Kwamba Mzee Warioba, Butiku, Shivji, Bagonza, Pengo, Kitima wamelipwa kukataa Mkataba wa DP World?

Kwamba Mzee Warioba, Butiku, Shivji, Bagonza, Pengo, Kitima wamelipwa kukataa Mkataba wa DP World?

Hao wanaogopa influence ya mwarabu/uislam,na hiyo team uliyoweka ndiyo miongonimwa 'wafia dini' wa Vita vya msalaba Tanzania, uislam Tanzania uliingia kwa kuja mwarabu,miaka lukuki tumekua tukiikwepa misaada na mikopo ya mwarabu kwa kuogopa influence yake,hao siyo rejea ya maana,hawafikiri kwa akili huru
Comment yako ni ushahidi hukwenda shule au mahaba niue

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Hao wanaogopa influence ya mwarabu/uislam,na hiyo team uliyoweka ndiyo miongonimwa 'wafia dini' wa Vita vya msalaba Tanzania, uislam Tanzania uliingia kwa kuja mwarabu,miaka lukuki tumekua tukiikwepa misaada na mikopo ya mwarabu kwa kuogopa influence yake,hao siyo rejea ya maana,hawafikiri kwa akili huru
Tatizo sio warabu wala uislamu ila mkataba hauna Tbs ni mabano na bla bla kwa kwenda mbele!
 
Wote hao ni washindani wa DP World na Dp World ni mshindani wao, usifikiri kuna keki imewekwa bila kupikwa.
"...usifikiri kuna keki imewekwa bila kupikwa" What the heck is this!

Hii ni mipasho isiyo na maana sasa, dalili za kuishiwa nini uandike.
 
Hao wezi waliokuwa wananufaika na Bandari wana nguvu sana; kama wameweza kumwonga na kumshawishi hadi Waziri Mkuu mstaafu Jaji Warioba , Mzee Butiku ambao ni wazee wa CCM nani tena watashindwa kumwonga?

Kwa taarifa zilizotoka hivi karibuni zinaonyesha wanaopinga mkataba huu ni wezi waliokuwa wananufaika na Bandari na kwamba wanatumia nguvu kubwa kuwahonga wananchi kupinga nia nzuri ya serikali.

Nini mtizamo wako kuhusu version mpya ya utetezi iliyoanzishwa na serikali? Hao wanaohonga ni wakina nani? Niwatanzania wenzetu? Kwanini serikali inashindwa kuwashtaki Kisutu? Je, wakishindwa kuwapeleka Kisutu watawezana na huyu bwana mwenye mkataba wakwenda kuishtakiwa Uingereza au South Afrika?

Kila siku tunatiwa hatiani huko ulimwenguni je tunapokwenda kumwabudu binadamu aitwaye DP World tutamdhibiti vipi asihonge?
Hauna tofauti ni mwenyekiti free man wakuwananga Wazanzibari
 
Icd kazi yake nini?
Madawa yanaingiaje kwenye huu mjadala
Vitu vinaibiwa vikiwa kwenye maji?
ICD ni sehemu za kupokea makontena kabla hayajaondoka nje ya nchi au yakiwa yamewasili kabla ya kusambazwa kwa waagizaji wa bidhaa.

Baadhi ya ICD zetu zilijengwa kwa ajili ya kupunguza foleni mle bandarini, chanzo cha foleni ni mitambo kuwa mibovu ya kizamani.

Unapokuwa na mtiririko mzuri wa ushushaji na upakiaji wa mizigo huzihitaji baadhi ya ICD.

Madawa kwa maana ya drugs zinapitishwa hapo TPA na kuongeza mateja huku mitaani, hiyo ni biashara inayokwenda kudhibitiwa kwa mitambo ya kisasa inayokuwepo katika bandari makini.
 
Kwenu hakuna mbuzi yoyote anayenifikia kielimu
Kama unabisha una elimu Kambishie HUYU! Walenga wanasema kafiri Hana mkole [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji116][emoji116]
هُوَ الَّذِي بَعَثَ فِي الْأُمِّيِّينَ رَسُولًا مِّنْهُمْ يَتْلُو عَلَيْهِمْ آيَاتِهِ وَيُزَكِّيهِمْ وَيُعَلِّمُهُمُ الْكِتَابَ وَالْحِكْمَةَ وَإِن كَانُوا مِن قَبْلُ لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ

[ AL - JUMUA' - 2 ]
Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaahiri.

Mungu wako ndie Aliyetupa Darja La Usomi na Ucha Mungu!
[emoji116][emoji116]
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao Wasomi na wacha Mungu, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Kama unabisha una elimu Kambishie HUYU! Walenga wanasema kafiri Hana mkole [emoji38][emoji38][emoji38]
[emoji116][emoji116]
هُوَ الَّذِي بَعَثَ فِي الْأُمِّيِّينَ رَسُولًا مِّنْهُمْ يَتْلُو عَلَيْهِمْ آيَاتِهِ وَيُزَكِّيهِمْ وَيُعَلِّمُهُمُ الْكِتَابَ وَالْحِكْمَةَ وَإِن كَانُوا مِن قَبْلُ لَفِي ضَلَالٍ مُّبِينٍ

[ AL - JUMUA' - 2 ]
Yeye ndiye aliye mpeleka Mtume kwenye watu wasio jua kusoma, awasomee Aya zake na awatakase, na awafunze Kitabu na hikima, ijapo kuwa kabla ya haya walikuwa katika upotofu ulio dhaahiri.

Mungu wako ndie Aliyetupa Darja La Usomi na Ucha Mungu!
[emoji116][emoji116]
۞ لَتَجِدَنَّ أَشَدَّ النَّاسِ عَدَاوَةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الْيَهُودَ وَالَّذِينَ أَشْرَكُوا ۖ وَلَتَجِدَنَّ أَقْرَبَهُم مَّوَدَّةً لِّلَّذِينَ آمَنُوا الَّذِينَ قَالُوا إِنَّا نَصَارَىٰ ۚ ذَٰلِكَ بِأَنَّ مِنْهُمْ قِسِّيسِينَ وَرُهْبَانًا وَأَنَّهُمْ لَا يَسْتَكْبِرُونَ

[ AL - MAIDA - 82 ]
Hakika utawakuta walio shadidi kuliko watu wote katika uadui kwa walio amini ni Mayahudi na washirikina. Na utawakuta walio karibu mno kwa mapenzi ni wale wanao sema: Sisi ni Wakristo. Hayo ni kwa sababu wapo miongoni mwao Wasomi na wacha Mungu, na kwa sababu wao hawafanyi kiburi.

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
Unakielewa hata ulichobandika hapa!?..hao wasomi wakiristo kipindi hicho Cha mtume walikua na diploma au masters ya Sheria!?..palikua na IGA na hga!?
 
Ninaamini kuwa nia ya serikali yetu pendwa ya Mama Dr Samia ni njema sana; lakini mkataba huu ni mbovu kama ambavyo tumeshwahi kuingia mikataba mibovu mingi sana huko nyuma. DP World wanaweza kuendesha Bandari zetu, lakini chini ya mkataba mzuri wenye manufaa kwa nchi. Kwamba wasipodeliver, tuwe tayari kuwafukuza.

Watu wanasema DP World iko Rwanda au sehemu nyingine lakini hawajaleta mikataba iliyowapa nafasi kufanya kazi huko waliko. Kwa upende wa Rwanda huwa wako makini sana na miktaba wanayoingia; kuna hadithi ya Maafisa wa Rwanda waliokwenda China wakapokelewa wa red carpet pamoja na fanfare nyingi za kijeshi pamoja na 21 gun salute kisha kupewa mkataba wa kusaini lakini wakaurudisha tena Rwanda upitiwe na wanasheria wa Rwanda kabla hawajausaini; ingekuwa ni watanzania wangeusaini pale pale bila mapitio yoyote.

Inavyoonekana hapa ni kwamba draft ya mkataba iliyoletwa na DP World ndio umekuwa mkataba bila kupata review na input ya Tanzania.
 
Rushwa inapunguza uwezo wa kufikiri. inapunguza utu na heshima ya mpokeaji.
Mtu kama wewe siyo wa kutetea mambo ya ajabu kama makubaliano haya ya kukabidhi bandari , ardhi, n.k. kwa DP World.
Unaujuwa ukweli tatizo siyo kuwapa wawekezaji bandari, tatizo siyo DP World bali kilicho andikwa kwenye mkataba/makubaliano.
Ana urafiki wa Kiimani na Waarabu. Hahitaji kuhongwa chochote.
 
Unakielewa hata ulichobandika hapa!?..hao wasomi wakiristo kipindi hicho Cha mtume walikua na diploma au masters ya Sheria!?..palikua na IGA na hga!?
Unaitia ugumu wakati ni nyepesi na rahisi
[emoji116][emoji116]
وَلَقَدْ يَسَّرْنَا الْقُرْآنَ لِلذِّكْرِ فَهَلْ مِن مُّدَّكِرٍ

[ AL-QAMAR - 17 ]
Na bila ya shaka Sisi tumeifanya Qur'ani iwe nyepesi kufahamika. Lakini yupo anaye kumbuka?
 
Kwenu hakuna mbuzi yoyote anayenifikia kielimu
Utakufa karoti sababu tohara ya ushuzi wa shetani ni kuzama baharini puma. 30
[emoji116][emoji116]
Abu Huraira (r.a) amesimulia kuwa: Mtume (s.a.w) amesema, "Ye yote mwenye kutukana, basi huyo amejambiwa na Shetani katika Mdomo wake ." (Fat'hul Baary J. 10, Uk. 176)

Sent from my vivo Y67 using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom