Comment yako ni ushahidi hukwenda shule au mahaba niueHao wanaogopa influence ya mwarabu/uislam,na hiyo team uliyoweka ndiyo miongonimwa 'wafia dini' wa Vita vya msalaba Tanzania, uislam Tanzania uliingia kwa kuja mwarabu,miaka lukuki tumekua tukiikwepa misaada na mikopo ya mwarabu kwa kuogopa influence yake,hao siyo rejea ya maana,hawafikiri kwa akili huru
Tatizo sio warabu wala uislamu ila mkataba hauna Tbs ni mabano na bla bla kwa kwenda mbele!Hao wanaogopa influence ya mwarabu/uislam,na hiyo team uliyoweka ndiyo miongonimwa 'wafia dini' wa Vita vya msalaba Tanzania, uislam Tanzania uliingia kwa kuja mwarabu,miaka lukuki tumekua tukiikwepa misaada na mikopo ya mwarabu kwa kuogopa influence yake,hao siyo rejea ya maana,hawafikiri kwa akili huru
We mkataba umeuona wapi!?.. mkataba haujasainiwa unasema mbaya!!Tatizo sio warabu wala uislamu ila mkataba hauna Tbs ni mabano na bla bla kwa kwenda mbele!
Kwenu hakuna mbuzi yoyote anayenifikia kielimuComment yako ni ushahidi hukwenda shule au mahaba niue
Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
"...usifikiri kuna keki imewekwa bila kupikwa" What the heck is this!Wote hao ni washindani wa DP World na Dp World ni mshindani wao, usifikiri kuna keki imewekwa bila kupikwa.
Hauna tofauti ni mwenyekiti free man wakuwananga WazanzibariHao wezi waliokuwa wananufaika na Bandari wana nguvu sana; kama wameweza kumwonga na kumshawishi hadi Waziri Mkuu mstaafu Jaji Warioba , Mzee Butiku ambao ni wazee wa CCM nani tena watashindwa kumwonga?
Kwa taarifa zilizotoka hivi karibuni zinaonyesha wanaopinga mkataba huu ni wezi waliokuwa wananufaika na Bandari na kwamba wanatumia nguvu kubwa kuwahonga wananchi kupinga nia nzuri ya serikali.
Nini mtizamo wako kuhusu version mpya ya utetezi iliyoanzishwa na serikali? Hao wanaohonga ni wakina nani? Niwatanzania wenzetu? Kwanini serikali inashindwa kuwashtaki Kisutu? Je, wakishindwa kuwapeleka Kisutu watawezana na huyu bwana mwenye mkataba wakwenda kuishtakiwa Uingereza au South Afrika?
Kila siku tunatiwa hatiani huko ulimwenguni je tunapokwenda kumwabudu binadamu aitwaye DP World tutamdhibiti vipi asihonge?
hamna kitu paleSamia yupo karne ya 17 huko.
Nashindwa kuelewa sijui ni yeye hajui uchumi au ni wasaidizi wake!!
Mimi nadhani nyinyi wengi wenu ni kama kondoo wanaemfata mchungaji aliyepotea.
Ndio sababu ya kutaka aje mwekezaji mpya bandarini, kukwepa haya mazoea yanayotengeneza wezi wapya kila kukicha.Acha kudhalilisha vyombo vyetu vya Ulinzi na Usalama!
Hawajashindwa kuwadhiti wezi na wazee wa ngada...
ICD ni sehemu za kupokea makontena kabla hayajaondoka nje ya nchi au yakiwa yamewasili kabla ya kusambazwa kwa waagizaji wa bidhaa.Icd kazi yake nini?
Madawa yanaingiaje kwenye huu mjadala
Vitu vinaibiwa vikiwa kwenye maji?
Kama unabisha una elimu Kambishie HUYU! Walenga wanasema kafiri Hana mkole [emoji38][emoji38][emoji38]Kwenu hakuna mbuzi yoyote anayenifikia kielimu
Bungeni walienda kufanya mini??We mkataba umeuona wapi!?.. mkataba haujasainiwa unasema mbaya!!
Unazidi kudhihirisha upumbavu wako
Unakielewa hata ulichobandika hapa!?..hao wasomi wakiristo kipindi hicho Cha mtume walikua na diploma au masters ya Sheria!?..palikua na IGA na hga!?Kama unabisha una elimu Kambishie HUYU! Walenga wanasema kafiri Hana mkole [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji116][emoji116]
هُوَ الَّذِي بَعَثَ فِي الْأُمِّيِّينَ رَسُولًا مِّنْهُمْ يَتْلُو عَلَيْهِمْ آيَاتِهِ وَيُزَكِّيهِمْ وَيُعَلِّمُهُمُ الْكِتَابَ وَالْحِكْمَةَ وَإِن كَانُوا مِن قَبْلُ لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ
[ AL - JUMUA' - 2 ]
Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaahiri.
Mungu wako ndie Aliyetupa Darja La Usomi na Ucha Mungu!
[emoji116][emoji116]
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ
[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao Wasomi na wacha Mungu, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.
Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
Ana urafiki wa Kiimani na Waarabu. Hahitaji kuhongwa chochote.Rushwa inapunguza uwezo wa kufikiri. inapunguza utu na heshima ya mpokeaji.
Mtu kama wewe siyo wa kutetea mambo ya ajabu kama makubaliano haya ya kukabidhi bandari , ardhi, n.k. kwa DP World.
Unaujuwa ukweli tatizo siyo kuwapa wawekezaji bandari, tatizo siyo DP World bali kilicho andikwa kwenye mkataba/makubaliano.
Vyombo vya Jikoni kutoka China.Vyombo gami hivyo na vyombo vya nchi gani??
Unaitia ugumu wakati ni nyepesi na rahisiUnakielewa hata ulichobandika hapa!?..hao wasomi wakiristo kipindi hicho Cha mtume walikua na diploma au masters ya Sheria!?..palikua na IGA na hga!?
Utakufa karoti sababu tohara ya ushuzi wa shetani ni kuzama baharini puma. 30Kwenu hakuna mbuzi yoyote anayenifikia kielimu