Kwamsisi

Kwamsisi

Hizi hadithi zimewateka wengi kweli kweli
mimi naamini avumae baharini papa lakini wapo wengi kuna vijiji tz hii ukiipereka gari utapakia abiria nyomi katikati ya safari unastukia ndani yagari hakuna hata abiria mmoja na hujacmama kushusha abiria.
 
mimi naamini avumae baharini papa lakini wapo wengi kuna vijiji tz hii ukiipereka gari utapakia abiria nyomi katikati ya safari unastukia ndani yagari hakuna hata abiria mmoja na hujacmama kushusha abiria.
sehem nyingine barabarani utakuta kofia na koti vimewekwa dereva ole wako uccmame
 
Natamani ningepata time niende nikazingue hapo then nichimbe yan amna kitu siogopi kama uchawi labda siku nirogwe ndio ntaamini an they can't mess with me..

Kwamsisi kwamsisi Kama wanauwezo siwangeendelea ngedere wakubwa [emoji95]
Kaka si mbali ukipata muda Fanya tu utalii wa ndani, Ukifika Fanya jambo lolote la kuudhi hadharani au unaweza Hata tamka hayo Maneno yako hapo juu kwa nguvu kila MTU akusikie...kisha subir results...
 
mimi naamini avumae baharini papa lakini wapo wengi kuna vijiji tz hii ukiipereka gari utapakia abiria nyomi katikati ya safari unastukia ndani yagari hakuna hata abiria mmoja na hujacmama kushusha abiria.
Kijiji gani mkuu tufanye uchunguzi
 
Na cha kushangaza hayo maeneo mgeni ukiingia mafundi wote wanajua kinachokuleta, ukipita road wanakutumbulia macho tu....wanajua A to Z kilichokupeleka huko...sasa rudi kipuuzipuuzi utajuta... sitaniii..
 
Huko Handeni Tanga kuna hii kampuni ya magari ya Simba Mtoto hii kampuni ya bhana hamna hata kijana tena madereva karibia wote wazee kijana ukienda kuomba ajira huchukui mwaka washa kulamba
 
Natamani ningepata time niende nikazingue hapo then nichimbe yan amna kitu siogopi kama uchawi labda siku nirogwe ndio ntaamini an they can't mess with me..

Kwamsisi kwamsisi Kama wanauwezo siwangeendelea ngedere wakubwa [emoji95]
Ooooosh, shingakiozoshingandima, ngukunguku keianga mwesoghoo, ikiangamwesoghoo neihaatiwe mghongo idwike sudi, naamba nkiozo ani cha nguku ichi, nhiiiihaaa
 
Nakumbuka tulikuwa tunakunywa ndani ya kibanda barabarani kuna mtu alikuwa anapita alipiga mweleka wa kufa mtu halafu kwa pembeni mtoto mmoja akawa anamwambia mwenzie si nilikuambia hii kiboko aliyonipa bibi, sikuwaelewa muuza chai akasema tuwe na adabu hata kwa kitoto kidogo akiwa na maana huyo mtoto alipewa kitu kipya na bibi yake sasa alikifanyia majaribio kwa kumwangusha yule mpita njia

Mmmmmmmmh jamani hivi ni ya kweli hayo???? Maana hata huko Bagamoyo huwa tunapata stori kuwa ni hatari na hasa mlingotini....Aidha vipi ya huko Sumbawanga?????
 
Back
Top Bottom