Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Hawakuwa na imani.Hizi hadithi zimewateka wengi kweli kweli
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawakuwa na imani.Hizi hadithi zimewateka wengi kweli kweli
mimi naamini avumae baharini papa lakini wapo wengi kuna vijiji tz hii ukiipereka gari utapakia abiria nyomi katikati ya safari unastukia ndani yagari hakuna hata abiria mmoja na hujacmama kushusha abiria.Hizi hadithi zimewateka wengi kweli kweli
sehem nyingine barabarani utakuta kofia na koti vimewekwa dereva ole wako uccmamemimi naamini avumae baharini papa lakini wapo wengi kuna vijiji tz hii ukiipereka gari utapakia abiria nyomi katikati ya safari unastukia ndani yagari hakuna hata abiria mmoja na hujacmama kushusha abiria.![]()
Itakuwa we ndo uliyeolewa nini ?![emoji57]Ni ukoo wetu huo Mimi ni mjukuu
Mjomba kwa bibi mwanaashamungu wa kabili ni nani yako?
Kaka si mbali ukipata muda Fanya tu utalii wa ndani, Ukifika Fanya jambo lolote la kuudhi hadharani au unaweza Hata tamka hayo Maneno yako hapo juu kwa nguvu kila MTU akusikie...kisha subir results...Natamani ningepata time niende nikazingue hapo then nichimbe yan amna kitu siogopi kama uchawi labda siku nirogwe ndio ntaamini an they can't mess with me..
Kwamsisi kwamsisi Kama wanauwezo siwangeendelea ngedere wakubwa [emoji95]
Mkuu hiyo Kwasuga iko pande zipi? Tutashane kidogo hapo mkuu wangu.Kwasunga pasikie tu....kwamsisi panasubili..
Kijiji gani mkuu tufanye uchunguzimimi naamini avumae baharini papa lakini wapo wengi kuna vijiji tz hii ukiipereka gari utapakia abiria nyomi katikati ya safari unastukia ndani yagari hakuna hata abiria mmoja na hujacmama kushusha abiria.![]()
Kama unaenda kwa msisi, halafu sio mbali na masimbani....mafundi huko majanki hata 25 hawajavuka........Mkuu hiyo Kwasuga iko pande zipi? Tutashane kidogo hapo mkuu wangu.
Mpwa usifikiri utani![emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] usiku wangu umekuwa mzuri sana,asante mkuu.
Ooooosh, shingakiozoshingandima, ngukunguku keianga mwesoghoo, ikiangamwesoghoo neihaatiwe mghongo idwike sudi, naamba nkiozo ani cha nguku ichi, nhiiiihaaaNatamani ningepata time niende nikazingue hapo then nichimbe yan amna kitu siogopi kama uchawi labda siku nirogwe ndio ntaamini an they can't mess with me..
Kwamsisi kwamsisi Kama wanauwezo siwangeendelea ngedere wakubwa [emoji95]
Endelea badoOoooosh, shingakiozoshingandima, ngukunguku keianga mwesoghoo, ikiangamwesoghoo neihaatiwe mghongo idwike sudi, naamba nkiozo ani cha nguku ichi, nhiiiihaaa
Nakumbuka tulikuwa tunakunywa ndani ya kibanda barabarani kuna mtu alikuwa anapita alipiga mweleka wa kufa mtu halafu kwa pembeni mtoto mmoja akawa anamwambia mwenzie si nilikuambia hii kiboko aliyonipa bibi, sikuwaelewa muuza chai akasema tuwe na adabu hata kwa kitoto kidogo akiwa na maana huyo mtoto alipewa kitu kipya na bibi yake sasa alikifanyia majaribio kwa kumwangusha yule mpita njia
Alafu kwenye uchawi mwingi hata maendeleo hakuna,maana hata ukiwajengea kiwanda na ajira ukawapa na ajira bado watakuloga tu
Halafu usakafie ndio noma kabisa...sakafu na mchawi ni paka na panyaOle wako ujenge nyumba ya tofali na kuezeka bati, utajuta....