Suzy Elias
JF-Expert Member
- Nov 9, 2021
- 1,067
- 6,200
Mzee Nyerere alijaaliwa hekima na busara za pekee mno na mwenyezi Mungu.
Ukiisikiliza hotuba hiyo hapo juu kwa mfano ni wazi unaona u Walimu wake kwenye muktadha wa kuonya,kuelekeza na kutabiri yawayo huko mbele ya safari.
Mengi kama si yote aliyopata kutuasa mzee wetu yule yalitimia ama yanaendelea kushuhudiwa.
Kwangu mimi hiyo hapo juu ndiyo hotuba yenye darasa zuri mno kwa mwanafunzi yeyote awaye atakaye kuja kuwa kiongozi wa Nchi yetu.
RiP mzee wetu.