Kwamba Mzee Warioba, Butiku, Shivji, Bagonza, Pengo, Kitima wamelipwa kukataa Mkataba wa DP World?

Kwamba Mzee Warioba, Butiku, Shivji, Bagonza, Pengo, Kitima wamelipwa kukataa Mkataba wa DP World?

Basi kubali kuwa myahudi yupo nyuma ya wallstreet waliotoa miataji ya mafuta na ambao wanajitahidi kubadili hata kubadili culture yao. Kumbika Bretton wood .kwa nini mafuta hayauzwi kwa pesa ya emirate.?. We are dooped big time. Kifupi all workers in dp are not Arabs are Indians and wazungu. Chinese fallout effect inatumaliza.
wala siwezi kulibishia hilo.
 
Wezi mnajifanya mna akili sana.Mkae mkijua kuwa hata siku moja Tanganyika haitaweza kubadilishwa na mtu yeyote au kikundi chochote cha mamlaka au watu binafsi kwa misingi ya dini,ukabila,rangi na ukanda.Hata siku moja Tanganyika haiwezi kuwa Somalia au Sudan,jitahidini kufanya wizi wenu ila amani yetu msiichezee kwani Mungu kaiumba Tanganyika kwa makusudi yake.
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ndio habari yenye akili zaidi. Tanganyika ilikufa mwaka sitini na nne.
 
Watuoneshe Cha maana walichofanya Hadi wanaota mvi vinginevyo hizi sio zama za backward minded kama hao.
Just imagine Ethiopia Ili kuvutia Uwekezaji wao wanafuata kabisa import duty za Mitambo,wanatoa tax exemption nk Sasa ingekuwa hayo yanafanyika Tanzania si wangeanza kuharisha Kwa midomo?

Kuchukua mawazo ya watu kama hao ni kuendelea kuwa maskini,Samia amekataa huo ujinga View attachment 2685497
Kama Ethiopia wangekuwa wananufaika kweli kwa nini raia wake kila siku wanakimbilia Afrika Kusini kutafuta makazi na maisha?Kila siku kesi za wahamiaji haramu zinawahusu tu Ethiopia kwa nini wakati wana uchumi mzuri.Mambo ya makaratasi na uhalisia wa maisha ni vitu viwili tofauti.
 
Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....

Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..

Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Sioni tija unapotumia u communist kama hoja ya kujitetea. Thats typically stupid.
Conceptually ni sawa na kusema unampa dereva kazi ya kuendesha gari lako ila masharti anayokupa ni kuwa huruhusiwi kununua gari jengine lolote la ziada bila kumuomba ruhusa na magari yako yote mengine yako kwenye milki yake. Hutakiwi kumpa dereva mwingine yeyote kazi na hata akizingua kazini huna haki ya kumfukuza wala kumshtaki popote na posho zote anazokusanya hazikuhusu.

Hii ndo mfano wa kile ambacho kinaonekana kwenye hati ya makubaliano baina ya DP World na TPA. Ni mjinga pekee atashabikia aina hio ya mkataba.
 
Kama Ethiopia wangekuwa wananufaika kweli kwa nini raia wake kila siku wanakimbilia Afrika Kusini kutafuta makazi na maisha?Kila siku kesi za wahamiaji haramu zinawahusu tu Ethiopia kwa nini wakati wana uchumi mzuri.Mambo ya makaratasi na uhalisia wa maisha ni vitu viwili tofauti.
Walichelewa kufungua uchumi Kwa sababu miaka Mingi walikuwa Wajamaa so wanafanya wakati Nchi imesha burst.Tanzania hatuhitaji kusubiria tufike huko.
 
Hata kama hawajalipwa ,hao ni Wajamaa minded people ambao hawanaga Msaada wowote Wala hawajui uchumi zaidi ya kuongozaa Kwa hisia na propaganda..

Sasa hao wazee Wana nini Cha kuonesha Kwa miaka Yao yote ya utumishi ikiwa hadi.leo hii madawati na vyoo viliwashinda?

Wakae Kwa kutumia wafundishwe Uchumi wa kuwafanyia Wananchi matajiri,hao ni aina ya watu wanaotaka wenzao wazisi kuwa maskini Ili wao waendee kuwatawal.
Wazee hao wanatumika katika kujenga hoja mbele ya jamii kwamba kama na hawa nao wana mashaka na DPW basi hawapaswi kusikilizwa.

Ni vita yenye umafia mwingi wa chini kwa chini na naamini usalama wa Taifa wapo kazini kwa kipindi chote hiki cha habari za uwekezaji wa hii kampuni.
 
Hao wezi waliokuwa wananufaika na Bandari wana nguvu sana; kama wameweza kumwonga na kumshawishi hadi Waziri Mkuu mstaafu Jaji Warioba , Mzee Butiku ambao ni wazee wa CCM nani tena watashindwa kumwonga?

Kwa taarifa zilizotoka hivi karibuni zinaonyesha wanaopinga mkataba huu ni wezi waliokuwa wananufaika na Bandari na kwamba wanatumia nguvu kubwa kuwahonga wananchi kupinga nia nzuri ya serikali.

Nini mtizamo wako kuhusu version mpya ya utetezi iliyoanzishwa na serikali? Hao wanaohonga ni wakina nani? Niwatanzania wenzetu? Kwanini serikali inashindwa kuwashtaki Kisutu? Je, wakishindwa kuwapeleka Kisutu watawezana na huyu bwana mwenye mkataba wakwenda kuishtakiwa Uingereza au South Afrika?

Kila siku tunatiwa hatiani huko ulimwenguni je tunapokwenda kumwabudu binadamu aitwaye DP World tutamdhibiti vipi asihonge?
Ukiangalia list yako ni ya Wazee ambao ni frustrated maishani, hawana lolote la kujivunia na wana uchungu kwamba wenzao wanafanya makubwa
 
HGA siyo mkataba wa kibishara, HGA huwa ni masharti ya nchi mwenyeji (inapofanyika hiyo biashara).
Kilichopita bungeni ni Agreement of IGA, na baada ya hapo kinachofuata ni kusainiwa kwa mikataba ya kibiashara baada ya kufanyika mijadala ya kina ya pande mbili, wawekezaji na wafanya biashara wa ndani kupitia wanasheria wa serikali.
 
Wazee hao wanatumika katika kujenga hoja mbele ya jamii kwamba kama na hawa nao wana mashaka na DPW basi hawapaswi kusikilizwa.

Ni vita yenye umafia mwingi wa chini kwa chini na naamini usalama wa Taifa wapo kazini kwa kipindi chote hiki cha habari za uwekezaji wa hii kampuni.
Watu ma failures eti ndio wakupe Ushauri ni upuuzi.

Tunaweza sikiliza Ushauri Kwa Mo, Bakhress,Rostam na Jumuiya ya wafanyabiashara ambao ndio wanalipa Kodi na ndio waajiri,hao waganga njaa wasubirie mengine.
 
Back
Top Bottom