Kwangu Mimi Mwanamke huyu 'aliyejiua' baada ya 'Kufumaniwa' Mubashara na Mumewe ndiyo Shujaa wangu wa Kufungia Mwaka 2021

Nlikuwa nakuchukulia mtu mwenye uwezo wa kupambanua mambo kiyakinifu ila kwa hili nmekuvua nyota zote nakuachia tu gwanda la bakabaka
Kukukataa kuwa 'Bwana' wako ni tatizo?
 
Hyo inachagizwa na uwezo wako mdogo ulionao....njia ya kujiokoa ss iv ni kutumia personal attacks na hilo nishalijua kwa hyo wala hunisumbui
Kuna ulazima Mimi kuwa 'Bwana' wako?
 
Bac kama binadamu tulipewa ubongo...we ulisahaulika kama c kuwekewa kamasi itakuwa ni ugali
Ungekuwa na 25% tu ya IQ yangu GENTAMYCINE najua ungeringa sana ila bahati mbaya uliyonayo ni ya -1.39% tu.
 
Unapoandika usitafsiri toka kikurya kwenda kiswahili ili ueleweke unachotaka kusema.
 
Unapoandika usitafsiri toka kikurya kwenda kiswahili ili ueleweke unachotaka kusema.
Nakusihi usiache Kunifuatilia na Kunichukia 24/7 hapa JamiiForums kwani ndiyo unazidi kuniongezea Umaarufu mpaka kunipatia Wafuasi ( Followers ) wengi sawa?
 
Mkuu hizi si ID zako nyingine?Samahani lakini
JamiiForums kuna ID's za Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer Mkuu?

Yaani kuwa Kwako kote tu hapa Jamvini ( JamiiForums ) hujajua kuwa haya Maneno ndiyo 'Signature' yangu?

Kuna Watu huwa mnanilazimisha ama niwajibu Kunya ( Shombo ) au hata nawadharau kwa kuwa na Ubongo uliosindikwa.
 
Baba shimo la kichuguu halijai hata kuwe na mafuriko
 
Halafu mwananchi wamekosea kuielezea hiyo stori, jamaa hakumfuma mkewe akigegedwa bali alifuma sms ndio akaanza kumchatisha mchizi huku mchizi akijua anachati na mke wa jamaa ndio jamaa akaandika text njoo home, mchizi bila kujua akatimba
Duh USALITI nao mmmh!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…