishio mjini itakuwa ni kukosa hekima baadhi ya watu watakuwa na mawazo kwamba mkulima akizalisha nafasi zake basi auze mazao yake bila uthibiti na watu wa mjini hawana haki juu ya mazao hayo simply hawakushiriki kulima
Ubarikiwe Sana mkuu kwa ujumbe mzuri Sana .
 
N
Wakulima wamelima na kupata hizo nafaka kwa wingi baada ya serikali kuwapatia mbolea ya ruzuku ambayo source yake ni kodi za watanzania wote. Na ni wazi kabisa kwamba watoaji wakubwa wa kodi nchi hiyo ni wale waishio mjini itakuwa ni kukosa hekima baadhi ya watu watakuwa na mawazo kwamba mkulima akizalisha nafasi zake basi auze mazao yake bila uthibiti na watu wa mjini hawana haki juu ya mazao hayo simply hawakushiriki kulima
Ndugu yangu pia naomba kura yako kwny shindano la stories of change
 
Nendeni mkalime na nyie msipangie watu kila kitu.
Ndugu Naomba pia kura yako kwny shindano la stories of change
 
Ndugu Naomba pia kura yako kwny shindano la stories of change
Kama mada zako ndo hizi kura sipigi.
 
Acheni kukaa mjini mkalime acheni mambo yenu yaani wewe upo na bundle tuu mwenzako ana sweat juani then uje umpangie kizembe hivi ni upuuzi mtupu.
Hahahahaha mkuu mm ni mkulima pia
 
Back
Top Bottom