Kwamba Mzee Warioba, Butiku, Shivji, Bagonza, Pengo, Kitima wamelipwa kukataa Mkataba wa DP World?

Kwamba Mzee Warioba, Butiku, Shivji, Bagonza, Pengo, Kitima wamelipwa kukataa Mkataba wa DP World?

Nawew the cost ....

Acha upumbafu
Watuoneshe Cha maana walichofanya Hadi wanaota mvi vinginevyo hizi sio zama za backward minded kama hao.
Just imagine Ethiopia Ili kuvutia Uwekezaji wao wanafuata kabisa import duty za Mitambo,wanatoa tax exemption nk Sasa ingekuwa hayo yanafanyika Tanzania si wangeanza kuharisha Kwa midomo?

Kuchukua mawazo ya watu kama hao ni kuendelea kuwa maskini,Samia amekataa huo ujinga
Screenshot_20230710-073016.jpg
 
Pengo mnufaika wa kwanza, hao wengine wameshazeeka na wwananukuliwa vibaya na au wanaongozwa wajibu nini na waandidhi walionunuliwa.
Wezi mnajifanya mna akili sana.Mkae mkijua kuwa hata siku moja Tanganyika haitaweza kubadilishwa na mtu yeyote au kikundi chochote cha mamlaka au watu binafsi kwa misingi ya dini,ukabila,rangi na ukanda.Hata siku moja Tanganyika haiwezi kuwa Somalia au Sudan,jitahidini kufanya wizi wenu ila amani yetu msiichezee kwani Mungu kaiumba Tanganyika kwa makusudi yake.
 
Hao wezi waliokuwa wananufaika na Bandari wana nguvu sana; kama wameweza kumwonga na kumshawishi hadi Waziri Mkuu mstaafu Jaji Warioba , Mzee Butiku ambao ni wazee wa CCM nani tena watashindwa kumwonga?

Kwa taarifa zilizotoka hivi karibuni zinaonyesha wanaopinga mkataba huu ni wezi waliokuwa wananufaika na Bandari na kwamba wanatumia nguvu kubwa kuwahonga wananchi kupinga nia nzuri ya serikali.

Nini mtizamo wako kuhusu version mpya ya utetezi iliyoanzishwa na serikali? Hao wanaohonga ni wakina nani? Niwatanzania wenzetu? Kwanini serikali inashindwa kuwashtaki Kisutu? Je, wakishindwa kuwapeleka Kisutu watawezana na huyu bwana mwenye mkataba wakwenda kuishtakiwa Uingereza au South Afrika?

Kila siku tunatiwa hatiani huko ulimwenguni je tunapokwenda kumwabudu binadamu aitwaye DP World tutamdhibiti vipi asihonge?
Hovyo kabisa. Wewe ndiyo utakuwa umehongwa. Swala la Bandari ni nyeti mpaka kwa Usalama wa hii nchi. Halafu mnampa mwarabu indefinitely. Hao Magaidi. Sisi ni watu wazima tumebaki kushangaa huu upuuzi. Nchi ni yetu na mali ni zetu. Kwa nini wasiuze Zanzibar walikotoka? Wamekuja kutuletea umaskini na mateso ambayo vizazi vijavyo vitapata na wakati huo hakuna hata mmoja wetu atakuwa hai. Na ikitokea yupo basi hatakuwa na nguvu ya kusema. Acha wenye nguvu ya kukemea huu ufisadi wafanye. Tuko kimya si kwa kuwa tunafurahia bali ni kwa kuwa tunajua tukisema tutapoteza.
 
Hii inabadilishwa kila baada ya bajeti. Je mkataba unaweza badili. Fiscal policy hiyoo.
Watuoneshe Cha maana walichofanya Hadi wanaota mvi vinginevyo hizi sio zama za backward minded kama hao.
Just imagine Ethiopia Ili kuvutia Uwekezaji wao wanafuata kabisa import duty za Mitambo,wanatoa tax exemption nk Sasa ingekuwa hayo yanafanyika Tanzania si wangeanza kuharisha Kwa midomo?

Kuchukua mawazo ya watu kama hao ni kuendelea kuwa maskini,Samia amekataa huo ujinga View attachment 2685497
 
Hao wezi waliokuwa wananufaika na Bandari wana nguvu sana; kama wameweza kumwonga na kumshawishi hadi Waziri Mkuu mstaafu Jaji Warioba , Mzee Butiku ambao ni wazee wa CCM nani tena watashindwa kumwonga?

Kwa taarifa zilizotoka hivi karibuni zinaonyesha wanaopinga mkataba huu ni wezi waliokuwa wananufaika na Bandari na kwamba wanatumia nguvu kubwa kuwahonga wananchi kupinga nia nzuri ya serikali.

Nini mtizamo wako kuhusu version mpya ya utetezi iliyoanzishwa na serikali? Hao wanaohonga ni wakina nani? Niwatanzania wenzetu? Kwanini serikali inashindwa kuwashtaki Kisutu? Je, wakishindwa kuwapeleka Kisutu watawezana na huyu bwana mwenye mkataba wakwenda kuishtakiwa Uingereza au South Afrika?

Kila siku tunatiwa hatiani huko ulimwenguni je tunapokwenda kumwabudu binadamu aitwaye DP World tutamdhibiti vipi asihonge?
Ni maana pana ya vita ya kiuchumi. Kwanini Waziri Mkuu wa sasa ameutetea mkataba huu akiwa msikitini?.

Yeye ni mtendaji mkuu wa serikali na anaelewa kila kinachoingia na kutoka serikalini. Anajua namna wanavyoingia hasara kwa kuruhusu foleni za meli pale nje ya bandarini wakati wa kuingia.

Hao wazee upo uwezekano hawajui kwa kina mkataba umekaa vipi na unakwendaje kubadilisha kabisa utendaji wa kazi wa kimazoea ndani ya bandari, wameongea kama wanasiasa wanaotoa maoni kwenye suala wasilo na ufahamu nalo kwa asilimia mia moja.

Ni sehemu ya ugumu wa vita ya kiuchumi, kwani inatumika media kupotosha na wanaopotosha wanakuwa ni watu wenye kuheshimiwa na jamii.

Nawaonea huruma sana waagizaji na wauzaji wa bidhaa wanaotumia bandari ile kila siku. wanakosa watetezi hivyo hawa mafisadi na wezi wa hapo bandarini wanataka kuwapotezea nafasi ya kuboreshwa kwa huduma yao kupitia huu uwekezaji wa DPW.

Umekuwa ni mjadala ulioingiliwa na wanasiasa na mafisadi wamejificha nyuma ya kila kinachoendelea. Rais SSH ni mpole na anao uwezo wa mapambano ya kimkakati, naamini serikali itashinda.
 
Wezi mnajifanya mna akili sana.Mkae mkijua kuwa hata siku moja Tanganyika haitaweza kubadilishwa na mtu yeyote au kikundi chochote cha mamlaka au watu binafsi kwa misingi ya dini,ukabila,rangi na ukanda.Hata siku moja Tanganyika haiwezi kuwa Somalia au Sudan,jitahidini kufanya wizi wenu ila amani yetu msiichezee kwani Mungu kaiumba Tanganyika kwa makusudi yake.
Haihitaji akili kuyafahamu hayo, huwezi kulia maumizu kama hujaumizwa.

Sijuwi kama unaelewa mana ya "hurt hurt". Usidhani nimekosea na kuandika neno moja mara mbili, hapana, ndiyo sentensi yenyewe hiyo "hurt hurt".
 
Mimi nikiwa mjinga, wewe utakuwa MPUMBAVU, tena hata uchizi utakuwa unao tayari.

Haya sasa, kama unataka kwenda huko, nipo tayari kabisa.

Huyo mama ndiye chimbuko la ufisadi, sasa kashikiliwa na genge, anachezea hata uhuru wa nchi yetu.
Uhuru wa nchi yako ni siasa potofu na nyepesi za kujaribu kupinga uwekezaji wa DPW. Mnawakera sana wafanya biashara wenyewe wanaotumia bandari ile kila siku, kwa kifupi mnawacheleweshea mabadiliko ya ufanisi mzima wa kazi yao kwa siasa zenu za kulipwa pesa na wezi wachache pale TPA.
 
Hao ni Akina wallstreet ndio wapo nyuma ya dp world. Fuatilia nani ninani dp. Wasap hawezi kubali mwarabu atawale transportation corridors bila maslahi. Utashangaa the first ceo atakuwa nani pale?
wala siwezi kulibishia hilo.
 
Unaonesha huso,i magazeti wala husikilizi taarifa za habari.

Wewe unaingia mitandao ya udaku, nayo pia nadhani huisomi vizuri. Ungekuwa unaisoma basi hata kuandika kwako kusingekuwa hivyo kama unaandikiana sms na mwenzako.

Pole sana kijana, nakuhisi ni kama kondoo unaechungwa na mchungaji aliyepotea.
Werevu mwingi mbele giza.
 
Wewe ni nani mpaka uongee maneno haya tofauti na speaker wa Bunge la JMT aliyepitisha huu mkataba na kwa maneno yake mwenyewe Speaker Dr. Tulia alisema Bunge limeupitisha MKATABA?
Ni azimio la makubaliano ya uwekezaji. Mikataba inakwenda kusainiwa baada ya azimio hilo kuwa limeshapita bungeni.

Imepitishwa IGA bungeni na inatoa baraka ya kupitishwa mikataba ya kibiashara HGAs.
 
Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....

Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..

Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Hizo zote ni tuhuma zilizotengenezwa kwa kufikirika ,zenye kutoa watu kwenye hoja ya mkataba urekebishwe ili DPW apewe kazi la sivyo mkataba uvunjwe
 
Back
Top Bottom