Kwangu Mimi Mwanamke huyu 'aliyejiua' baada ya 'Kufumaniwa' Mubashara na Mumewe ndiyo Shujaa wangu wa Kufungia Mwaka 2021

Kwangu Mimi Mwanamke huyu 'aliyejiua' baada ya 'Kufumaniwa' Mubashara na Mumewe ndiyo Shujaa wangu wa Kufungia Mwaka 2021

Nlikuwa nakuchukulia mtu mwenye uwezo wa kupambanua mambo kiyakinifu ila kwa hili nmekuvua nyota zote nakuachia tu gwanda la bakabaka
Kukukataa kuwa 'Bwana' wako ni tatizo?
 
Hyo inachagizwa na uwezo wako mdogo ulionao....njia ya kujiokoa ss iv ni kutumia personal attacks na hilo nishalijua kwa hyo wala hunisumbui
Kuna ulazima Mimi kuwa 'Bwana' wako?
 
Bac kama binadamu tulipewa ubongo...we ulisahaulika kama c kuwekewa kamasi itakuwa ni ugali
Ungekuwa na 25% tu ya IQ yangu GENTAMYCINE najua ungeringa sana ila bahati mbaya uliyonayo ni ya -1.39% tu.
 
Unakunywa lini Sumu ili Ufe upumzike na Chuki zako za Kipopoma ( Kipumbavu ) dhidi yangu?

Nje ya hapa JamiiForums na kwa hii ID yangu hata huku nilipo ( katika Jamii ) niliyopo ni Maarufu na nakubalika na Watu ( hasa Wasomi wakubwa ) tena kuliko hata hapa Jamvini.

Nikiwa ninawadharau ninakuwa sahihi.
Unapoandika usitafsiri toka kikurya kwenda kiswahili ili ueleweke unachotaka kusema.
 
Unapoandika usitafsiri toka kikurya kwenda kiswahili ili ueleweke unachotaka kusema.
Nakusihi usiache Kunifuatilia na Kunichukia 24/7 hapa JamiiForums kwani ndiyo unazidi kuniongezea Umaarufu mpaka kunipatia Wafuasi ( Followers ) wengi sawa?
 
Mkuu hizi si ID zako nyingine?Samahani lakini
JamiiForums kuna ID's za Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer Mkuu?

Yaani kuwa Kwako kote tu hapa Jamvini ( JamiiForums ) hujajua kuwa haya Maneno ndiyo 'Signature' yangu?

Kuna Watu huwa mnanilazimisha ama niwajibu Kunya ( Shombo ) au hata nawadharau kwa kuwa na Ubongo uliosindikwa.
 
Sahihi kabisa, nishawahi kipiga shoo kali nikiwa na konyagi kichwan, piga shoo usiku kucha! Asubuh kumekucha tumeshinda mwendo wa kula na kupiga shoo saa kumi na mbili demu ananambia siwezi kulala leo hapa utaniua, kaondoka kachoka balaa! Mida ya saa nne usiku nimetoka zangu misele nikapita kwake kumpelekea zawadi flan nafika hayupo! Daah kuja kuchunguza kaenda kukazwa na jamaa flan hivi! Nikachoka!!
Baba shimo la kichuguu halijai hata kuwe na mafuriko
 
Halafu mwananchi wamekosea kuielezea hiyo stori, jamaa hakumfuma mkewe akigegedwa bali alifuma sms ndio akaanza kumchatisha mchizi huku mchizi akijua anachati na mke wa jamaa ndio jamaa akaandika text njoo home, mchizi bila kujua akatimba
Duh USALITI nao mmmh!
 
Back
Top Bottom