Zamiluni Zamiluni
JF-Expert Member
- Feb 11, 2014
- 13,997
- 15,112
BarakaAllahufik (may blessings of Allah covers your way)Mkuu wewe umedadavua vizuri sana na Allah akusimamie kwenye imani yako, achana na hawa wapiga mboyoyo ambao kila jambo wanaliweka kwenye siasa
FYI... baadhi ya sisi binadamu tuna hulka na tabia za kukosoa kila jambo lenye maendeleo..!!
KM:- waiIslam tungejengewa Hospital au Shule au chuo cha mafunzo ya maarifa, ufundi basi still wangendai na kuleta ubishi pasipo na haki.
Tùwavumilie tu.. japo wanachafua hewa na jina la dini.
Allah Msamehivu kareem