Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....
Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..
Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Sorry umesema shivji hasemi mkataba urekebishwe?
Multiple times ame indicate hilo
Unatoa reference ya ujerumani, unajua terms and conditions za unerumani vs terms and conditon za tz?
Unatengeneza hoja nyepesi sana