sky soldier
JF-Expert Member
- Mar 30, 2020
- 5,407
- 19,264
Imani na hisia vikizidi akili kupitiliza huwa ni tatizoTumuulize gwajima anaweza akatujibu
Wewe ni mchawi nini au wakuzimu? Mimi nakwambia Wafu wanafufuka ndio. Wale waliochukuliwa msukule au kupelekwa kuzimu, duniani unaonekana umekufa kumbe upo kuzimu unatumikishwa au upo dukani kwa mtu unauza duka. Hawa wanafufuka ila wale ambao ni kifo cha Mungu aliye hai yaan wakati wako wakauwepo duniani umeisha. Mungu akikuchukua ndio huwezi kurudishwaKinachotokeaga ni kwamba mchungaji anaejinadi anaweza kufufua mtu huwa ni filamu inachezwa mbele ya watu weye imani kubwa kuzidi akili, kila kitu kimepangiliwa na wahusika wanapewa script.
Wenye imani na hisia kubwa kuzidi akili hasa wanawake ndio huwa wanachotwa akili hapa na ndio maana makanisa haya 95% huwa ni wanawake.
Kwanini hata watu wao wa karibu wanaofariki bila script wanashindwa kuwafufua,
Ni heri kutafuta maarifa hayo ya wafu kufufuka kuliko kuishi kwenye upumbavu wakukosa maarifaWajinga ndio waliwao
Dah kumbe na Wewe akili huna kabisa ya kureason vitu , hakika Wewe ni mzigo kwenye familiaWewe ni mchawi nini au wakuzimu? Mimi nakwambia Wafu wanafufuka ndio. Wale waliochukuliwa msukule au kupelekwa kuzimu, duniani unaonekana umekufa kumbe upo kuzimu unatumikishwa au upo dukani kwa mtu unauza duka. Hawa wanafufuka ila wale ambao ni kifo cha Mungu aliye hai yaan wakati wako wakauwepo duniani umeisha. Mungu akikuchukua ndio huwezi kurudishwa
Tumia akili basi ,ukijuwa waliyokuletea hiki kitu kinaitwa Dini ni WAKINA nani na huyo mnayemuita Mungu ukijuwa kuwa hayupo Bali ni story tu za wanadamuNi heri kutafuta maarifa hayo ya wafu kufufuka kuliko kuishi kwenye upumbavu wakukosa maarifa
ππ Ipi hiyo, ukute huko ndiko shetani amesimika kiti chake kabisa makao makuu.Nachoshukuru Mimi Kwenye Dini Yangu Hakuna Mambo Ya Kipuuzi
mbona kashidwa kimfufua mama yake mzazi...Tumuulize gwajima anaweza akatujibu
Mdomo koma, weka akiba.Hakuna Mungu Wala hakuna kitu kinaitwa Mungu , Bali hizo ni story tu za wanadamu juu ya uwepo wake lakini kiuharisia hayupo kabisa na hata ukifa juwa ndiyo unakuwa umekufa hivyo ,Hauna tofauti na kuku au mnyama yoyote yule akifa , juwa unavyokuwa unazikwa na kufukiwa pale juwa ndiyo hivyo hamna Cha story sijui kwenda mbinguni sijui kwenda moyoni ni uongo na unafiki tu wa wanadamu,, maa a hakuna mtu mwenye ushaidi wowote zaidi ya vitatu vilivyotungwa na watu wenye akili nyingi Ili kupumbaza ngozi nyeusi isiyo na akili
weee usiniambie π¬πππ€Wewe ni mchawi nini au wakuzimu? Mimi nakwambia Wafu wanafufuka ndio. Wale waliochukuliwa msukule au kupelekwa kuzimu, duniani unaonekana umekufa kumbe upo kuzimu unatumikishwa au upo dukani kwa mtu unauza duka. Hawa wanafufuka ila wale ambao ni kifo cha Mungu aliye hai yaan wakati wako wakauwepo duniani umeisha. Mungu akikuchukua ndio huwezi kurudishwa
Dunia tunayoishi sasa hivi inaongozwa kwenye ulimwengu wa roho, na wanaoishi kwenye ulimwengu wa roho ndio watakaosurvive. Na kila kitu kimamzia kwenye ulimwengu wa roho. Sasa wewe endelea kukaa gizaniDah kumbe na Wewe akili huna kabisa ya kureason vitu , hakika Wewe ni mzigo kwenye familia
Acha upuuzi wewe, kwani mama wa Mtumishi wa Mungu amechukuliwa msukulembona kashidwa kimfufua mama yake mzazi...
Nimejua wewe ni mpuuzi kabisa!Hakuna Mungu Wala hakuna kitu kinaitwa Mungu , Bali hizo ni story tu za wanadamu juu ya uwepo wake lakini kiuharisia hayupo kabisa na hata ukifa juwa ndiyo unakuwa umekufa hivyo ,Hauna tofauti na kuku au mnyama yoyote yule akifa , juwa unavyokuwa unazikwa na kufukiwa pale juwa ndiyo hivyo hamna Cha story sijui kwenda mbinguni sijui kwenda moyoni ni uongo na unafiki tu wa wanadamu,, maa a hakuna mtu mwenye ushaidi wowote zaidi ya vitatu vilivyotungwa na watu wenye akili nyingi Ili kupumbaza ngozi nyeusi isiyo na akili
ILI MTUME, NABII AFANIKIWE KUMILIKI WAFUASI,LAZIMA AWAFUNGE FAHAMU NA AKILI ZAO.Kinachotokeaga ni kwamba mchungaji anaejinadi anaweza kufufua mtu huwa ni filamu inachezwa mbele ya watu weye imani kubwa kuzidi akili, kila kitu kimepangiliwa na wahusika wanapewa script.
Wenye imani na hisia kubwa kuzidi akili hasa wanawake ndio huwa wanachotwa akili hapa na ndio maana makanisa haya 95% huwa ni wanawake.
Kwanini hata watu wao wa karibu wanaofariki bila script wanashindwa kuwafufua,