Kwamba Mzee Warioba, Butiku, Shivji, Bagonza, Pengo, Kitima wamelipwa kukataa Mkataba wa DP World?

Kwamba Mzee Warioba, Butiku, Shivji, Bagonza, Pengo, Kitima wamelipwa kukataa Mkataba wa DP World?

Hakuna mkataba wowote wa uendeshaji bandari uliosainiwa, ndiyo kwanza makampuni yanashindanishwa na TPA, vijana wanajilia mihela tu huko kila wanapochelewesha.
Duh!

Makampuni gani "yanashindanishwa"?
Wewe huyo huyo umekwishaandika mara kadhaa humu, kwamba DP World, tayari anafunga vifaa bandarini, sasa tuelewe lipi?

Kama "Makubaliano", ambayo hutaki kuyaita jina la "Mkataba", ni mabovu, huo "Mkataba" wenyewe unaotokana na makubaliano mabovu utakuwaje?

Hata fikra tu za kufikiri hili kirahisi hivi hamuwezi?

Inaonekana sasa, kila mnaloleta kuwahadaa watu, mnazidi kuonyesha ubovu wa jambo lote mnalotaka kuwasukumia waTanzania.
 
Wewe kawadanganye wajinga wenzio.


Kuna ufisadi bandarini zaidi ya aliouibiwa mama Samia Suluhu?
Mimi nikiwa mjinga, wewe utakuwa MPUMBAVU, tena hata uchizi utakuwa unao tayari.

Haya sasa, kama unataka kwenda huko, nipo tayari kabisa.

Huyo mama ndiye chimbuko la ufisadi, sasa kashikiliwa na genge, anachezea hata uhuru wa nchi yetu.
 
Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....

Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..

Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially

Kwa mrefu sana sijaona andiko au comment ya kipumbavu kama hii.
 

Attachments

  • tapatalk_1486848583856.jpeg
    tapatalk_1486848583856.jpeg
    17.2 KB · Views: 1
Duh!

Makampuni gani "yanashindanishwa"?
Wewe huyo huyo umekwishaandika mara kadhaa humu, kwamba DP World, tayari anafunga vifaa bandarini, sasa tuelewe lipi?

Kama "Makubaliano", ambayo hutaki kuyaita jina la "Mkataba", ni mabovu, huo "Mkataba" wenyewe unaotokana na makubaliano mabovu utakuwaje?

Hata fikra tu za kufikiri hili kirahisi hivi hamuwezi?

Inaonekana sasa, kila mnaloleta kuwahadaa watu, mnazidi kuonyesha ubovu wa jambo lote mnalotaka kuwasukumia waTanzania.
Adani
AD Ports
DP World

Huwa sikisii.
 
Masharti ya "Makubaliano" yanasemaje?
Maigizo na viini macho ndio useme "makampuni yanashindanishwa"?
hakuna hata mmoja wao hao mwenye masharti yoyote .


Kama unaongelea Adani, ni kampuni ya India, tuna makubaliano ya Bilateral na India kwa miaka sana, toka enzi za Nyerere na kabla ya hapo enzi za Uingereza.


Kama ni SAD, yuna makubaliano ya Bilateral relations toka zamani sana, mpaka ubalozi wao upo hapa Tanzania. Na ndiyo Rais wa UAE aliyewekeza kitalu cha uwindaji Loliondo.

India sina haja ya kukuelezea, nadhani unaelewa kuhusu India na Tanzania.



Hakuna kiini macho hapo, hata wabunge nusu walienda Dubai na nusu walienda India.
 
Tatizo mkataba wala siyo uwekezaji. Kila mtu anautaka uwekezaji.

Unaposaini draft yenye masharti mabaya nawe nia yako si nzuri. Bahati mbaya wananchi wa nchi hii wamepandikiziwa uoga juu ya serikali yao. Otherwise...
Huyu Bi. Kizee unamwona kutwa kucha anahangaika humu kwa sababu moja tu: ulevi wake wa dini ndio unaompa msukumo wa kupoteza akili yote.
 
Duh!

Makampuni gani "yanashindanishwa"?
Wewe huyo huyo umekwishaandika mara kadhaa humu, kwamba DP World, tayari anafunga vifaa bandarini, sasa tuelewe lipi?

Kama "Makubaliano", ambayo hutaki kuyaita jina la "Mkataba", ni mabovu, huo "Mkataba" wenyewe unaotokana na makubaliano mabovu utakuwaje?

Hata fikra tu za kufikiri hili kirahisi hivi hamuwezi?

Inaonekana sasa, kila mnaloleta kuwahadaa watu, mnazidi kuonyesha ubovu wa jambo lote mnalotaka kuwasukumia waTanzania.
Achana nae huyo ajuza
Yeye anadhani mwarabu anakuja kujenga msikiti hapo bandarini.
Akili zake kamkabidhi mwarabu.
 
hakuna hata mmoja wao hao mwenye masharti yoyote .


Kama unaongelea Adani, ni kampuni ya India, tuna makubaliano ya Bilateral na India kwa miaka sana, toka enzi za Nyerere na kabla ya hapo enzi za Uingereza.


Kama ni SAD, yuna makubaliano ya Bilateral relations toka zamani sana, mpaka ubalozi wao upo hapa Tanzania. Na ndiyo Rais wa UAE aliyewekeza kitalu cha uwindaji Loliondo.

India sina haja ya kukuelezea, nadhani unaelewa kuhusu India na Tanzania.



Hakuna kiini macho hapo, hata wabunge nusu walienda Dubai na nusu walienda India.
Hao wote hatuna IGA ya kipuuzi kama tulivyo na hii ya Dubai, utalinganisha vipi na hayo makampuni mengine.

Kwanza unasema uongo ulio wazi hapa ukifikiri watu hawajui.

Hiyo Kampuni ya India inafanya kazi chini ya TPA kwa makubaliano maalum, na wanalipwa kwa kazi wanayofanya hapo bandarini; halafu unakuja hapa na habari za kupotosha watu, eti kuna ushindani na DP World?
 
Hao wote hatuna IGA ya kipuuzi kama tulivyo na hii ya Dubai, utalinganisha vipi na hayo makampuni mengine.

Kwanza unasema uongo ulio wazi hapa ukifikiri watu hawajui.

Hiyo Kampuni ya India inafanya kazi chini ya TPA kwa makubaliano maalum, na wanalipwa kwa kazi wanayofanya hapo bandarini; halafu unakuja hapa na habari za kupotosha watu, eti kuna ushindani na DP World?
Ya kipuuzi au isiwe ya kipuuzi ni IGA ya kwanza kuletwa bungeni.


Kama huelewi kuhusu IGA, elewa kuwa ni makubaliano yenye udhamini chini ya Umoja wa Mataifa, hakuna anaeweza kudhulumiwa kwa kuwa ni mjinga.
 
Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....

Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..

Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Huo uadui wa kiimani na waarabu wa kuna Pengo, Kitima, na Bagonza huwa unajitokeza tu pale mnaposhindwa kujibu hoja zao, kama ungeweza kujibu maswali yao usingekuja na hii defence ya kipuuzi, upo kama mtoto mchanga kifikra, umeona ukimbilie kwenye dini ili ufiche ujinga wako kichwani uliokufanya ushindwe kujibu hoja zao.
 
Hao wote hatuna IGA ya kipuuzi kama tulivyo na hii ya Dubai, utalinganisha vipi na hayo makampuni mengine.

Kwanza unasema uongo ulio wazi hapa ukifikiri watu hawajui.

Hiyo Kampuni ya India inafanya kazi chini ya TPA kwa makubaliano maalum, na wanalipwa kwa kazi wanayofanya hapo bandarini; halafu unakuja hapa na habari za kupotosha watu, eti kuna ushindani na DP World?
Wote hao ni washindani wa DP World na Dp World ni mshindani wao, usifikiri kuna keki imewekwa bila kupikwa.
 
Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....

Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..

Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Unatunga vitu kichwani mwako halafu unaviamini.
You are delusional, una conclusions lakini huna facts.
 
Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....

Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..

Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Upumbavu ukichangnyikana na ujinga,hospital pekee haitoshi,inabidi ifanyike nguvu ya maombi.
 
KILA ZAMA NA KITABU CHAKE,WAO WALIKUWA NA NYAKATI ZAO NA MADUDU YAO YA WAKATI ULE,TANGANYIKA PACKERS IPO WAPI?,VIWANDA VYOTE 25 VIPO WAPI?,WAMWACHE RAIS WETU AFANYE KAZI YAKE WAACHE KUWASHWA WASHWA![emoji16][emoji16][emoji16]
#Makonda huwa anawajulia sana wazee wa aina hii [emoji16][emoji16][emoji16]
Hivyo viwanda alijenga nani?,walijenga wao au wewe,?!. Nani aliua viwanda vile?, vimekufa wao wakiwa madarakani au walisha ng'atuka?!. Dah, kweli jf imejaa takataka na mizoga.
 
Watanzania ni wabinafsi sana ukiangalia mikataba ya hovyo hovyo bila kujali vizazi vya sasa na vijavyo...Watoto wapo busy na boda boda huku mali zao wakipewa watoka mbali Nchi hii ni kama wale watoto walioachiwa urithi harafu wao wamekosa akili ni kuuza tuu na kupelekana mahakamani kuhusu mgao siamini kwa Mali tulizonazo bado Nchi ina umasikini wa kutupwa...
 
Back
Top Bottom