Kwangu ni kituko kuona mtu anamwamini mchungaji anaejinadi kufufua watu, wao kwanini walishindwa kufufua watu wao wa karibu?

Ni heri kutafuta maarifa hayo ya wafu kufufuka kuliko kuishi kwenye upumbavu wakukosa maarifa
Hawa watu sijui kwanini wanabisha, nabii Clear Malisa kamfufua mama yake mzazi mara tatu, tena mama yake baada ya kufa akiwa peke yake alikuwa anampigia simu nabii mwanae nabii anakuja kumfufua.
Hallelujah mama kafufuliwa mara tatu.
 
Kusema hakuna Mungu ni Kwa mpumbavu mkuu,tatizo lipo kwenye Hawa mitume feki ambao wanataka Waumini wao wawachangie mavogue wakati wenzao zamani walikuwa wanapanda punda.Anyway Ilishatabiriwa precisely katika Bible,Akili kichwani.
 
Kusema hakuna Mungu ni Kwa mpumbavu mkuu,tatizo lipo kwenye Hawa mitume feki ambao wanataka Waumini wao wawachangie mavogue wakati wenzao zamani walikuwa wanapanda punda.Anyway Ilishatabiriwa precisely katika Bible,Akili kichwani.
Sio upumbavu mkuu, ukifikiri bila kujiwekea mipaka kuna uwalakini mkubwa sana.
 
Kusema hakuna Mungu ni Kwa mpumbavu mkuu,tatizo lipo kwenye Hawa mitume feki ambao wanataka Waumini wao wawachangie mavogue wakati wenzao zamani walikuwa wanapanda punda.Anyway Ilishatabiriwa precisely katika Bible,Akili kichwani.
Jaribu kutumia Akili zako vizuri kureason vitu
 
Uko sahihi kabisa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…