Kwangu Mimi Manyerere Jackton aliyepata 'Masters' yake SAUT juzi ndiyo Msomi na siyo wale 'Wasanii' Wawili waliopata 'PhD's' zao za UDOM hivi karibuni

Kwangu Mimi Manyerere Jackton aliyepata 'Masters' yake SAUT juzi ndiyo Msomi na siyo wale 'Wasanii' Wawili waliopata 'PhD's' zao za UDOM hivi karibuni

Ni kweli mkuu inafundishwa kote ila SAUT mwaka wa kwanza wana course inaitwa basic English hicho ndicho nilichotaka kumaanisha ila niliichanganya na comm skills. Thank u for notification.
Nilifundishwa na jamaa mmoja alikuwa anaitwa Katigula
 
Hapana, naanza na bimkubwa wako kwanza mkuu, nahisi Kuna tatizo alipata during your pregnancy
 
Wapumbavu wachache mnaonishambulia kwa huu Uzi wangu mmemaliza au bado? Kama bado tafadhali muda upo endeleeni kwani Kudhihakiwa na Wendawazimu wa aina yenu wala huwa hakunipi taabu.

Nilichofurahi tu ni kwamba pamoja na Kunichukia Kwenu, Kutopenda Uzi wangu na Kunishambulia kotee ila nyote ( mnaojiita Werevu na Wasomi ) mmeweza kupoteza muda wenu na Kusoma Uzi wa GENTAMYCINE ambaye 99.9 yenu mnanichukia katika Viganja vyenu vya vidole ila Mioyoni mwenu mnanikubali sana na ndiyo maana yupo Mpumbavu Mwenzenu Mmoja kuonyesha kuwa ananipenda, anaijua na ameikariri mpaka na 'Signature' yangu ya 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' na ameumia mno Mimi kuwa nayo na pengine anatamani ndiyo ingekuwa yake.

Sijutii Kusoma Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza na bahati nzuri Kwangu GENTAMYCINE ni kwamba huwa sina DNA ya Kupenda au Kuchagua Vitu vibovu vibovu na ndiyo maana Vitu nivipendavyo ni vizuri na vinafanikiwa pia.

Kwa mfano naipenda Klabu ya Simba SC kwa Tanzania na ya Liverpool FC kwa Ulaya na zote zinafanya vyema.

Nawapenda Wachezaji akina Lionel Messi, Jonas Mkude na Khalid Aucho na Wote wanafanya vizuri.

Naipenda mno Bendi ya Muziki ya Wenge BCBG yake JB Mpiana na ndiyo Bendi pendwa na yenye Mvuto hasa kwa Kupiga Misebene na Rhumba za Kufa Mtu.

Naipenda sana nchi ya Rwanda kwakuwa haina Raia Wapumbavu na wenye Wivu pamoja na Chuki kama Raia wa nchi moja Jirani ambao 95% ya Wananchi wake wana Upuuzi mwingi na upeo mdogo wa Kufikiri.

Nalipenda Jeshi la Tanzania ( JWTZ ) kuliko Majeshi mengine yote barani Afrika na Duniani kwani ndilo Jeshi lenye Utii, Maadili, Utayari, Uvumilivu, Umahiri, Ukakamavu wa Asili liko very committed hasa Kimedani.

Naupenda zaidi Mtandao huu wa JamiiForums kuliko Mitandao mingine yote duniani na kwa Takwimu nilizonazo kwa Tanzania yetu JamiiForums ndiyo Mtandao unaosomwa na Wengi na Kuaminika haraka Kimaudhui yake.

Nampenda mno Mrembo ( Mnyange ) Hamisa Mobeto kwani Yeye si tu ni 'very Pretty' bali pia ni 'Photogenic' hasa tofauti na Wanawake wengine wengi kiasi kwamba ndiyo Mwanamke anayeongozwa Kufuatiliwa sana na Watu ( hasa wa nje ya Tanzania ) hivyo kupelekea kuzidi Kujulikana.

Tanzania ina Vyuo Vikuu vingi na tena GENTAMYCINE naviheshimu vyote ila nakipenda zaidi Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwakuwa hawakufundishi tu ujue Kukariri Notes, Ufaulu Mitihani na upate Cheti katika Mahafali yao, bali ukimaliza Masomo na kwa Elimu yao ya Msuli Mwingi ( Ngumu ) utakuwa ni Hazina ya Kifikra ( Intellectual ) kwa ndani na nje.

I'm proud of SAUT my Favorite Varsity.

Cc: Chinga One, Woga tupa kulee, donlucchese, USSR, Dorome, GRANITE II, Tangantika, Buti la mkoloni, josephwaara, maroon7, Jorojik, adriz
Unapenda Aucho? Aucho ameoa sista usije muharibia ndoa yake.

# watu wa Yanga kuweni makini Sana Na huyu dada anataka kumuharibu middle wetu.
 
Mleta mada haipiti week hajala ban,sijui huwa ana matatizo gani huyu jamaa?
 
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.

Kwa 'Msuli' ambao najua ( naujua ) upo SAUT ( Chuo Kikuu cha kupika Think Tanks tupu wa Tanzania ) Kwangu Mimi GENTAMYCINE Wewe ndiyo umesoma kweli na hiyo Masters Degree yako inakustahili kuliko wale 'Wasanii' Wawili waliopata Doctorates zao za 'Kitonga' kutoka UDOM wakati hata 'Dissertations' zao tu wamefanyiwa halafu leo tunawasifu.

Hongereni hasa Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwa kuendelea kutoa Elimu yenu bora na ya 'Kutukuka' nchini Tanzania na kuwaongezea Maarifa na Ujuzi Watu 'maarufu' kama 'Poti' wangu huyu Manyerere Jackton na Wengineo hasa katika Fani hii ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari. Mbarikiwe mno SAUT na tambueni kuwa GENTAMYCINE nawapenda hadi nachanganyikiwa nanyi kwani kwa hii Degree yenu tu mliyonipa 2009 huku mtaani ( mpaka hapa JamiiForums ) yaani ninawakimbiza hadi wanadhani nina Phd ( Doctorate ) wakati hata sina.

Haya 'Poti' wangu Manyerere Jackton tafadhali nitunzie hizo 'Notes' zako za Masters Degree kwani mdogo wako GENTAMYCINE nitazihitaji pale nitakapoamua kusoma tena 'Masters Degree' hiyo ya 'Mass Communication' hapo hapo SAUT Mwanza ( hasa Tawi lao la Dar es Salaam Msimbazi Center ) ambapo niliianza ila kwa Msuli wake ( Ugumu ) nikaikimbia Kwanza ili niuandae vyema Ubongo wangu kwa Taaluma yao ya hali ya Juu hapo SAUT.

Ila najua pamoja na Kufanikiwa Kwako huku ila hawa 'Washamba' kutoka Mikoa ya Kagera ( kwa Wahaya ), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Dodoma ( kwa Warangi ), Ukerewe Mwanza ( kwa Wakara ) na Tabora ( kwa Wanyamwezi ) hawajafurahi na wanakuonea mno Wivu ( Kijicho ) kwani wanaona kila Siku tu Wasomi ( Intellectuals ) wanazidi Kuongezeka Mkoani Mara ( Musoma ) huku Kwao wakipungua.

Hongereni nyote mliosoma SAUT na mnaosoma SAUT kwani ndiyo Chuo Kikuu pekee Bora, cha Uhakika na ambacho kinazalisha 'Geniuses' tupu nchini Tanzania na hata nchi za Jirani pia. Na ambao hamjasoma SAUT nawapeni Pole kwani mmekosa vingi kwakuwa Elimu ya Mkatoliki ( Kikatoliki ) ipatikanayo hapo SAUT Mwanza haikufanyi uwe tu ni Einstein ( Genius ) lakini pia inakufanya uwe Critical Thinker na tegemeo la Mabadiliko kwa Jamii uliyopo na Taifa ulilopo.

Hongera mno 'Poti' Manyerere Jackton.
Sawa Manyerere tumeshajua kuwa umepata masters yako,inatosha sasa.
 
Ihihihihiiiiii naona vurugu tu hapa, mara UDOM, mara SUA, mara sijui wapi, all in all hakuna cha maana tunachojivua kutokana na elimu ya bongo, sana sana nikutoa tongotongo tu na kuanza kulia lia hakuna ajira
 
Umemtaja sana Manyerere Jackton hadi nahisi ndugu GENTAMYCINE ndio Manyerere Jackton
Kama si wewe hongera kwake ila kama ni wewe hongera kwako
Jamani leo ndiyo nimeingia JF baada ya kupotea kitambo. Naona mtifuano wa hali ya juu. Mimi ni verified user. Sina user name nyingine. Kwa hiyo post yangu utasomeka kwa jina langu. Asanteni sana
Wapumbavu wachache mnaonishambulia kwa huu Uzi wangu mmemaliza au bado? Kama bado tafadhali muda upo endeleeni kwani Kudhihakiwa na Wendawazimu wa aina yenu wala huwa hakunipi taabu.

Nilichofurahi tu ni kwamba pamoja na Kunichukia Kwenu, Kutopenda Uzi wangu na Kunishambulia kotee ila nyote ( mnaojiita Werevu na Wasomi ) mmeweza kupoteza muda wenu na Kusoma Uzi wa GENTAMYCINE ambaye 99.9 yenu mnanichukia katika Viganja vyenu vya vidole ila Mioyoni mwenu mnanikubali sana na ndiyo maana yupo Mpumbavu Mwenzenu Mmoja kuonyesha kuwa ananipenda, anaijua na ameikariri mpaka na 'Signature' yangu ya 'Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer' na ameumia mno Mimi kuwa nayo na pengine anatamani ndiyo ingekuwa yake.

Sijutii Kusoma Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza na bahati nzuri Kwangu GENTAMYCINE ni kwamba huwa sina DNA ya Kupenda au Kuchagua Vitu vibovu vibovu na ndiyo maana Vitu nivipendavyo ni vizuri na vinafanikiwa pia.

Kwa mfano naipenda Klabu ya Simba SC kwa Tanzania na ya Liverpool FC kwa Ulaya na zote zinafanya vyema.

Nawapenda Wachezaji akina Lionel Messi, Jonas Mkude na Khalid Aucho na Wote wanafanya vizuri.

Naipenda mno Bendi ya Muziki ya Wenge BCBG yake JB Mpiana na ndiyo Bendi pendwa na yenye Mvuto hasa kwa Kupiga Misebene na Rhumba za Kufa Mtu.

Naipenda sana nchi ya Rwanda kwakuwa haina Raia Wapumbavu na wenye Wivu pamoja na Chuki kama Raia wa nchi moja Jirani ambao 95% ya Wananchi wake wana Upuuzi mwingi na upeo mdogo wa Kufikiri.

Nalipenda Jeshi la Tanzania ( JWTZ ) kuliko Majeshi mengine yote barani Afrika na Duniani kwani ndilo Jeshi lenye Utii, Maadili, Utayari, Uvumilivu, Umahiri, Ukakamavu wa Asili liko very committed hasa Kimedani.

Naupenda zaidi Mtandao huu wa JamiiForums kuliko Mitandao mingine yote duniani na kwa Takwimu nilizonazo kwa Tanzania yetu JamiiForums ndiyo Mtandao unaosomwa na Wengi na Kuaminika haraka Kimaudhui yake.

Nampenda mno Mrembo ( Mnyange ) Hamisa Mobeto kwani Yeye si tu ni 'very Pretty' bali pia ni 'Photogenic' hasa tofauti na Wanawake wengine wengi kiasi kwamba ndiyo Mwanamke anayeongozwa Kufuatiliwa sana na Watu ( hasa wa nje ya Tanzania ) hivyo kupelekea kuzidi Kujulikana.

Tanzania ina Vyuo Vikuu vingi na tena GENTAMYCINE naviheshimu vyote ila nakipenda zaidi Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwakuwa hawakufundishi tu ujue Kukariri Notes, Ufaulu Mitihani na upate Cheti katika Mahafali yao, bali ukimaliza Masomo na kwa Elimu yao ya Msuli Mwingi ( Ngumu ) utakuwa ni Hazina ya Kifikra ( Intellectual ) kwa ndani na nje.

I'm proud of SAUT my Favorite Varsity.

Cc: Chinga One, Woga tupa kulee, donlucchese, USSR, Dorome, GRANITE II, Tangantika, Buti la mkoloni, josephwaara, maroon7, Jorojik, adriz
Mwamba naona umeamua kuvaa mabomu. Hahahahaaaa
 
Daah umenikumbusha mbali. I miss SAUT MALIMBE COMPUS
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.

Kwa 'Msuli' ambao najua ( naujua ) upo SAUT ( Chuo Kikuu cha kupika Think Tanks tupu wa Tanzania ) Kwangu Mimi GENTAMYCINE Wewe ndiyo umesoma kweli na hiyo Masters Degree yako inakustahili kuliko wale 'Wasanii' Wawili waliopata Doctorates zao za 'Kitonga' kutoka UDOM wakati hata 'Dissertations' zao tu wamefanyiwa halafu leo tunawasifu.

Hongereni hasa Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwa kuendelea kutoa Elimu yenu bora na ya 'Kutukuka' nchini Tanzania na kuwaongezea Maarifa na Ujuzi Watu 'maarufu' kama 'Poti' wangu huyu Manyerere Jackton na Wengineo hasa katika Fani hii ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari. Mbarikiwe mno SAUT na tambueni kuwa GENTAMYCINE nawapenda hadi nachanganyikiwa nanyi kwani kwa hii Degree yenu tu mliyonipa 2009 huku mtaani ( mpaka hapa JamiiForums ) yaani ninawakimbiza hadi wanadhani nina Phd ( Doctorate ) wakati hata sina.

Haya 'Poti' wangu Manyerere Jackton tafadhali nitunzie hizo 'Notes' zako za Masters Degree kwani mdogo wako GENTAMYCINE nitazihitaji pale nitakapoamua kusoma tena 'Masters Degree' hiyo ya 'Mass Communication' hapo hapo SAUT Mwanza ( hasa Tawi lao la Dar es Salaam Msimbazi Center ) ambapo niliianza ila kwa Msuli wake ( Ugumu ) nikaikimbia Kwanza ili niuandae vyema Ubongo wangu kwa Taaluma yao ya hali ya Juu hapo SAUT.

Ila najua pamoja na Kufanikiwa Kwako huku ila hawa 'Washamba' kutoka Mikoa ya Kagera ( kwa Wahaya ), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Dodoma ( kwa Warangi ), Ukerewe Mwanza ( kwa Wakara ) na Tabora ( kwa Wanyamwezi ) hawajafurahi na wanakuonea mno Wivu ( Kijicho ) kwani wanaona kila Siku tu Wasomi ( Intellectuals ) wanazidi Kuongezeka Mkoani Mara ( Musoma ) huku Kwao wakipungua.

Hongereni nyote mliosoma SAUT na mnaosoma SAUT kwani ndiyo Chuo Kikuu pekee Bora, cha Uhakika na ambacho kinazalisha 'Geniuses' tupu nchini Tanzania na hata nchi za Jirani pia. Na ambao hamjasoma SAUT nawapeni Pole kwani mmekosa vingi kwakuwa Elimu ya Mkatoliki ( Kikatoliki ) ipatikanayo hapo SAUT Mwanza haikufanyi uwe tu ni Einstein ( Genius ) lakini pia inakufanya uwe Critical Thinker na tegemeo la Mabadiliko kwa Jamii uliyopo na Taifa ulilopo.

Hongera mno 'Poti' Manyerere Jackton.
Ss
 
Awali ya yote nianze kwa Kukupongeza sana na kwa Furaha mno 'Poti' wangu wa Kizanaki kutoka Mkoani Mara na Mkurugenzi Mwenza wa Gazeti la JAMHURI Kaka Manyerere Jackton kwa kupata Masters Degree yako ya Mass Communication kutoka Chuo Kikuu changu 'pendwa' Tanzania nzima cha SAUT Mwanza.

Kwa 'Msuli' ambao najua ( naujua ) upo SAUT ( Chuo Kikuu cha kupika Think Tanks tupu wa Tanzania ) Kwangu Mimi GENTAMYCINE Wewe ndiyo umesoma kweli na hiyo Masters Degree yako inakustahili kuliko wale 'Wasanii' Wawili waliopata Doctorates zao za 'Kitonga' kutoka UDOM wakati hata 'Dissertations' zao tu wamefanyiwa halafu leo tunawasifu.

Hongereni hasa Chuo Kikuu cha SAUT Mwanza kwa kuendelea kutoa Elimu yenu bora na ya 'Kutukuka' nchini Tanzania na kuwaongezea Maarifa na Ujuzi Watu 'maarufu' kama 'Poti' wangu huyu Manyerere Jackton na Wengineo hasa katika Fani hii ya Mawasiliano ya Umma na Uandishi wa Habari. Mbarikiwe mno SAUT na tambueni kuwa GENTAMYCINE nawapenda hadi nachanganyikiwa nanyi kwani kwa hii Degree yenu tu mliyonipa 2009 huku mtaani ( mpaka hapa JamiiForums ) yaani ninawakimbiza hadi wanadhani nina Phd ( Doctorate ) wakati hata sina.

Haya 'Poti' wangu Manyerere Jackton tafadhali nitunzie hizo 'Notes' zako za Masters Degree kwani mdogo wako GENTAMYCINE nitazihitaji pale nitakapoamua kusoma tena 'Masters Degree' hiyo ya 'Mass Communication' hapo hapo SAUT Mwanza ( hasa Tawi lao la Dar es Salaam Msimbazi Center ) ambapo niliianza ila kwa Msuli wake ( Ugumu ) nikaikimbia Kwanza ili niuandae vyema Ubongo wangu kwa Taaluma yao ya hali ya Juu hapo SAUT.

Ila najua pamoja na Kufanikiwa Kwako huku ila hawa 'Washamba' kutoka Mikoa ya Kagera ( kwa Wahaya ), Singida ( kwa Wanyiramba na Wanyaturu ), Kigoma ( kwa Waha ), Dodoma ( kwa Warangi ), Ukerewe Mwanza ( kwa Wakara ) na Tabora ( kwa Wanyamwezi ) hawajafurahi na wanakuonea mno Wivu ( Kijicho ) kwani wanaona kila Siku tu Wasomi ( Intellectuals ) wanazidi Kuongezeka Mkoani Mara ( Musoma ) huku Kwao wakipungua.

Hongereni nyote mliosoma SAUT na mnaosoma SAUT kwani ndiyo Chuo Kikuu pekee Bora, cha Uhakika na ambacho kinazalisha 'Geniuses' tupu nchini Tanzania na hata nchi za Jirani pia. Na ambao hamjasoma SAUT nawapeni Pole kwani mmekosa vingi kwakuwa Elimu ya Mkatoliki ( Kikatoliki ) ipatikanayo hapo SAUT Mwanza haikufanyi uwe tu ni Einstein ( Genius ) lakini pia inakufanya uwe Critical Thinker na tegemeo la Mabadiliko kwa Jamii uliyopo na Taifa ulilopo.

Hongera mno 'Poti' Manyerere Jackton.
Acha wivu unadhani wote tuna akili sawa?
 
Back
Top Bottom