Sure mzee, nimekuelewa ila hao sahii ndio hawapo. bora huyo dogo kumwangalia mienendo yake nitapokua tayari nimchukue.Usioe kwa pressure za watu, oa kwa sababu umepata mwenza sahihi. Hiyo wa miaka 19 bado hajakua. Ingekuwa kizazi cha zamani sawa ila wa sasa bado sana
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Unaweza ukadhani kuna msela kavamia penzi lako, kumbe wewe ndio ulivamia penzi la msela...
Sasa mfuniko umerudi kufunika pipa lake...
SureKupenda ni upuuzi kwa karne hii
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kaishakuona wewe ni POPOMA, kiazi kwake hupindui acha akupindue pindue.. Msilete uzungu uzungu kwa mijanamke haijielewi..
Treat mwanamke kwa vile anavyojileta kwako, akikuchukulia danga we mfanye malaya wako. Fanya 3 times yake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Angevumilia ungemuoa? Uoe mpenzi wa mtu? Wewe hauoni hapo wewe ndio ulikuwa mchepuko?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila mkuu what if huko alilkokwenda akafanikiwa, mbona kama nature ya comments nyingi ni kama wewe ndio umekula bingo na yeye anakwenda kufeli huko.
Vipi kama wewe alikuona popoma na ndio ungemlostisha ila huko alikokuwa anagongwa mambo yanakwenda kuwa mazuri yeye amependa nae anapendwa na ATAOLEWA HUKO.
Unaposema angekuwa mvumilivu ungemuoa ni kama unatumia silaha ya kumuoa, labda kuolewa na wewe sio ishu je?
Kubali tu mkuu dada wa watu kawapimeni nyie wawili na kidume mwenzio kaibuka kidedea na wewe umeonekana boya, kubali huu ukweli na kama wanavyosema wadau hasara si ajabu, tafuta mwingine usonge mbele
Copy copy that [emoji1787]Delta 1, this is Alpha 1 reporting......
Female terrorist in sight.
Man down I repeat man down
Liverpool VPN do you copy?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nakubari mwanangu
hii coment imekaa kibabe
mwanamke anafuata pesa
na mimi nafuata K*MA
ipo hivyo yaani
DUNIA ya sasa ukijifanya we mtu SAFI kwa wanawake watakuendesha na kukupa UCHIZI
inachotakiwa ni kukomaa nao hvyohvyo
nipe ELA nipe K*MA
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Ila kwa kweli ujengewe mnara amegongwa bado unampitia bado unampenda wenzako missed call kadhaa tu hupokei risasi za uso[emoji1787][emoji1787]
Kabisa mkuu, kama anapenda pesaKaishakuona wewe ni POPOMA, kiazi kwake hupindui acha akupindue pindue.. Msilete uzungu uzungu kwa mijanamke haijielewi..
Treat mwanamke kwa vile anavyojileta kwako, akikuchukulia danga we mfanye malaya wako. Fanya 3 times yake.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Sasa hapo kwa uzoefu wako nifanye nini mkuu?...au nipambane na hawa vibaka?
na kama watu wote wangekuwa kama wewe au mimi basi watu wasingekuwa wanauana daily,angalia mimi nimekataa kufunga ndoa ya kanisa kidogo ya sirikali naona haina mambo mengi .yaani akizingua napita hivi mambo ya kifo kitutenganishe na mtoto wa mtu sitaki!Kuna sehemu wenzetu wanafeli saana, ni mwendo wa kutembea na mwendo wa direct proportional tu
ooh,mbaya zaidi kwa yule unaye mpenda,yeye ananenepa wewe unakondaaDedication: kuachwa by khalid chokoraa
hivi mkuu tangu mahondwa akubwage hujapataga mwongozo tuuPole sana, hayanaga muongozo...