Kwangu mimi huyu ndio mzamiaji mwenye roho ngumu kinoma, wengine wanangoja

Mimi mwenyew siku hizi nikienda nyumban huwa natumia ya Kutoka Kaburu to Zambia kisha kutoka Zambia to Tz. Nikirudi natoka Tz to Zim afu natoka Zim to Kaburu. Ile ya Malawi Msumbiji nimeivulia kofia mkuu.
 
Duh kwahiyo siku ya pili ilikuaje mkuu, ulinusurika kweli?
 
Hata leo mabaharia wanazamia toka mikoani kuja Dar kwa kujifichia kwenye chassis za mabus, malori au juu ya contena wanalala usiku .
 
Huyo mwamba daaah🙌🙌 yaaN hata ungekutaNa nae ingeKua bomba sana hakika yy ni shujaa kudadeki ana uthubutu
 
Hata leo mabaharia wanazamia toka mikoani kuja Dar kwa kujifichia kwenye chassis za mabus, malori au juu ya contena wanalala usiku .
Mkuu, mtu anaetoka mkoani kuja Dar anajificha juu ya kontena ili kumkwepa nani?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…