Kwangu Mimi Manyerere Jackton aliyepata 'Masters' yake SAUT juzi ndiyo Msomi na siyo wale 'Wasanii' Wawili waliopata 'PhD's' zao za UDOM hivi karibuni

Kwangu Mimi Manyerere Jackton aliyepata 'Masters' yake SAUT juzi ndiyo Msomi na siyo wale 'Wasanii' Wawili waliopata 'PhD's' zao za UDOM hivi karibuni

I
Nina Division II ya Ordinary Level na nina Division I ya Advanced Level na sijui ni Mpumbavu ( Tula Tula ) Mwenzako gani alikuambia kuwa SAUT wanaenda tu wasiokuwa na Ufaulu mkubwa kama nilionao.

Na kwa Kukusaidia tu ni kwamba nilienda SAUT kwakuwa ndiyo Chuo Kikuu ambacho ni Mama wa Kozi ya Habari ( Uandishi ) na Mawasiliano ya Umma nchini Tanzania japo hata Chuo Kikuu cha UDSM nao walikuwa nayo hiyo Kozi ila hawakuwa 'that Competent' kama SAUT Mwanza.

Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE namalizia kwa Kusisitiza kuwa nina Division II ya Form Four na nina Division I ya Form Six.

Haya njoo na lingine pia Tulatula Wewe.
-Kwenye Mass communication and Journalism UDSM ni number one, School of Journalism and masscomm ya UDSM ndiyo Bora kabisa ukitaka kujua Hilo hata hao Wahadhiri waliokufundisha hapo 'SAUT' wamefundishwa na Wahadhiri wa UDSM hivyo kiini cha hiyo Taaluma ya Journalism ni UDSM
-Unasema kwamba ulipata division I Form 6 halafu ukaenda SAUT, swali la msingi ni unajua cuttoff points za UDSM na SAUT? je zinalingana je? Wapi Wana Cuttoff points kubwa?
-Halafu Dotto Biteko kasoma SAUT hivyo unajikanganya mwenyewe
-halafu kumbe kelele nyingi humu jf kumbe umesomea Journalism Taaluma ambayo ukipewa kozi ya muda mfupi unafanya, mfano Salim Kikeke yeye ana Diploma ya Kilimo ila uandishi wa habari kasomea miezi kadhaa tu, hivyo sio Taaluma ngumu Kama Udaktari,Law, Engineering,Land survey, architecture
-
 
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.

Kwa 'Msuli' ambao najua ( naujua ) upo SAUT ( Chuo Kikuu cha kupika Think Tanks tupu wa Tanzania ) Kwangu Mimi GENTAMYCINE Wewe ndiyo umesoma kweli na hiyo Masters Degree yako inakustahili kuliko wale 'Wasanii' Wawili waliopata Doctorates zao za 'Kitonga' kutoka UDOM wakati hata 'Dissertations' zao tu wamefanyiwa halafu leo tunawasifu.

Hongereni hasa Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwa kuendelea kutoa Elimu yenu bora na ya 'Kutukuka' nchini Tanzania na kuwaongezea Maarifa na Ujuzi Watu 'maarufu' kama 'Poti' wangu huyu Manyerere Jackton na Wengineo hasa katika Fani hii ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari. Mbarikiwe mno SAUT na tambueni kuwa GENTAMYCINE nawapenda hadi nachanganyikiwa nanyi kwani kwa hii Degree yenu tu mliyonipa 2009 huku mtaani ( mpaka hapa JamiiForums ) yaani ninawakimbiza hadi wanadhani nina Phd ( Doctorate ) wakati hata sina.

Haya 'Poti' wangu Manyerere Jackton tafadhali nitunzie hizo 'Notes' zako za Masters Degree kwani mdogo wako GENTAMYCINE nitazihitaji pale nitakapoamua kusoma tena 'Masters Degree' hiyo ya 'Mass Communication' hapo hapo SAUT Mwanza ( hasa Tawi lao la Dar es Salaam Msimbazi Center ) ambapo niliianza ila kwa Msuli wake ( Ugumu ) nikaikimbia Kwanza ili niuandae vyema Ubongo wangu kwa Taaluma yao ya hali ya Juu hapo SAUT.

Ila najua pamoja na Kufanikiwa Kwako huku ila hawa 'Washamba' kutoka Mikoa ya Kagera ( kwa Wahaya ), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Dodoma ( kwa Warangi ), Ukerewe Mwanza ( kwa Wakara ) na Tabora ( kwa Wanyamwezi ) hawajafurahi na wanakuonea mno Wivu ( Kijicho ) kwani wanaona kila Siku tu Wasomi ( Intellectuals ) wanazidi Kuongezeka Mkoani Mara ( Musoma ) huku Kwao wakipungua.

Hongereni nyote mliosoma SAUT na mnaosoma SAUT kwani ndiyo Chuo Kikuu pekee Bora, cha Uhakika na ambacho kinazalisha 'Geniuses' tupu nchini Tanzania na hata nchi za Jirani pia. Na ambao hamjasoma SAUT nawapeni Pole kwani mmekosa vingi kwakuwa Elimu ya Mkatoliki ( Kikatoliki ) ipatikanayo hapo SAUT Mwanza haikufanyi uwe tu ni Einstein ( Genius ) lakini pia inakufanya uwe Critical Thinker na tegemeo la Mabadiliko kwa Jamii uliyopo na Taifa ulilopo.

Hongera mno 'Poti' Manyerere Jackton.
popoma aka kilaza katika kiwango chako cha juu cha ujinga
 
I

-Kwenye Mass communication and Journalism UDSM ni number one, School of Journalism and masscomm ya UDSM ndiyo Bora kabisa ukitaka kujua Hilo hata hao Wahadhiri waliokufundisha hapo 'SAUT' wamefundishwa na Wahadhiri wa UDSM hivyo kiini cha hiyo Taaluma ya Journalism ni UDSM
-Unasema kwamba ulipata division I Form 6 halafu ukaenda SAUT, swali la msingi ni unajua cuttoff points za UDSM na SAUT? je zinalingana je? Wapi Wana Cuttoff points kubwa?
-Halafu Dotto Biteko kasoma SAUT hivyo unajikanganya mwenyewe
-halafu kumbe kelele nyingi humu jf kumbe umesomea Journalism Taaluma ambayo ukipewa kozi ya muda mfupi unafanya, mfano Salim Kikeke yeye ana Diploma ya Kilimo ila uandishi wa habari kasomea miezi kadhaa tu, hivyo sio Taaluma ngumu Kama Udaktari,Law, Engineering,Land survey, architecture
-
Pumbavu SAUT wanatoa Degree ya Journalism? Ndiyo maana huwa nawadharau na Kuwajibuni hovyo kwakuwa hamna Akili. SAUT wanatoa Degree ya Mass Communication ambapo ndani yake Kuna Fani Kuu Mbili ya Journalism na Public Relations na huko katika Journalism unaweza ukaamua Ubobee katika ama Electronic au Print Media nilikobobea hasa.

Bado tena kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE nasisitiza nina Division II ya Form Four na Division I ya Form Six na nimesoma hapo hapo SAUT ( 2006 - 2009 )

Kuhusu UDSM kuwa Juu ya SAUT kwa Kozi Mama ya Mass Communication na kwamba Wahadhiri wengi wametoka hapo UDSM na kwenda SAUT ni muendelezo ule ule wa Upumbavu wako Uliorithi kutoka kwa waliopoteza Usingizi Wao Usiku Kucha kukutafuta Taahira Mmoja kama Wewe.

Hao unaowaita Wahadhiri wa Kozi ya Mass Communication walioko huko UDSM akiwemo Mhadhiri wangu na Mtani wangu wa Kihaya Dk. Dietrick Kaijanangoma ( aliyekuwa SAUT na sasa ndiyo Mkuu hapo SJMC UDSM ) wote Kwanza walipata Elimu na Mafunzo yao ya Habari na Mawasiliano kutoka kwa iliyokuwa Nyegezi Youth Social Institute ( ambayo baadae ndiyo ilikuja Kukizaa au Kugeuzwa na Kanisa ) kuwa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino ( SAUT ) ambapo kwa nchi nzima ndiyo kilikuwa Chuo Kikuu Mama kwa Kozi ya Mass Communication.

Njoo na lingine tena ili GENTAMYCINE nikuumbue kwa Hoja na Facts na huwa niwapo hapa JamiiForums napenda zaidi kukutana na 'damn fools' wa mfano wako ( kama Wewe ) ili nikuelimishe vyema na ujue kuwa Ukizaliwa na Damu ya Kizanaki, Kitutsi, Kimakuwa na Kiyao 'automatically' tu Wewe ni Brainiac ( Einstein ) sawa?

I'm proud of my University SAUT Mwanza.

Cc: wilcoxon
 
Pumbavu SAUT wanatoa Degree ya Journalism? Ndiyo maana huwa nawadharau na Kuwajibuni hovyo kwakuwa hamna Akili. SAUT wanatoa Degree ya Mass Communication ambapo ndani yake Kuna Fani Kuu Mbili ya Journalism na Public Relations na huko katika Journalism unaweza ukaamua Ubobee katika ama Electronic au Print Media nilikobobea hasa.

Bado tena kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE nasisitiza nina Division II ya Form Four na Division I ya Form Six na nimesoma hapo hapo SAUT ( 2006 - 2009 )

Kuhusu UDSM kuwa Juu ya SAUT kwa Kozi Mama ya Mass Communication na kwamba Wahadhiri wengi wametoka hapo UDSM na kwenda SAUT ni muendelezo ule ule wa Upumbavu wako Uliorithi kutoka kwa waliopoteza Usingizi Wao Usiku Kucha kukutafuta Taahira Mmoja kama Wewe.

Hao unaowaita Wahadhiri wa Kozi ya Mass Communication walioko huko UDSM akiwemo Mhadhiri wangu na Mtani wangu wa Kihaya Dk. Dietrick Kaijanangoma ( aliyekuwa SAUT na sasa ndiyo Mkuu hapo SJMC UDSM ) wote Kwanza walipata Elimu na Mafunzo yao ya Habari na Mawasiliano kutoka kwa iliyokuwa Nyegezi Youth Social Institute ( ambayo baadae ndiyo ilikuja Kukizaa au Kugeuzwa na Kanisa ) kuwa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino ( SAUT ) ambapo kwa nchi nzima ndiyo kilikuwa Chuo Kikuu Mama kwa Kozi ya Mass Communication.

Njoo na lingine tena ili GENTAMYCINE nikuumbue kwa Hoja na Facts na huwa niwapo hapa JamiiForums napenda zaidi kukutana na 'damn fools' wa mfano wako ( kama Wewe ) ili nikuelimishe vyema na ujue kuwa Ukizaliwa na Damu ya Kizanaki, Kitutsi, Kimakuwa na Kiyao 'automatically' tu Wewe ni Brainiac ( Einstein ) sawa?

I'm proud of my University SAUT Mwanza.

Cc: wilcoxon
-bado hujajibu hoja bali unatukana na kuzunguka zunguka, ukienda UDSM pale Kuna School of Journalism and Masscomm hiyo ni shule ya habari UDSM ambapo wanafundisha Mambo ya habari hivyo haiondoi ukweli kwamba UDSM iko juu ya SAUT kimuundo,kivifaa na kwa Wahadhiri.
-Umetoa mfano wa Lecturer mmoja tu anayeitwa Dr.Kaijanangoma, UDSM eneo la Journalism and Masscomm Kuna Wahadhiri wa kutosha na sio huyo mmoja uliyemtaja, Kingine ww unadhani kwa Elimu waliyoipata Hapo Nyegezi institute ingetosha kuwafanya kuwa Wahadhiri wa UDSM? Lazima ukubali kwamba elimu ya juu na ya kina Waliipata UDSM huko Nyegezi institute walichopata ni 'basics ' za Uandishi wa Habari lakini hawakufikia kuwa Wabobezi
-Kingine umekimbia hoja ya Cuttoff points za SAUT na UDSM kwa sababu utaumbuka unataka kufananisha vyuo vya Cuttoff za chini na vyuo vya Cuttoff za juu
-hoja Nyingine uoiyokimbia ni Urahisi wa kozi ya Journalism and Masscomm etc, nikakwambia Salim Kikeke alisomea Uandishi miezi kadhaa hii hoja hujajibu
-unajisifu kwa facts kumbe huna fact yoyote zaidi ya kuandika Ubabaishaji, unajiita brainiac (Eistein) huku Kichwani hauko hivyo brainiac gani kapata division ii, humu jf Kuna watu wana One za singo digit lakini wako kimya, halafu unajiita brainiac halafu umesoma HKL sijui nn at least ungekuwa umesomea PCB,PCM,PGM Sasa umesomea kuimba ngonjera halafu unatupigia kelele humu,
 
Pumbavu SAUT wanatoa Degree ya Journalism? Ndiyo maana huwa nawadharau na Kuwajibuni hovyo kwakuwa hamna Akili. SAUT wanatoa Degree ya Mass Communication ambapo ndani yake Kuna Fani Kuu Mbili ya Journalism na Public Relations na huko katika Journalism unaweza ukaamua Ubobee katika ama Electronic au Print Media nilikobobea hasa.

Bado tena kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE nasisitiza nina Division II ya Form Four na Division I ya Form Six na nimesoma hapo hapo SAUT ( 2006 - 2009 )

Kuhusu UDSM kuwa Juu ya SAUT kwa Kozi Mama ya Mass Communication na kwamba Wahadhiri wengi wametoka hapo UDSM na kwenda SAUT ni muendelezo ule ule wa Upumbavu wako Uliorithi kutoka kwa waliopoteza Usingizi Wao Usiku Kucha kukutafuta Taahira Mmoja kama Wewe.

Hao unaowaita Wahadhiri wa Kozi ya Mass Communication walioko huko UDSM akiwemo Mhadhiri wangu na Mtani wangu wa Kihaya Dk. Dietrick Kaijanangoma ( aliyekuwa SAUT na sasa ndiyo Mkuu hapo SJMC UDSM ) wote Kwanza walipata Elimu na Mafunzo yao ya Habari na Mawasiliano kutoka kwa iliyokuwa Nyegezi Youth Social Institute ( ambayo baadae ndiyo ilikuja Kukizaa au Kugeuzwa na Kanisa ) kuwa Chuo Kikuu cha Mtakatifu Augustino ( SAUT ) ambapo kwa nchi nzima ndiyo kilikuwa Chuo Kikuu Mama kwa Kozi ya Mass Communication.

Njoo na lingine tena ili GENTAMYCINE nikuumbue kwa Hoja na Facts na huwa niwapo hapa JamiiForums napenda zaidi kukutana na 'damn fools' wa mfano wako ( kama Wewe ) ili nikuelimishe vyema na ujue kuwa Ukizaliwa na Damu ya Kizanaki, Kitutsi, Kimakuwa na Kiyao 'automatically' tu Wewe ni Brainiac ( Einstein ) sawa?

I'm proud of my University SAUT Mwanza.

Cc: wilcoxon
Kwamba zamani iliitwa Nyegezi Youth Social Institute? Siyo Nyegezi Social Training Institute (NSTI) na motto yao ikiwa ni "That All May Be One"? Nilipafika sana miaka hiyo.
 
Nina Division II ya Ordinary Level na nina Division I ya Advanced Level na sijui ni Mpumbavu ( Tula Tula ) Mwenzako gani alikuambia kuwa SAUT wanaenda tu wasiokuwa na Ufaulu mkubwa kama nilionao.

Na kwa Kukusaidia tu ni kwamba nilienda SAUT kwakuwa ndiyo Chuo Kikuu ambacho ni Mama wa Kozi ya Habari ( Uandishi ) na Mawasiliano ya Umma nchini Tanzania japo hata Chuo Kikuu cha UDSM nao walikuwa nayo hiyo Kozi ila hawakuwa 'that Competent' kama SAUT Mwanza.

Kwa Kujiamini kabisa GENTAMYCINE namalizia kwa Kusisitiza kuwa nina Division II ya Form Four na nina Division I ya Form Six.

Haya njoo na lingine pia Tulatula Wewe.

Huoni aibu kupiga kelele humu na hiyo elimu yako ya Saut?

We jasiri sana aisee[emoji23][emoji23]
 
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.

Kwa 'Msuli' ambao najua ( naujua ) upo SAUT ( Chuo Kikuu cha kupika Think Tanks tupu wa Tanzania ) Kwangu Mimi GENTAMYCINE Wewe ndiyo umesoma kweli na hiyo Masters Degree yako inakustahili kuliko wale 'Wasanii' Wawili waliopata Doctorates zao za 'Kitonga' kutoka UDOM wakati hata 'Dissertations' zao tu wamefanyiwa halafu leo tunawasifu.

Hongereni hasa Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwa kuendelea kutoa Elimu yenu bora na ya 'Kutukuka' nchini Tanzania na kuwaongezea Maarifa na Ujuzi Watu 'maarufu' kama 'Poti' wangu huyu Manyerere Jackton na Wengineo hasa katika Fani hii ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari. Mbarikiwe mno SAUT na tambueni kuwa GENTAMYCINE nawapenda hadi nachanganyikiwa nanyi kwani kwa hii Degree yenu tu mliyonipa 2009 huku mtaani ( mpaka hapa JamiiForums ) yaani ninawakimbiza hadi wanadhani nina Phd ( Doctorate ) wakati hata sina.

Haya 'Poti' wangu Manyerere Jackton tafadhali nitunzie hizo 'Notes' zako za Masters Degree kwani mdogo wako GENTAMYCINE nitazihitaji pale nitakapoamua kusoma tena 'Masters Degree' hiyo ya 'Mass Communication' hapo hapo SAUT Mwanza ( hasa Tawi lao la Dar es Salaam Msimbazi Center ) ambapo niliianza ila kwa Msuli wake ( Ugumu ) nikaikimbia Kwanza ili niuandae vyema Ubongo wangu kwa Taaluma yao ya hali ya Juu hapo SAUT.

Ila najua pamoja na Kufanikiwa Kwako huku ila hawa 'Washamba' kutoka Mikoa ya Kagera ( kwa Wahaya ), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Dodoma ( kwa Warangi ), Ukerewe Mwanza ( kwa Wakara ) na Tabora ( kwa Wanyamwezi ) hawajafurahi na wanakuonea mno Wivu ( Kijicho ) kwani wanaona kila Siku tu Wasomi ( Intellectuals ) wanazidi Kuongezeka Mkoani Mara ( Musoma ) huku Kwao wakipungua.

Hongereni nyote mliosoma SAUT na mnaosoma SAUT kwani ndiyo Chuo Kikuu pekee Bora, cha Uhakika na ambacho kinazalisha 'Geniuses' tupu nchini Tanzania na hata nchi za Jirani pia. Na ambao hamjasoma SAUT nawapeni Pole kwani mmekosa vingi kwakuwa Elimu ya Mkatoliki ( Kikatoliki ) ipatikanayo hapo SAUT Mwanza haikufanyi uwe tu ni Einstein ( Genius ) lakini pia inakufanya uwe Critical Thinker na tegemeo la Mabadiliko kwa Jamii uliyopo na Taifa ulilopo.

Hongera mno 'Poti' Manyerere Jackton.
Nilikwenda IPT mahali fulani nikakutana na wadau wametok vyuo vingine wakashangaa mimi kusoma SAUT. Mim niliwaambia jambo moja tu acheni kukuaririshwa, uliwahi kuona wapi mtu akafundishwa na Padri au Sister af akawa na Elimu yenye mashaka? Nikawaambia missing ya chuo cha SAUT ni yakiseminary sasa uliwahi kuona wapi seminary hasa Warumi wakatoa elimu ya kubabaisha. Bahati nzuri mim nimesoma chuo cha umma diploma na degree SAUT. Aisee wale waseminary ni kiboko. Ingekuwa wanatoa Masters ya koz yangu ningerudi kuitafuta.
 
Nakumbuka miaka ya nyuma chuo kikuu Cha SAUT walikuwa na program maalumu kwa watu waliopata division (four form 6)..
Yaani ukipata division four kidato Cha sita unapigwa kipindi kwa miezi mitatu..alafu unajiunga na masomo ya degree na wengine waliopa division 3 (kipindi Cha nyuma division 1 na 2 walikuwa wanaenda vyuo vya serikali)
Hiyo ndio tabia ya waseminary hawaamini kam mtu hana akili wanaamini pengine mazingira aliyesomea hayakuwa rafiki au hakupata walimu wazur ndio maana akapata dv 4, hivyo wao huamua kumnoa na kumpika upya.

Nilipomaliza darasa la saba kuna wenzentu maksi hazikutosha, hivyo hawakuchaguliwa kujiunga na shule za serikali, wakaenda kujiunga na seminary,SANU badala yake matokeo ya four 4 wao walituburuza vibaya vibaya sana.

Nilipokwenda kuchukua Degree yangu SAUT ndio nikajua kwa nin walituburuza. Sikusudii kumbanisha vyuo ila naamini elimu wanayotoa wale mapedri ni mbolea safi sana ya ubongo na roho.
 
UDSM ndo chuo kikuu Bora zaid hap EA
 
Hiyo ndio tabia ya waseminary hawaamini kam mtu hana akili wanaamini pengine mazingira aliyesomea hayakuwa rafiki au hakupata walimu wazur ndio maana akapata dv 4, hivyo wao huamua kumnoa na kumpika upya.

Nilipomaliza darasa la saba kuna wenzentu maksi hazikutosha, hivyo hawakuchaguliwa kujiunga na shule za serikali, wakaenda kujiunga na seminary,SANU badala yake matokeo ya four 4 wao walituburuza vibaya vibaya sana.

Nilipokwenda kuchukua Degree yangu SAUT ndio nikajua kwa nin walituburuza. Sikusudii kumbanisha vyuo ila naamini elimu wanayotoa wale mapedri ni mbolea safi sana ya ubongo na roho.
Nimekuelewa..umeeleza vizuri.
 
Wale jamaa wanapiga two in one nilikwenda pale English grammar kwangu ilikuwa tabu kweli. Tulipigwa masasa wa com skills mwaka mzima, na walimu kutoka nchi jirani kwa kweli imenisaidia sana japo nilichokwenda kusoma sio hicho.
Ndugu communication skills..inafundishwa vyuo vyote kwa degree zote..pia research na math..
 
Ndugu communication skills..inafundishwa vyuo vyote kwa degree zote..pia research na math..
Ni kweli mkuu inafundishwa kote ila SAUT mwaka wa kwanza wana course inaitwa basic English hicho ndicho nilichotaka kumaanisha ila niliichanganya na comm skills. Thank u for notification.
 
Back
Top Bottom