Kwamba Mzee Warioba, Butiku, Shivji, Bagonza, Pengo, Kitima wamelipwa kukataa Mkataba wa DP World?

Kwamba Mzee Warioba, Butiku, Shivji, Bagonza, Pengo, Kitima wamelipwa kukataa Mkataba wa DP World?

Watu ma failures eti ndio wakupe Ushauri ni upuuzi.

Tunaweza sikiliza Ushauri Kwa Mo, Bakhress,Rostam na Jumuiya ya wafanyabiashara ambao ndio wanalipa Kodi na ndio waajiri,hao waganga njaa wasubirie mengine.
Nina uhakika kina Mo na Bakhresa wanaunga mkono uwekezaji kwa asilimia mia moja, wanajua ni kwa namna gani utakavyorahisisha biashara zao kwa kupunguza muda wa bandarini.

Wezi na mafisadi wametengeneza aina fulani ya urasimu pale bandarini na unachelewesha utoaji wa mizigo na wao ndio mahali pa kupata pesa za wizi.

Mzigo ukiwa unatoka na kuingia kwa haraka hata hizo ICD zilizopo pembeni ya bandari zitakuwa hazina kazi kwani hakutakuwa na mzigo wa kuhifadhi eti kusubiri foleni bandarini ipungue!.

Hao wazee wanatumiwa na wezi ili kuijengea imani jamii ya wengi wanaosoma magazeti na kupata habari kwenye mitandao.
 
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania unaohusu nchi mbili TANGANYIKA na ZANZIBAR.Kama Zanzibar ina prevail Tanganyika iko wapi?
Hizi siasa za utanganyika na uzanzibari ni sehemu tu ya mpango mkakati wenye uovu unaoletwa na hao wezi wa TPA, wapo tayari hata kuvunja nchi ili mradi tu lengo lao ovu liweze kufanikiwa.

Ni watu washenzi sana wanaotawaliwa na ubinafsi uliopitiliza. Naamini usalama wa taifa unafanya kazi ya kina muda huu.
 
Nina uhakika kina Mo na Bakhresa wanaunga mkono uwekezaji kwa asilimia mia moja, wanajua ni kwa namna gani utakavyorahisisha biashara zao kwa kupunguza muda wa bandarini.

Wezi na mafisadi wametengeneza aina fulani ya urasimu pale bandarini na unachelewesha utoaji wa mizigo na wao ndio mahali pa kupata pesa za wizi.

Mzigo ukiwa unatoka na kuingia kwa haraka hata hizo ICD zilizopo pembeni ya bandari zitakuwa hazina kazi kwani hakutakuwa na mzigo wa kuhifadhi eti kusubiri foleni bandarini ipungue!.

Hao wazee wanatumiwa na wezi ili kuijengea imani jamii ya wengi wanaosoma magazeti na kupata habari kwenye mitandao.
Mipango si matumizi.
 
Hizi siasa za utanganyika na uzanzibari ni sehemu tu ya mpango mkakati wenye uovu unaoletwa na hao wezi wa TPA, wapo tayari hata kuvunja nchi ili mradi tu lengo lao ovu liweze kufanikiwa.

Ni watu washenzi sana wanaotawaliwa na ubinafsi uliopitiliza. Naamini usalama wa taifa unafanya kazi ya kina muda huu.
Bila shaka wewe ni fisadi namba moja umepumua baada ya John Pombe Magufuri kufariki.
 
Pengo
Kitima
Bagonza ..
Hawahitaji kuhongwa ...wao Wana uadui wa kiimani na waarabu....

Shivji haihitaji kuhongwa,Shivji ni Communist ndo maana wala hasemi mkataba urekebishwe ..anasema serikali ifanye kazi hiyo...haelewi dunia ya sasa hata serikali za Uingereza na Ujerumani zimebinafsisha bandari...
Shivji kabaki Karne ya 20...ya kina Nyerere na Mao Zedong...na Lenin ..

Warioba na Butiku wanahitaji anything wawe relevant....hawa ni wazee wa Karne ya 20... Hardliners conservative...wafuasi wa Nyerere....
Hawa wote wanaongea wanayo yaamini huku Karamagi akiwalainisha na kuwapa nguvu financially
Hivi kweli una ushahidi wa haya uliyoyaandika!??
Na ninyi mnaotetea DPW mmehongwa!!?!

Basi tukubakiane kitu kimoja,makundi haya mawili yamehongwa.
Wapingaji wamehongwa (japokuwa upingaji wao una hoja za msingi kwa kutaka "makubaliano/mkataba" urekebishwe na si kupinga uwekezaji wa DPW).
Waungaji wamehongwa (japokuwa hawajaweza kujibu hoja za kuunga mkono zaidi ya kulia kuwa bandarini kuna wizi kwa kipindi kirefu,hoja ambayo ni ya kweli,lakini msingi wao mkuu ukiwa kwenye ukubwa wa kampuni ya DPW)

Wapingaji wanasimama kwenye hoja ya mikataba ambayo tulishaingia huko nyuma ya rasilimali zetu,ambayo kiuhalisia tumepigwa sana na hao wanaoitwa wawekezaji.

Uking'atwa na nyoka, hata unyasi ukikugusa lazima utashituka.
 
Duh!

Makampuni gani "yanashindanishwa"?
Wewe huyo huyo umekwishaandika mara kadhaa humu, kwamba DP World, tayari anafunga vifaa bandarini, sasa tuelewe lipi?

Kama "Makubaliano", ambayo hutaki kuyaita jina la "Mkataba", ni mabovu, huo "Mkataba" wenyewe unaotokana na makubaliano mabovu utakuwaje?

Hata fikra tu za kufikiri hili kirahisi hivi hamuwezi?

Inaonekana sasa, kila mnaloleta kuwahadaa watu, mnazidi kuonyesha ubovu wa jambo lote mnalotaka kuwasukumia waTanzania.
Huyo ana ndimi mbili kama .....
Hajui katika utetezi wake kila leo ndio anaboronga zaidi.
 
Hakuna mkataba wowote wa uendeshaji bandari uliosainiwa, ndiyo kwanza makampuni yanashindanishwa na TPA, vijana wanajilia mihela tu huko kila wanapochelewesha.
Makampuni yapi yanashindanishwa, ili hali tunasema mkataba bado.
 
Ofcourse nakubaliana na wewe mkuu. Mitazamo ya kijamaa na ubinafsishaji ni paka na panya
Sio kweli mkuu, mbona wachina ni wakomunisti lakini wanafanya ubinafsishaji? Wametengeneza mabilionea wachina kibao? Makampuni ya ulaya na marekani yamewekeza Uchina ila hawauzi raslimali zao!
 
Nina uhakika kina Mo na Bakhresa wanaunga mkono uwekezaji kwa asilimia mia moja, wanajua ni kwa namna gani utakavyorahisisha biashara zao kwa kupunguza muda wa bandarini.

Wezi na mafisadi wametengeneza aina fulani ya urasimu pale bandarini na unachelewesha utoaji wa mizigo na wao ndio mahali pa kupata pesa za wizi.

Mzigo ukiwa unatoka na kuingia kwa haraka hata hizo ICD zilizopo pembeni ya bandari zitakuwa hazina kazi kwani hakutakuwa na mzigo wa kuhifadhi eti kusubiri foleni bandarini ipungue!.

Hao wazee wanatumiwa na wezi ili kuijengea imani jamii ya wengi wanaosoma magazeti na kupata habari kwenye mitandao.
Nani wenye hizo ICD na wezi ni akina nani wasiogusika?. Unaamini wezi sio walioleta hili wazo la dp na wakajitapa mtaani tukawasikia. Kuwa sasa tuchukue jiko kabisa tuache kudokoa. Unaamini tabia zetu za hovyo za wizi dp watakomesha. Kuna wafanyakazi wangapi kwenye hii sekta ambao watabadilishwa?. Hii inaitwa myopic
Mzalendo halisi aliyewahi kuwa karibu na shughuli za bandari miaka ya nyuma.
 
Sio kweli mkuu, mbona wachina ni wakomunisti lakini wanafanya ubinafsishaji? Wametengeneza mabilionea wachina kibao? Makampuni ya ulaya na marekani yamewekeza Uchina ila hawauzi raslimali zao!
Hawa watu hawajui janja za West. Kifupi wao huchagua watu wachache wawe matajiri ili kuwacontrol. Hawatoi kwa wageni bila udhibiti. Angalia action baada ya mdororo wa uchumi 2008 pesa kiasi gani zilitolewa kunusuru kampuni zao. Angalia control kwa matajiri wao waliowatengeneza na kuwalinda. We are doomed
 
Hawa wazee wetu wanahongwaje na watu wa bandari?
Hizo hongo zamani sana wangepata popote wangetaka.
Wametoa maoni yao tu km wananchi wa kawaida.
Mzee Butiku kasema kabisa anaongea km yeye mwananchi.
Hajahusisha hata taasisi anayosimamia.
Hata Dr Slaa kaongea tu km yeye anachowaza.
Ni maoni ya kawaida tu kuhusu hilo jambo.
Tuwe na heshima kidogo.
Hizi siasa za majibizano ndio zinazotuchelewesha, hao wazee wanatoa maoni na kupotosha watu wakati wao hawana hata kontena moja la nguo wanalohangaika kulitoa hapo bandarini.

Wapo wadau wenyewe wanaoitumia bandari, hawa ndio wanaokosewa sana na hii mijadala ya kipunguani. Kwani wengi wetu hatuna biashara yoyote ya maana tunayoifanya wala kutegemea kuifanya muda wowote wa maisha yetu hapa duniani.

Wakati tumetekwa na mijadala hii huko Congo na Rwanda walishamalizana na huyu DPW kitambo kwa kusaini mikataba.

Wakati sisi tunapiga domo humu JF, Zambia na Malawi wapo kwenye mpango mkakati wa kuitumia bandari ya Lobito kule Angola wanaona tunawazingua tu.

Na wateja wengi tunawapoteza kwa sababu tu ya kuendekeza hawa wapumbavu wanaopiga pesa wakipitisha mara nyingine madawa ya kulevya kwa kutegemea magumashi na mifumo yao ya wizi hapo bandarini. Adui wa Tanzania ni mtanzania mwenyewe.
 
Frustration ni mbaya sana. Na janga baya iwapo wazee wote tuliowaamini wanapitia haya.
Ukiangalia list yako ni ya Wazee ambao ni frustrated maishani, hawana lolote la kujivunia na wana uchungu kwamba wenzao wanafanya
 
Mipango ya nyumbani kwako angalizia kwa jirani. Jirani yako unajua mishe zake?
Hizi siasa za majibizano ndio zinazotuchelewesha, hao wazee wanatoa maoni na kupotosha watu wakati wao hawana hata kontena moja la nguo wanalohangaika kulitoa hapo bandarini.

Wapo wadau wenyewe wanaoitumia bandari, hawa ndio wanaokosewa sana na hii mijadala ya kipunguani. Kwani wengi wetu hatuna biashara yoyote ya maana tunayoifanya wala kutegemea kuifanya muda wowote wa maisha yetu hapa duniani.

Wakati tumetekwa na mijadala hii huko Congo na Rwanda walishamalizana na huyu DPW kitambo kwa kusaini mikataba.

Wakati sisi tunapiga domo humu JF, Zambia na Malawi wapo kwenye mpango mkakati wa kuitumia bandari ya Lobito kule Angola wanaona tunawazingua tu.

Na wateja wengi tunawapoteza kwa sababu tu ya kuendekeza hawa wapumbavu wanaopiga pesa wakipitisha mara nyingine madawa ya kulevya kwa kutegemea magumashi na mifumo yao ya wizi hapo bandarini. Adui wa Tanzania ni mtanzania mwenyewe.
 
Eti ndio washauri wengine wanategemea sadaka Sasa watu wa hivyo na mambo ya biashara wapi na wapi 😁😁
Mnatukana mpaka wazee ili muwe matajiri?...wapi binadamu ameshawahi fanikiwa kwa kuzitupa baraka za waliokula chumvi?. Hakuna jamii zilizoendelea bila wazee? Na Arabs na Indians are best kwenye kuenzi wazee. Sasa jifanye mjanja kama mwana mpotevu.
 
Maturity ni kutambua kwamba no one needs to be paid kutetea ubinafsishwaji mbovu wa mali za nchi. And I won't deny the fact kwamba hata sasa kabla ya DP world kupewa port yetu, kuna upigaji mkubwa sana pale wa baadhi ya vigogo ambao tunashukuru kuona mama ameutafutia dawa ambayo ni sahihi kabisa. Kinachopaswa kupingwa na kila mmoja ni terms za contract ambayo tunataka kui-ingia na hao wanaokuja kuondoa upigwaji unaoendelea kwenye port yetu na baadhi ya vigogo. Terms za huo mkataba ni terms ambazo inabidi uwe desperate kama Mama alivyo na kutafuta hela za campaign ndo uweze kuzi sign lakini no one in his/her right senses anaweza kuzikubali. YES, we need a private contractor wa kuendesha port zetu kwa profit lakini sio kwa mikataba ya DP world.
 
Back
Top Bottom