Kwamba Mzee Warioba, Butiku, Shivji, Bagonza, Pengo, Kitima wamelipwa kukataa Mkataba wa DP World?

Kwamba Mzee Warioba, Butiku, Shivji, Bagonza, Pengo, Kitima wamelipwa kukataa Mkataba wa DP World?

Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....

Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..

Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Kabisa Shivji ni mjamaa uchwara hivi
 
Kama unataka kuwa maskini endelea kutukuza ujinga
Bado hujanishawishi kuwa wazee ni wa hovyo na tukiwasikikiza tutakuwa maskini. Kamwulize MO na degree yake ya America nk kama anamuona baba yake wa hovyo. Au Rothchild, Rockerfeller na Ruppert kama wanaona wazee wao ni wa hovyo. Na ikitaka kufanikiwa anzia kwa baba yako sio mtaani kw masela.
 
Ubepari ni akili nyingi sana. Kama hii ya sakata ni akili nyingi mno. Wenzako wanatumia Harvard consultants, Yale na Oxford kufanya haya..wewe unatumia hangover ya ujamaa ambao hapo tena baada ya azimio la Rchuga na baba lebo. Ingia youtube andika who controls the world jielimishe ujue utaingiaje kwenye ubepari.
Ni ubunifu tu ndio unaotawala hii dunia, akili za kijamaa zimebaki katika vitabu vya historia.

Huwezi kumuomba ushauri mjamaa juu ya mpango wenye sura ya kibepari akakupa mawazo ya maana.
 
Ubepari ni akili nyingi sana. Kama hii ya sakata ni akili nyingi mno. Wenzako wanatumia Harvard consultants, Yale na Oxford kufanya haya..wewe unatumia hangover ya ujamaa ambao hapo tena baada ya azimio la Rchuga na baba lebo. Ingia youtube andika who controls the world jielimishe ujue utaingiaje kwenye ubepari.
Tunao matajiri kama Mo Dewji wapo miongoni mwa wale bora kabisa afrika.

SSH anajenga mazingira ya kuwatengeneza kwa vitendo wale mabilionea aliowaota hayati JPM.
 
Sio kweli mkuu, mbona wachina ni wakomunisti lakini wanafanya ubinafsishaji? Wametengeneza mabilionea wachina kibao? Makampuni ya ulaya na marekani yamewekeza Uchina ila hawauzi raslimali zao!
Tofautisha ukomunist wa kihistoria,ukomunist wa kinadharia kichwani na ukomunist wa kiaina. Shivji mkomunist wa kinadharia.. wachina Wana ukomunist wa kivyao vyao. Ukomunist wa kinadharia ni ukomunist mmoja ngumu sana kunyumbulika
 
Tatizo ni moja; Mwizi anamuona kila mtu ni mwizi kama yeye!
Waliofanikisha mkataba huu huenda walipata kitu kupitisha huu mkataba nadio maana wanaona wanaoukataa ni wezi kama wao!

Kwa ufupi hii ni vita kati ya ; wenye uchungu na wazalendo wa nchi dhidi ya akina 'sultani Mangungo'.
 
Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....

Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..

Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Mkuu nimekujua mda mrefu hapa JF, lakini hoja zako juu DP World zinanipa shaka uwezo wako kiakili kwa sasa.

Sent from my SM-A515F using JamiiForums mobile app
 
Kabisa Shivji ni mjamaa uchwara h

Tunao matajiri kama Mo Dewji wapo miongoni mwa wale bora kabisa afrika.

SSH anajenga mazingira ya kuwatengeneza kwa vitendo wale mabilionea aliowaota hayati JPM.
Katika kutengeneza hakikisha una nguvu ya kuamua juu yao..america theory hiyo . Mark Zuckerberg anaitwa na senate au Google ceo. Bill Gates anaamuliwa nini cha kufanya duniani aseme nini. Kifupi control ndio inapiganiwa sio operation issues. Uendeshaji hawa wazee yaweza kuwa hata email hawajui kutumia natania. Issue ni control ili uweze kuamua leo nafanya hivi kesho ondoka na pia Fiscal na Monetary policy. Kumbuka uwekezaji endelevu hizingatia social acceptance. Kifupi tunapenda kuendelea kuwa na maamuzi kwenye shamba letu sio kulima.
 
Tunao matajiri kama Mo Dewji wapo miongoni mwa wale bora kabisa afrika.

SSH anajenga mazingira ya kuwatengeneza kwa vitendo wale mabilionea aliowaota hayati JPM.
Bilionea hatengenezwi na Rais bali hutengenezwa na fikra sahihi za mipango yake na uwajibikaji uliotukuka katika kufanya kazi na uwekezaji ambao unalindwa na nidhamu ya matumizi.
 
Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....

Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..

Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Makosa ya kwenye mkataba umeyaficha kwenye vifuatavyo;

1. Imani za kidini
2. Uzamani wa watu

Kama Pengo, Bagonza na Kitima wao wana ugomvi wa kiimani na waarabu, Kwani waarabu wametajwa kwenye bandari pekee? hao waarabu, walipopewa Loliondo, hawa walisema nini? Au Zanzibar wakati inajiunga na OIC walisema nini?

Kwenye uzamani wa watu, kwani huwa hatupokei ushauri wa wazee? Kwanini kuna wazee wa Dar na Kikwete ameshawahi shauriwa nao?
 
Bado hujanishawishi kuwa wazee ni wa hovyo na tukiwasikikiza tutakuwa maskini. Kamwulize MO na degree yake ya America nk kama anamuona baba yake wa hovyo. Au Rothchild, Rockerfeller na Ruppert kama wanaona wazee wao ni wa hovyo. Na ikitaka kufanikiwa anzia kwa baba yako sio mtaani kw masela.
Sio lazima
 
Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....

Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..

Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Aahaaaaha,Asante Kwa ufafanuzi
 
Hao wezi waliokuwa wananufaika na Bandari wana nguvu sana; kama wameweza kumwonga na kumshawishi hadi Waziri Mkuu mstaafu Jaji Warioba , Mzee Butiku ambao ni wazee wa CCM nani tena watashindwa kumwonga?

Kwa taarifa zilizotoka hivi karibuni zinaonyesha wanaopinga mkataba huu ni wezi waliokuwa wananufaika na Bandari na kwamba wanatumia nguvu kubwa kuwahonga wananchi kupinga nia nzuri ya serikali.

Nini mtizamo wako kuhusu version mpya ya utetezi iliyoanzishwa na serikali? Hao wanaohonga ni wakina nani? Niwatanzania wenzetu? Kwanini serikali inashindwa kuwashtaki Kisutu? Je, wakishindwa kuwapeleka Kisutu watawezana na huyu bwana mwenye mkataba wakwenda kuishtakiwa Uingereza au South Afrika?

Kila siku tunatiwa hatiani huko ulimwenguni je tunapokwenda kumwabudu binadamu aitwaye DP World tutamdhibiti vipi asihonge?
Wanaokuja na madai hayo wanathibitisha kuwa ni mabogazi vichwani.
Kama wanaweza kuwa na uhakika wa hayo madai yao hawaoni kuwa wanazidi kuonyesha kuwa serikali wanayoitetea ni dhaifu na imelekea kama uzi? Kama kuna watu wamehongwa, je serikali ipo wapi??? Inarembuarembua tu au?
 
Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....

Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..

Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Sikujua kama siku utaandika upumbavu kama huu, ishu sio kuwekeza DP ishu ukomo wa mkataba ni upi wewe unakimbilia udini🚮🚮🚮
 
Back
Top Bottom