Mr Dudumizi
JF-Expert Member
- Sep 9, 2020
- 7,799
- 14,215
- Thread starter
- #81
Umesoma vizuri mkuu kuhusu umbali, ubavu wa barabara, mvua kunyesha na changamoto za kukosa chakula hadi anafika?Hii ya kawaida mbona tu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Umesoma vizuri mkuu kuhusu umbali, ubavu wa barabara, mvua kunyesha na changamoto za kukosa chakula hadi anafika?Hii ya kawaida mbona tu
Hii naijua mkuu, hata wale wezi wa mizigo mara nyingi walikuwa wakijificha huko juu ya roof ya treni bila kuonekana.Zamani masela Toka kuja dar walikuwa wanapishana na wakaguzi wa tiketi wanapanda juu ya roof ya tren wanakaa juu wanapisha behewa wanadondokea dirisha la chooni au wanajichomeka chini ya viti wanalala kwa nyomi ile hakuna mkaguzi anakagua chini ya viti
Ya jamaa akitusua lawama zinakuwa kibao kwa ndugu jamaa na marafiki, bila kujua njia aliyotumia hadi mwamba akufanikiwa kutusua.Halafu mtu kama huyo akijipata mnasema anaringa, muwe mnauliza kwanza viatu vyao.
Duh aisee, kweli watu wana mioyo ya paka katika kufikia malengo yao.Pana dogo alitembea kwa mguu toka Mwanza Hadi south Africa means kwa kuunga unga lift but sehemu kubwa amekanyaga kwa mguu
Inaitwa moto wa ndani attitude iwe mvua jua lzm ndoto itimie.Duh aisee, kweli watu wana mioyo ya paka katika kufikia malengo yao.
Mkuu, saivi sasa Ukifika south for the first time, unapiga kazi gani sasa kihalali kabisa ili uanze kujitafuta..?sasa hivi kutoka dar mpaka lusaka kama huna 120,000 huendi.....
ila dar to harare ni 200,000 ...
gari zipo nyingi, classic, mashaallah n.k
Mkuu, south saivi mtu anayekuja kujitafuta mpe ushauri, akifika ni shughuli gani anaweza kufanya..?Duh aisee, kweli watu wana mioyo ya paka katika kufikia malengo yao.
Za haram ni nyingi japo siwezi kukushauri kuja kuzifanya maana utaweka maisha yako hatarini na pengine kurudishwa maiti nyumbani.Mkuu, south saivi mtu anayekuja kujitafuta mpe ushauri, akifika ni shughuli gani anaweza kufanya..?