Kwangu mimi hiyo ndiyo hotuba ya maana kuliko zote zilizopata kuhutubiwa na Hayati mzee Nyerere

Ni kweli Nyerere na ujamaa wake alishindwa kutukomboa kwenye umaskini. Usiongelee wengine lakini hujui kama wangeweza au wangeshindwa kama Nyerere na ujamaa wake alivyoshindwa.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…